morphine
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 3,504
- 1,093
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GetsemaneUSA inaitwaje kwenye Biblia?
Ndo mnavyodanganyana kweli sisi ni masokwe!Daaa! asante sana Mkuu, sikujua yaani nitaringa sana hallow! mpaka Mungu asikie! nimeona ka ukweli flani hivi! kumbe mimi ni Ukoo wa Daudi? Abraham, Rafiki wa Mungu.
JF ibarikiwe, nimekaa kanisani SDA miaka 20 Sikuyajua haya! ama kweli hawa ni wapigaji, yale mazungumzo ya Mungu na Babu yangu Abraham nayafufua rasmi usiku huu! yaani hata Wazungu/ wahindi wa kariakoo wanibague nawaona km takataka!
Kumbe nyinyi ni Masokwe? basi hamna dhambi! yaani hamwendi Mbinguni ila Mimi ni ukoo wa Yesu!
Hapana Mkuu haya mambo yalikuwepo na yapo just googlise tu, so nimekupa hint:Unaomekana kuna kitu unakijua ila punguza fix na kuchukua mambo ya kwenye movoe kisha kuyaweka hapa sitak kupinga hoja zako ila punguza FIX zaman kulikhwa na technolpgia ndogo na ndio maana tumeshindwa kuona ata picha ya NUHU michpro ming ya kale ecborwa kwa mawe na kuchpnga vinyago
How?...ujinga wa mwafrica ni kumlaumu mtu kwa makosa yanayotokana na ujinga wake mwenyewe......Ni kweli mkuu.. Nawamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kucorrupt akili zetu
Hiyo biblia imeandikwa na mtu mwenye asili ya wapi???...kuna story ya biblia juu ya malaika waliotamani mabinti wa wanadamu baadae wakashuka duniani wakawaingilia wakazaa majitu ila haikueleza mwisho wake hao ndio wazungu wenye laana ya asili
Yesu alikuwa na asili ya wapi??.watu weupe wana roho ya kishetani kama asili yao ilivyoo, wanaenda kinyume na mipango ya Mungu kwasababu hawakupangwa kwenye list ya Mungu
kutokana na husda zao na wivu basi wanafanya kila jambo kupoteza asili ya binadamu wa kwanza na kushape kila jambo kwenye uongo wao kuanzia habari ya Yesu, na habari za misri zote kijumla
kwaiyo mwisho wa siku kama wewe ukiujua ukweli hata kama kidogo utabaki kuwadharau tu!
vilevile wadau haya mambo yanaitaji ufatiliaji wa vitabu na kuunganisha dot kwenye mambo yanayoteka sasa ndio kupata majibu
Unaweza ukadhibitisha ni wapi wazungu waliwagombanisha wacha mungu?..wazungu wanalijua hilo ndio maana wana wivu na ubabe mwingi dhidi ya wacha mungu wa kweli pamoja na kuwachonganisha wao kwa wao lakini bado nema imeendelea kuwashukia kila uchao!
Kwa akili yako Mzungu ni nani?...Hivi, huwa wanapata Mrejesho gani...!! pale wanapo jaribu kupima au kuchukua vipimo vya DNA (vinasaba) kwa viumbe wa kale (hii inaweza kuwa ni Siri) ili kujua chimbuko na asili MZUNGU alipotokea..!
Kwa sababu, kama anavyo sema Mshana Jr, hakuna vitabu vya Dini, wala vile vya Wanazuoni wa kale, vinavyo mzungumzia Mzungu na Asili ya kule alipotokea..
Yapo mengi (Mzungu) anayojaribu kwa juhudi kubwa, kuyafunika ama kuyapoteza, kwa nia ya KUFICHA alipo tokea.
When waliwaua?.Wavamizi walioitwa wazungu ndio waliwaua
Soma hiyo kwa makini then utajua ni jinsi gani umelishwa ujinga wewe kama mtu mweusi...Kaini akauliza tena ,huko ninapokwenda si wataniua?
Mungu akamjibu nitakuweka alama na hakuna atakae kuua na atakaethubutu kufanya hivyo.atalaaniwa mala7.
Umetoa wapi hizi picha?...Blacks with blue eyes, je Wazungu wanawezekana wana share DNA na baadhi ya hawa?
View attachment 540290
View attachment 540291
View attachment 540292
View attachment 540289
View attachment 540288
Nenda kasome history vizuri..Na ndio maana hata JUA linawaathiri kwa sababu sio wa Asili wa Dunia hii
Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
Watu wa mashariki ya katiHiyo biblia imeandikwa na mtu mwenye asili ya wapi???...
watu weusi tulitokea katika mgao wa waundaji wetu tukiwa kama wasaidi wa kazi kilimo chao,ila hawa weupe ni mabaki yao na wanacover kama miungu watu.
Sent using Jamii Forums mobile app