Je, wazungu sio wakazi asilia wa hii dunia?

Je, wazungu sio wakazi asilia wa hii dunia?

Mzungu ni nani na katokea wapi? je kipindi ambacho yesu anazaliwa huko mashariki ya kati wale akina kaisari amabao walikua ni watawala wa ufalme wa kirumi walikua watu gani kama sio wazungu? swala la kuwapondea ni wivu wetu tu sisi watu weusi na hali ya kukosa ubunifu na akili za kukabiliana nao..... ikumbukwe kua hata hizo dini mnazojifichia akazileta huyohuyo mzungu na ndio aliowafundisha ustaarabu pamoja na kuuleta ukoloni na badae kusaidia harakati za mapambano dhidi ya biashara ya utumwa na baadae ukoloni...

kama kweli mtoa mada unadai sisi ni watu wa mungu iweje hao tunaowasema vibaya wapendelewe kua na maendeleo pamoja na utajiri uliotukuka?
hayo ni maneno tu ya mfa maji....walishatutangulia kutokana na matumizi yao sahihi ya akili zao.....
na huyu Mungu mnaemuongelea pengine sio mungu mkuu na ndio maana wao wazungu kama wana mungu wao amekua anawasaidia sana na mambo yao yanakwenda vizuri.
wewe najua ni mzungu unatetea ndg zako
 
Ni muda muafaka sasa naomba maswali
kuuumbe mshana una miliki Yu tube? Asee nimejua na ile ndiyo sauti yako?
Umeamua kufanyia mambo yako Msata mzee! Au? Mimi niko hapa karibu tu panaitwa mungu atosha japo nimezaliwa mbwewe naomba kibarua boss
 
kuuumbe mshana una miliki Yu tube? Asee nimejua na ile ndiyo sauti yako?
Umeamua kufanyia mambo yako Msata mzee! Au? Mimi niko hapa karibu tu panaitwa mungu atosha japo nimezaliwa mbwewe naomba kibarua boss
Hahhaaa hapana kaka atakuwa mwingine huyo ila kama uko mitaa hiyo nitakucheki soon
 
Mimi siamini kama binadamu wa kale alikuwa nyani. Kama alikuwa nyani basi hata sasa ni nyani na sio binadam. PERIOD.

Shuleni kuna hadithi za namna nyingi, tena nyingi za uongo na chache zenye kufundisha lakini tuna wajibu wa kutafuta ukweli beyond academic and religion walls. Hadithi na nadharia eti zamani mamba na mijusi walikuwa dinosaurs nk nk

Ukweli ni kwamba binadamu ni binadamu toka yule wa kwanza mpaka wa mwisho. Hakuna binadamu aliyekuwa nyani wakati wowote.

Maswali machache madogo:-

1) Kwanini nyani leo hawawi binadamu??

2) Halafu, nini kilitokea kukomesha huo utaratibu wa nyani kuwa binadam?

3) Na kama nyani alikuwa anakuwa binadamu, je baadaye huyu binadam alikuwa anakuwa nani sasa?
unashindwa nini...
Mtu Nyani wa kale alikuwa mzungu yaani neandethals.

Mbona habadiriki tena?

Ulaya wanazaliwa kila siku watoto neandethals nenda kajioneee!

Msitusumbue na vimaswali vya kitoto hivo!
 
unashindwa nini...
Mtu Nyani wa kale alikuwa mzungu yaani neandethals.

Mbona habadiriki tena?

Ulaya wanazaliwa kila siku watoto neandethals nenda kajioneee!

Msitusumbue na vimaswali vya kitoto hivo!

IMG_0123.jpg

Kwa ushahidi huu naweza kukubaliana na mtoa maada kuwa huenda wazungu sio wenyeji wa Sayari hii.! The pre existed european species (Neanderthals) went extinct due to the competition with immigrating human beings (White people)
 
Bw. Mshana Jr asante kwa mada tajwa, naomba kupingana nawe.

Maelezo yako si tu kwamba hayana ushahidi wala mashiko (kisayansi au kihistoria) lakini pia ni potofu.

Naanza kuona madhara ya mythology na spirit-ism. Katika hali ya kawaida na kwa hadhi yako hapa JF, dhana yako ya Wazungu ni wavamizi "aliens" imejengwa kwenye imani ya mambo ya hadithi za kimizimu lakini ktk akili ya kawaida na uhalisia ni hoja mfu kabisa.

Historia inaonyesha na kuthibitisha kuwa binadam wa kale (Adam-Nuhu) waliishi kwenye dunia ya wakati huo. Historia inaonyesha baada ya Gharika ya Nuhu, jinsi jamii, watu na mataifa ya ulimwengu (uliofuata baada ya Gharika) walivyoishi na kutawanyika. Historia imejaa ushahidi na taarifa za makabila, lugha na tamaduni za mataifa ya ulimwengu wakiwemo Wazungu. Sayansi pia inaonyesha Mzungu ni binadamu kama Mwafrika, Mu-Asia, Mlatino yeyote kwa 100%. Suala la rangi yao (ukizingatia wana tofautiana hata wao kwa wao) halina mashiko kwa vigezo vyako hapo juu.

Kwa vile Mzungu ni binadam (wa kawaida) ndio maana anahusika na madhara na uharibufu katika dunia hii na sio ktk sayari nyingine. Unataka kuniambia matatizo tuliyo nayo leo ni Tanzania ni mkono wa Mzungu tu? Ni upi mchango wa jamii nyingine kama Waafrika, Waasia nk kwenye matatizo yetu?

Hebu nikuulize yafuatayo:-

1) Mzungu amemzidi nini (kimaumbile, kiumuundo) Mwafrika au Mlatino au Mu-Asia?

2) Hao Wazungu "aliens", wana mfumo gani hasa wa maisha?

3) Je wanazaa, wanaugua na kufa?
Hoja fikirishi
 
Natakiwa nifanye nini ili na mimi nile ban?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3064][emoji3064][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji2827]
 
[emoji3064][emoji3064][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji2827]
Mkuu kuna siku za nyuma kidogo niliona kama umekula ban, ni kweli ulikuwa wewe au ni wenge langu tu? Kama ni kweli share na mimi mbinu uliyotumia pliz.
 
kwa maana yako blacks tumelaaaniwa NIKISEMA BIBLE INAWABEBA WAZUNGU MNABISHA KWA HERUFI KUBWA!!? huyo mungu wa bible mm simuamini kama anubaguzi kiasi hiki? yaani abariki weupe aache sisi blacks .pambafffff
Mungu katukanwa masikini [emoji22]
 
Mkuu kuna siku za nyuma kidogo niliona kama umekula ban, ni kweli ulikuwa wewe au ni wenge langu tu? Kama ni kweli share na mimi mbinu uliyotumia pliz.
Hahahaha[emoji23].. Nilikosea kidogo mahali nikaanyooshwa
 
Back
Top Bottom