Je wazungu hawana wivu kwa washindani wao wa kibiashara? Hebu ona hii

Je wazungu hawana wivu kwa washindani wao wa kibiashara? Hebu ona hii

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
🗣️ "Hongera sana Jeff Besoz kwa kufanikiwa kufika katika orbit katika jaribio la kwanza kabisa la rocket ya New Glenn" Ameandika Elon Musk .

— Mmiliki wa kampuni ya SpaceX amempatia Hongera zake mmliki wa kampuni ya Blue Origin mara baada ya kufanikiwa kurusha rocket yao na kufankiwa kufika katika orbit ya dunia kwa mara ya kwanza .

— Wazungu hawana unafiki kabisa, ni jambo la nadra sana kwa baadhi ya watu kuweza kumpatia mwenzake hongera katika jambo lake alilolifanikiwa tena ukiangalia jambo hilo pengine kwa asilimia kubwa linakwenda moja kwa moja kukupa challenge katika jambo unalolifanya wewe ni ngumu sana .

— Elon Musk tajiri namba 1 duniani alimwandikia ujumbe mrefu bwana Jeff Besoz ambaye ni tajiri namba 2 ya kuwa twende tukaliendeshe ghurudumu hili kwa pamoja na tupeperushe bendera ya Marekani katika masuala ya anga za mbali ili tuweze kufikia malengo ya kuchunguza dunia kwa pamoja na kuwapa watu gharama nafuu za usafirishaji wa anga za juu .

— Utakumbuka kuwa hawa jamaa walianza pamoja harakati za kimaisha tangu vijana ambapo Elon Musk yeye alianza kutafuta maisha kwa kuutanda program ya Paypal na baadae aliuza , na Jeff Besoz yeye alianza maisha yake kwa kuunda program ya Amazon ile ya mauzo mtandaoni ambapo mpaka sasa amewaachia watu wengine ili yeye awekeze nguvu katika kampuni yake ya rocket ya Blue Origin .

Marekani iko katika mikono salama kwenye masuala mazima ya chunguzi za anga za juu na kulitawala anga .
FB_IMG_17370944117693544.jpg

— AstronomyKiswahili
 
Huku bongo tumeshakaririshwa matajiri ni watu ambao hawajasoma wameishia la saba b..
Ila huko nje kwa kuwaangalia hawa watu ni ma genius sio wakubahatisha akili mingi sana..
 
Tatizo ya waafrika wao watu wenye akili wanawaona kama threat...wee ata maofisi mwetu humu ukionekana unapiga mzigo kweli kweli wanaanza kukuwekea mizengwe.

Wazungu wee ata uwe mweusi kama ni asset wanakukumbatia.
Huyu maenzio kufa ikiwa inamaanisha inakufanya wewe uwe bora zaidi na huo ndio msukumo wa maendeleo.

Kwetu huku kazi kulogana. Tunalongana hatu mbususu na delibolo ndio hapo unaposhangaaa
 
🗣️ "Hongera sana Jeff Besoz kwa kufanikiwa kufika katika orbit katika jaribio la kwanza kabisa la rocket ya New Glenn" Ameandika Elon Musk .

— Mmiliki wa kampuni ya SpaceX amempatia Hongera zake mmliki wa kampuni ya Blue Origin mara baada ya kufanikiwa kurusha rocket yao na kufankiwa kufika katika orbit ya dunia kwa mara ya kwanza .

— Wazungu hawana unafiki kabisa, ni jambo la nadra sana kwa baadhi ya watu kuweza kumpatia mwenzake hongera katika jambo lake alilolifanikiwa tena ukiangalia jambo hilo pengine kwa asilimia kubwa linakwenda moja kwa moja kukupa challenge katika jambo unalolifanya wewe ni ngumu sana .

— Elon Musk tajiri namba 1 duniani alimwandikia ujumbe mrefu bwana Jeff Besoz ambaye ni tajiri namba 2 ya kuwa twende tukaliendeshe ghurudumu hili kwa pamoja na tupeperushe bendera ya Marekani katika masuala ya anga za mbali ili tuweze kufikia malengo ya kuchunguza dunia kwa pamoja na kuwapa watu gharama nafuu za usafirishaji wa anga za juu .

— Utakumbuka kuwa hawa jamaa walianza pamoja harakati za kimaisha tangu vijana ambapo Elon Musk yeye alianza kutafuta maisha kwa kuutanda program ya Paypal na baadae aliuza , na Jeff Besoz yeye alianza maisha yake kwa kuunda program ya Amazon ile ya mauzo mtandaoni ambapo mpaka sasa amewaachia watu wengine ili yeye awekeze nguvu katika kampuni yake ya rocket ya Blue Origin .

Marekani iko katika mikono salama kwenye masuala mazima ya chunguzi za anga za juu na kulitawala anga .
View attachment 3204185
— AstronomyKiswahili
Wivu wanao sana ila ndiyo hivyo hata sisi mbona tumapeanaga pongezi pia.
Hata hivyo glenn mission zake ni kama za falcon 9 wakati falcon 9 ishapiga mission za kutosha.
Baba lao ni starship ambayo jana katika majaribio booster imewaza kurudu na kunaswa na launch pad wakati ship ilipoteza mawasiliano na picha zikainasa ikiwa imeungua vipande vikirudi na kudindoka baharini.
Musk anasema wanapitia data na watafanya jaribio lingine baada ya mwezi
 
Huku bongo tumeshakaririshwa matajiri ni watu ambao hawajasoma wameishia la saba b..
Ila huko nje kwa kuwaangalia hawa watu ni ma genius sio wakubahatisha akili mingi sana..
Bongo utajiri wetu ni wa survival mode business.
Ulaya ni utajiri wa development.
 
Siri ya mtu ni KICHAKA, huwezi jua ya moyoni.
Musk ana wivu ukitaka kujua hilo ona anavyohangaika na open AI kwa sababu alijitoa na sasa anaona imekamata.
Sema anachinifurahisha ni kuhusu masuala ya patents. Anasema patents are for the weaks
 
Musk ana wivu ukitaka kujua hilo ona anavyohangaika na open AI kwa sababu alijitoa na sasa anaona imekamata.
Sema anachinifurahisha ni kuhusu masuala ya patents. Anasema patents are for the weaks
kijijini kwenu uliambiwa wivu ndo upo ivyo?
 
Huku bongo tumeshakaririshwa matajiri ni watu ambao hawajasoma wameishia la saba b..
Ila huko nje kwa kuwaangalia hawa watu ni ma genius sio wakubahatisha akili mingi sana..
matajiri wetu wakwenda kwa sangoma kumtoa mama kafara
 
Hawa sio viumbe wa kawaida hasa Elon Musk ukiwa na akili ndogo huwezi kunielewa.

Elon Musk namfahamu toka tukiwa wadogo. Jina lake kule nyumbani Machame ni Elia Mushi. Ni mshikaji poa sana.

...I am just joking...
 
🗣️ "Hongera sana Jeff Besoz kwa kufanikiwa kufika katika orbit katika jaribio la kwanza kabisa la rocket ya New Glenn" Ameandika Elon Musk .

— Mmiliki wa kampuni ya SpaceX amempatia Hongera zake mmliki wa kampuni ya Blue Origin mara baada ya kufanikiwa kurusha rocket yao na kufankiwa kufika katika orbit ya dunia kwa mara ya kwanza .

— Wazungu hawana unafiki kabisa, ni jambo la nadra sana kwa baadhi ya watu kuweza kumpatia mwenzake hongera katika jambo lake alilolifanikiwa tena ukiangalia jambo hilo pengine kwa asilimia kubwa linakwenda moja kwa moja kukupa challenge katika jambo unalolifanya wewe ni ngumu sana .

— Elon Musk tajiri namba 1 duniani alimwandikia ujumbe mrefu bwana Jeff Besoz ambaye ni tajiri namba 2 ya kuwa twende tukaliendeshe ghurudumu hili kwa pamoja na tupeperushe bendera ya Marekani katika masuala ya anga za mbali ili tuweze kufikia malengo ya kuchunguza dunia kwa pamoja na kuwapa watu gharama nafuu za usafirishaji wa anga za juu .

— Utakumbuka kuwa hawa jamaa walianza pamoja harakati za kimaisha tangu vijana ambapo Elon Musk yeye alianza kutafuta maisha kwa kuutanda program ya Paypal na baadae aliuza , na Jeff Besoz yeye alianza maisha yake kwa kuunda program ya Amazon ile ya mauzo mtandaoni ambapo mpaka sasa amewaachia watu wengine ili yeye awekeze nguvu katika kampuni yake ya rocket ya Blue Origin .

Marekani iko katika mikono salama kwenye masuala mazima ya chunguzi za anga za juu na kulitawala anga .
View attachment 3204185
— AstronomyKiswahili
Ingekuwa Mchina wangesemaje ? Anatishia usalama na biashara zao. Kama wote ni wamarekani hamna shida ipo afa ye mzungu, muhindi au mwafrika.
Wanataka kuifungia TIKTOKwaliifungia HUAWEU baada ya kuwazidi kwenye 5G.
Wazungu wala sio wema kama unavyodhani.
Bill gate na Steve Job walikuwa ba uhasama mkubwa mpaka kupekekana mahaksmani.
Kuna TESLA na Edson . Walikuwa na vita kubwa kwenye AC vs DC system. Tela akaja na motors unaziona zikabadili Maisha ya dunia ila ilikuwa vita kubwa.
Wasikie tu wazungu kwenye magazeti.
 
Ingekuwa Mchina wangesemaje ? Anatishia usalama na biashara zao. Kama wote ni wamarekani hamna shida ipo afa ye mzungu, muhindi au mwafrika.
Wanataka kuifungia TIKTOKwaliifungia HUAWEU baada ya kuwazidi kwenye 5G.
Wazungu wala sio wema kama unavyodhani.
Bill gate na Steve Job walikuwa ba uhasama mkubwa mpaka kupekekana mahaksmani.
Kuna TESLA na Edson . Walikuwa na vita kubwa kwenye AC vs DC system. Tela akaja na motors unaziona zikabadili Maisha ya dunia ila ilikuwa vita kubwa.
Wasikie tu wazungu kwenye magazeti.
Kwani Mchina naye ni MZUNGU?
 
Back
Top Bottom