Je, wazungu sio wakazi asilia wa hii dunia?

Je, wazungu sio wakazi asilia wa hii dunia?

Unasema nitumie wote walikuwa wa Mashsriki ya kati, mbona mtume Paulo alikuwa Mtume (Mzungu wa Italia ya Sasa. Kaisari alikuwa Mzungu pia. Ukiangalia miji kama Korintho na Thesalonike ni miji ya ulaya katika nvhi ya Ugiriki. Kwa hiyo wazungu ni watu wa kawaida kama wewe tu isipokuwa rangi tu ndiyo inayoleta tofauti. Pia ukisoma katika kitabu cha Mwanza utaona kuhusu wana wa Shemu, Yapheti na Hamu utaona ndio waliozaa wazungu, Waarabu na Waafrika. Nenda ukasome Biblia ili ujue kwa kind mambo haya

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
kwahiyo wakati wa mwanzo hakukua na mtu mweusi mpk alipokuja nuhu dahh kwamaoni yangu mimi adamu aliumbwa kwa udongo wa rangi zote duniani uliochanganywa
 
View attachment 535737kuna vitu vingi vya kushangaza mno, ambavyo kutokana na kutwezwa na mahangaiko ya dunia tunakosa muda wa kuvitafakari
1. Dunia ya Mungu ilikuwa mashariki ya kati?
Hapa ndio kama Mungu alipatambua kama uumbaji wake! Si kwamba hakukuwa na maisha mengine la hasha yalikuwepo! Soma habari za Lilith au Kaini kwenda kuoa 'huko kwingine' baada ya kumuua ndugu yake!

2.Dini zote zinazoamini katika uwepo wa Mungu asili yake ni mashariki ya kati, hata katika misahafu tunachosoma kwa sehemu kubwa sana ni habari za mashariki ya kati..
Habari na matukio makuu ya dunia yote ni hapo
  • Bustani ya Eden
  • Mnara wa Babel
-Gharika ya Nuhu
-Sodoma na Gomorah etc etc

Kuna mahali kwenye kitabu cha Mithali tunaaswa kutafuta elimu hata mpaka China! Kwa hiyo hii ilikuwepo pia

3. Historia ya mzungu haiandikwi popote (I may be corrected) ama inaandikwa kwa uchache! Africa ilijulikana kwa Mungu(aliitambua pia) soma habari za mafarao na mfalme Suleiman na Cheopatra na asili zao!

4. Mzungu ni mvamizi wa dunia( possibly Alien ama mkuzimu) cha kushangaza mno ndio tunamchukulia kama uzao wa Mungu kutokana na yote aliyoyafanya ya kushangaza hapa duniani hasa kwenye tech

Kwa kutumia ufahamu wake na uwezo wake mkuu mzungu amejitahidi kuidanganya na kuiaminisha dunia kuwa yeye ndio kiumbe bora zaidi duniani( haya matangopori wamelishwa wengi na kuvimbiwa)

Kwa kutumia ushawishi wake huo ameweza kuigeuza historia ya dunia na kuweka mapicha yake kutuaminishaView attachment 535749

Mambo yote mabaya yana mkono wa mzungu...mipango ya muda mrefu na ya siri sana ya kutaka kuangamiza uzao wa dunia je ni hofu kuwa wenye dunia yao kuna siku watakuja kuamka na kufunuliwa ukweli?

Hofu ni ya nini mpaka alete utambulisho wa microchips mwilini?

Hofu ya nini mpaka aanzishe projects nyingi za kuleta na kueneza imani zinazopingana na Mungu?
Hofu ni ya nini mpaka yale mambo ambayo ni chukizo mbele za Mungu yeye ayashadadie kwa kiwango cha juu mno?
Hofu ni ya nini mpaka aendelee kuichonganisha na kuipiganisha mashariki ya kati kila uchao?

Utajiri wa dunia (mafuta na madini) kwa sehemu kubwa vinapatikana hapo mashariki ya kati na Africa! Huko kwingine Mungu hakukubariki! Huko ndiko alikotokea Lilith! Huko ndiko asili ya Kaini alikimbilia! Huko ndiko kulikolaaniwa na Mungu ndio maana hawakubarikiwa chochote cha asili (wengi hawatanielewa)
Huko ndiko walikotikea wale wanefili majitu makubwa

Kila kitu kina pande mbili hasi na chanya! Mzungu anajua upande wa hasi ni upi ndio maana haachi kuhangaika na kule kulikobarikiwa

WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA! MUNGU HAJAWAHI KUSHINDWA
Revealed.

Gharika liliangamiza wote sababu kizazi Cha mapepo yaliyozaa na WANADAMU kuwa wengi na kupeleka UOVU kuzidi.

Baada ya Gharika yameanza tena kuzaana na WANADAMU.

60% ya WANADAMU duniani, wamechanganya uzao, ni nusu mtu, nusu pepo.

Yaani baba pepo, mama binadamu au mama pepo, baba mwanadamu.

40% pekee ya WANADAMU ndo hawajachanganya uzao.

Ndomana lazima Dunia ipigwe kiberiti tena. Amen
 
Revealed.

Gharika liliangamiza wote sababu kizazi Cha mapepo yaliyozaa na WANADAMU kuwa wengi na kupeleka UOVU kuzidi.

Baada ya Gharika yameanza tena kuzaana na WANADAMU.

60% ya WANADAMU duniani, wamechanganya uzao, ni nusu mtu, nusu pepo.

Yaani baba pepo, mama binadamu au mama pepo, baba mwanadamu.

40% pekee ya WANADAMU ndo hawajachanganya uzao.

Ndomana lazima Dunia ipigwe kiberiti tena. Amen
Lakini kwa mujibu wa maandiko Mwenyezi Mungu kasema hataingamiza dunia tena kwa moto wala kwa maji
 
Lakini kwa mujibu wa maandiko Mwenyezi Mungu kasema hataingamiza dunia tena kwa moto wala kwa maji
Ufunuo 20:11- 15. Dunia itakunjwa kama karatasi na Kutupwa ktk ZIWA la Moto. JEHANUM.

11.Kisha nikaona kiti Cha enzi, kikubwa, cheupe, na Yeye aketiye juu yake, ambaye Nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na Mahali Pao hapakuonekana.

12. Nikawaona wafu, wakubwa Kwa wadogo wamesimama mbele ya hicho kiti Cha enzi, na vitabu vikafunguliwa, ambacho ni Cha UZIMA, na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu, sawasawa na matendo Yao.

13. Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake, na Mauti na Kuzimu ikawatoa wafu.

14. Mauti na Kuzimu zitatupwa ktk ZIWA la MOTO. Hii ndiyo mauti ya pili baada ya Ile ya kwanza ya mwili kuacha roho.

15. IWAPO mtu yeyote hakuandikwa ktk kitabu Cha UZIMA, alitupwa ktk ZIWA la MOTO.

DUNIA KUPIGWA MAPIGO 7.
Ufunuo 16:1-21.
1.Jipu baya juu ya wote wenye CHAPA ya mnyama.666

2. Bahari ikageuka Damu kama ya mfu, vyote ndani ya bahari vikafa.

3. Mito yote na chemchemi vikawa Damu, vyote ndani yake vikafa.

4. Jua likasogezwa Ili liwaunguze WANADAMU, mimea na wanyama wakafa kasoro binadamu.

5. Ufalme'' wa mnyama ukatiwa Giza, wakatafuna ndimi zao Kwa maumivu makali.

6. Mto flati mkuu utakauka ipatikane njia ya wafalme watokao ktk mawio ya Jua.

7. Radi na ngurumo zinatokea, mvua kubwa ya mawe ukubwa wa talanta inanyesha na watu wanapigwa Hasa.

Tetemeko kubwa kuwahi tokea duniani.

Milima na visiwa vikamkimbia Mungu, mwanadamu kabaki pekeake. Kumbuka mito bahari, vijito miti na wanyama hamna tena. Mtu atakitafuta kifo asikione.

Baada ya kuteketea mbingu na Nchi, atashusha Mbingu mpya na Nchi mpya. Tutatawala pamoja na YESU Kristo milele na milele.

Hapatakuwa na KIFO Wala njaa, Wala UOVU shababu shetani hatokuwepo.

Mwanakondoo atachunga pamoja na Simba.

Mtu asikudanganye Eti ukifa ndo mwisho. Mwanadamu aliumbwa Aishi milele.

Ni hiari Yako kuchagua umilele ktk mateso ya JEHANUM au umilele pamoja na YESU,ISSA bin Mariam au YESHUA Kwa kiyahudi.

Ni Rahisi tu, AMINI kuwa YESU ALIKUFA na AKAFUFUKA na akapaa Mbinguni, na ndiye Messiah au MWANA wa MUNGU ajaye kuuhukumu ulimwengu juu ya dhambi. Amen
 
N vzr kama mmeanza kuujua ukwel nje ya uongo wa elimu ya kikoloni& dini zao za kizushi.

1645380596998.jpg
 
Kiumbe halali wa dunia hii n mtu mweusi, hayo marangi mengine ni wavamizi kutoka nje ya dunia.

Wanaforce kupitia muvi zao na Sayansi zao kuwaaminisha kuwa kuna alien watakuja kuvamia dunia, kumbe alien ni wao wenyewe ambao walishavamia dunia kwa kuiharibu kitamaduni na kimaadili hatimae hata wazawa wa halali wa dunia hii(black) wameshakuwa mateka hawaambiliki lolote kuwahusu watu weupe.

Zamani ilikuwa ni kosa kubwa na laana kwa mtu mweusi kuishi,kuoa/kuolewa na mwanadamu(white people) lkn kwa bahat mbaya kizaz cha leo hawaambiliki wala hawashauriki kutwa kuwasifu na kuwaabudu hao weupe, viongoz wenu kutwa kucha kuzurura nchi za hao viumbe, kwa namna hii Afrika ya watu weusi haiwezi kuendelea mpka tuondoe vizuiz/vifungo vya akili tulivyomezeshwa kupitia elimu&dini.
1643673064955.jpg
 
Zamani ilikuwa ni kosa kubwa na laana kwa mtu mweusi kuishi,kuoa/kuolewa na mwanadamu(white people) lkn kwa bahat mbaya kizaz cha leo hawaambiliki wala hawashauriki kutwa kuwasifu na kuwaabudu hao weupe, viongoz wenu kutwa kucha kuzurura nchi za hao viumbe, kwa namna hii Afrika ya watu weusi haiwezi kuendelea mpka tuondoe vizuiz/vifungo vya akili tulivyomezeshwa kupitia elimu&dini.
 
Kiumbe halali wa dunia hii n mtu mweusi, hayo marangi mengine ni wavamizi kutoka nje ya dunia.

Wanaforce kupitia muvi zao na Sayansi zao kuwaaminisha kuwa kuna alien watakuja kuvamia dunia, kumbe alien ni wao wenyewe ambao walishavamia dunia kwa kuiharibu kitamaduni na kimaadili hatimae hata wazawa wa halali wa dunia hii(black) wameshakuwa mateka hawaambiliki lolote kuwahusu watu weupe.

Zamani ilikuwa ni kosa kubwa na laana kwa mtu mweusi kuishi,kuoa/kuolewa na mwanadamu(white people) lkn kwa bahat mbaya kizaz cha leo hawaambiliki wala hawashauriki kutwa kuwasifu na kuwaabudu hao weupe, viongoz wenu kutwa kucha kuzurura nchi za hao viumbe, kwa namna hii Afrika ya watu weusi haiwezi kuendelea mpka tuondoe vizuiz/vifungo vya akili tulivyomezeshwa kupitia elimu&dini.
View attachment 2284834
Kiumbe halali wa dunia hii n mtu mweusi, hayo marangi mengine ni wavamizi kutoka nje ya dunia.[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 535737kuna vitu vingi vya kushangaza mno, ambavyo kutokana na kutwezwa na mahangaiko ya dunia tunakosa muda wa kuvitafakari
1. Dunia ya Mungu ilikuwa mashariki ya kati?
Hapa ndio kama Mungu alipatambua kama uumbaji wake! Si kwamba hakukuwa na maisha mengine la hasha yalikuwepo! Soma habari za Lilith au Kaini kwenda kuoa 'huko kwingine' baada ya kumuua ndugu yake!

2.Dini zote zinazoamini katika uwepo wa Mungu asili yake ni mashariki ya kati, hata katika misahafu tunachosoma kwa sehemu kubwa sana ni habari za mashariki ya kati..
Habari na matukio makuu ya dunia yote ni hapo
  • Bustani ya Eden
  • Mnara wa Babel
-Gharika ya Nuhu
-Sodoma na Gomorah etc etc

Kuna mahali kwenye kitabu cha Mithali tunaaswa kutafuta elimu hata mpaka China! Kwa hiyo hii ilikuwepo pia

3. Historia ya mzungu haiandikwi popote (I may be corrected) ama inaandikwa kwa uchache! Africa ilijulikana kwa Mungu(aliitambua pia) soma habari za mafarao na mfalme Suleiman na Cheopatra na asili zao!

4. Mzungu ni mvamizi wa dunia( possibly Alien ama mkuzimu) cha kushangaza mno ndio tunamchukulia kama uzao wa Mungu kutokana na yote aliyoyafanya ya kushangaza hapa duniani hasa kwenye tech

Kwa kutumia ufahamu wake na uwezo wake mkuu mzungu amejitahidi kuidanganya na kuiaminisha dunia kuwa yeye ndio kiumbe bora zaidi duniani( haya matangopori wamelishwa wengi na kuvimbiwa)

Kwa kutumia ushawishi wake huo ameweza kuigeuza historia ya dunia na kuweka mapicha yake kutuaminishaView attachment 535749

Mambo yote mabaya yana mkono wa mzungu...mipango ya muda mrefu na ya siri sana ya kutaka kuangamiza uzao wa dunia je ni hofu kuwa wenye dunia yao kuna siku watakuja kuamka na kufunuliwa ukweli?

Hofu ni ya nini mpaka alete utambulisho wa microchips mwilini?

Hofu ya nini mpaka aanzishe projects nyingi za kuleta na kueneza imani zinazopingana na Mungu?
Hofu ni ya nini mpaka yale mambo ambayo ni chukizo mbele za Mungu yeye ayashadadie kwa kiwango cha juu mno?
Hofu ni ya nini mpaka aendelee kuichonganisha na kuipiganisha mashariki ya kati kila uchao?

Utajiri wa dunia (mafuta na madini) kwa sehemu kubwa vinapatikana hapo mashariki ya kati na Africa! Huko kwingine Mungu hakukubariki! Huko ndiko alikotokea Lilith! Huko ndiko asili ya Kaini alikimbilia! Huko ndiko kulikolaaniwa na Mungu ndio maana hawakubarikiwa chochote cha asili (wengi hawatanielewa)
Huko ndiko walikotikea wale wanefili majitu makubwa

Kila kitu kina pande mbili hasi na chanya! Mzungu anajua upande wa hasi ni upi ndio maana haachi kuhangaika na kule kulikobarikiwa

WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA! MUNGU HAJAWAHI KUSHINDWA
Unaambiwa kabla ya occupation ya HOMOSAPIENS kutoka Africa Ulaya kulikuwa na species nyingine ya binadamu waliitwa NEANDERTHAL (ambao ni extinct kwa sasa) ,hawa baada ya kuinteract na Homosapiens ,wakaanza kuchangamana nao sexually ,mpaka wakawa dissolved kwenye vizazi vya HOMOSAPIENS

Huko ASIA kulikuwa na specie ya kibinadamu inaitwa DENISOVAN ambao nao ni extinct ,hawa ndio walicontribute Genetic pool ya watu wa ASIA nadhani baada ya kuchanganyika na HOMOSAPIENS toka AFRICA ,huku Africa tukabaki HOMOSAPIEN original......

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Unaambiwa kabla ya occupation ya HOMOSAPIENS kutoka Africa Ulaya kulikuwa na species nyingine ya binadamu waliitwa NEANDERTHAL (ambao ni extinct kwa sasa) ,hawa baada ya kuinteract na Homosapiens ,wakaanza kuchangamana nao sexually ,mpaka wakawa dissolved kwenye vizazi vya HOMOSAPIENS

Huko ASIA kulikuwa na specie ya kibinadamu inaitwa DENISOVAN ambao nao ni extinct ,hawa ndio walicontribute Genetic pool ya watu wa ASIA nadhani baada ya kuchanganyika na HOMOSAPIENS toka AFRICA ,huku Africa tukabaki HOMOSAPIEN original......

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
1d49d2a7f45c4a4cae78658868b3b12a.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazungu/watu weupe ni albino wa Kiafrika ambao walitengwa. Wakaenda huko kaskazini kwenye baridi na kutokea wazungu.
 
Zamani ilikuwa ni kosa kubwa na laana kwa mtu mweusi kuishi,kuoa/kuolewa na mwanadamu(white people) lkn kwa bahat mbaya kizaz cha leo hawaambiliki wala hawashauriki kutwa kuwasifu na kuwaabudu hao weupe, viongoz wenu kutwa kucha kuzurura nchi za hao viumbe, kwa namna hii Afrika ya watu weusi haiwezi kuendelea mpka tuondoe vizuiz/vifungo vya akili tulivyomezeshwa kupitia elimu&dini.

Mkuu inategemea unazungumzia “zamani” gani
Kabla wazungu hawajafika huku afrika hizo Hadithi hazikuwepo sababu tulikua wausi watupu

Ukichanganya mambo ya IMANI na jambo lolote lile lazima utapata hekaya za kufikirika zaidi kuliko uhalisia na FACT

Fact ni kwamba wazungu walitangulia kuyajua maarifa kabla yetu

Mashariki ya kati wana historia ya dini zaidi lakini historia ya maisha kwa ujumla wazungu wapo deep sana

Dola la kibabe la Rumi ndilo lililoeneza historia ya mashariki ya kati kisha ukafata upanga wa Mudi na ma khalifa waliomfuata
Hawa ndio walisamabaza kwa NGUVU imani ya mashariki ya kati
 
Mkuu inategemea unazungumzia “zamani” gani
Kabla wazungu hawajafika huku afrika hizo Hadithi hazikuwepo sababu tulikua wausi watupu

Ukichanganya mambo ya IMANI na jambo lolote lile lazima utapata hekaya za kufikirika zaidi kuliko uhalisia na FACT

Fact ni kwamba wazungu walitangulia kuyajua maarifa kabla yetu

Mashariki ya kati wana historia ya dini zaidi lakini historia ya maisha kwa ujumla wazungu wapo deep sana

Dola la kibabe la Rumi ndilo lililoeneza historia ya mashariki ya kati kisha ukafata upanga wa Mudi na ma khalifa waliomfuata
Hawa ndio walisamabaza kwa NGUVU imani ya mashariki ya kati
Ok
 
Mkuu inategemea unazungumzia “zamani” gani
Kabla wazungu hawajafika huku afrika hizo Hadithi hazikuwepo sababu tulikua wausi watupu

Ukichanganya mambo ya IMANI na jambo lolote lile lazima utapata hekaya za kufikirika zaidi kuliko uhalisia na FACT

Fact ni kwamba wazungu walitangulia kuyajua maarifa kabla yetu

Mashariki ya kati wana historia ya dini zaidi lakini historia ya maisha kwa ujumla wazungu wapo deep sana

Dola la kibabe la Rumi ndilo lililoeneza historia ya mashariki ya kati kisha ukafata upanga wa Mudi na ma khalifa waliomfuata
Hawa ndio walisamabaza kwa NGUVU imani ya mashariki ya kati
Ukichanganya mambo ya IMANI na jambo lolote lile lazima utapata hekaya za kufikirika zaidi kuliko uhalisia na FACT!
Kwa mtazamo wako huu Mayu naomba uniwekee fact na hekaya na tofauti zake[emoji1545][emoji1545][emoji1545]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi Wana Jf Jamii Itelligence,
Mambo yasiwe mengi sana, ili kumpata huyu mtoa hoja, ni lazima tuzame sana tena kwa undani zaidi ktk " ELIMU" tuitazame DUNIA hii ilianzaje, Ina umri gani, viumbe hai walianza lini, na viumbe vyenye akili vilianza lini, vilitokea wapi? Kwa nini? n.k
Kidogo tu hebu turudi kwenye vyanzo vya hizi dini zetu zote chimbuko lake wapi? Dini na na M/MUNGU hauwezi kuvitenganisha!
Kwa msaada kidogo tu, hebu tukisome kijitabu kiitwacho "THE END OF THE DAYS" na ndg. Zachariah Sitchin.
Soma, usijali kama ni hadithi au la, tafakari, ongeza maarifa kwa kusoma vitabu vingi zaidi, fanya tafiti, pata uelewa zaidi, nafikiri utapata vitu vyenye akili na faida zaidi., " KUMBUKA...... Mshike sana ELIMU usimwache ...........!
Karibu.
 
Hi Wana Jf Jamii Itelligence,
Mambo yasiwe mengi sana, ili kumpata huyu mtoa hoja, ni lazima tuzame sana tena kwa undani zaidi ktk " ELIMU" tuitazame DUNIA hii ilianzaje, Ina umri gani, viumbe hai walianza lini, na viumbe vyenye akili vilianza lini, vilitokea wapi? Kwa nini? n.k
Kidogo tu hebu turudi kwenye vyanzo vya hizi dini zetu zote chimbuko lake wapi? Dini na na M/MUNGU hauwezi kuvitenganisha!
Kwa msaada kidogo tu, hebu tukisome kijitabu kiitwacho "THE END OF THE DAYS" na ndg. Zachariah Sitchin.
Soma, usijali kama ni hadithi au la, tafakari, ongeza maarifa kwa kusoma vitabu vingi zaidi, fanya tafiti, pata uelewa zaidi, nafikiri utapata vitu vyenye akili na faida zaidi., " KUMBUKA...... Mshike sana ELIMU usimwache ...........!
Karibu.
Soma, usijali kama ni hadithi au la, tafakari, ongeza maarifa kwa kusoma vitabu vingi zaidi, fanya tafiti, pata uelewa zaidi, nafikiri utapata vitu vyenye akili na faida zaidi., " KUMBUKA...... Mshike sana ELIMU usimwache ...........!
 
Back
Top Bottom