Je, wazungu sio wakazi asilia wa hii dunia?

Je, wazungu sio wakazi asilia wa hii dunia?

Tunawazoom tuu.
Screenshot_20200420-074149_Twitter.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaa! asante sana Mkuu, sikujua yaani nitaringa sana hallow! mpaka Mungu asikie! nimeona ka ukweli flani hivi! kumbe mimi ni Ukoo wa Daudi? Abraham, Rafiki wa Mungu.

JF ibarikiwe, nimekaa kanisani SDA miaka 20 Sikuyajua haya! ama kweli hawa ni wapigaji, yale mazungumzo ya Mungu na Babu yangu Abraham nayafufua rasmi usiku huu! yaani hata Wazungu/ wahindi wa kariakoo wanibague nawaona km takataka!
Ndo mnavyodanganyana kweli sisi ni masokwe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaomekana kuna kitu unakijua ila punguza fix na kuchukua mambo ya kwenye movoe kisha kuyaweka hapa sitak kupinga hoja zako ila punguza FIX zaman kulikhwa na technolpgia ndogo na ndio maana tumeshindwa kuona ata picha ya NUHU michpro ming ya kale ecborwa kwa mawe na kuchpnga vinyago
Hapana Mkuu haya mambo yalikuwepo na yapo just googlise tu, so nimekupa hint:
 
Hapa Duniani na humu JF kuna watu mbegu wa aina Mbili. ambao wana uadui wa wazi kati yao, Mungu alisema ''Nitaweka uadui kati ya uzao wako na uzao wa mwanamke'' wewe utamponda kisigino na yeye atakuponda kichwa!

Wote mnajua Mwili ni hekalu la Mungu, kichwa kiko juu ya mwili, na Kisigino kiko chini ya Mwili: na Mungu yuko juu Mbinguni na Shetani yuko chini kuzimu; hizo mbegu mbili ni km hizi;

1. Kwanza ni kile kizazi cha Nyoka, kilichojifanya km wana wa Mungu walio ungana na weupe wazungu lengo lao ni kupotosha weusi wanaojitambua. hawa wanaamini wao asili yao ni Nyani tu, hawajishughulishi kujua ukweli mbingu hawana haja nayo. hata uwapige msasa vipi watasema mara Mungu ni hadithi, mara hayupo nk.(km mzee wa hasira kali Dicks) wanapenda uongo uongo wa kudanganywa kama Baba yao Shetani alivo muongo. wakisikia tu neno la Mungu wananuna. wakati, hawazuii kunywa maji hata hawamjui.
,
2.Hawa ni Wana asili wa Adamu ambao wana pumzi ya Mungu kabisaa hawa ni rahisi sana kuju asili yao ya Mbinguni hata muwadanganye vepi. ukigusa kidogo tu wanajitambua vyema! wana wa Cush haooo!.

Tambua kuwa haijalishi hata mnaweza zaliwa familia km Cain na Abel! .. lkn humo humo! Mungu akawa na wa kwake, na Shetani pia akawa na wa kwake! ni rahisi sana kuwajua wa shetani ktk familia yenu, ...yaani

Baba mmoja na Mama mmoja, ni wale wachoyo, kinyongo, wagomvi, wabinafsi ktk familia zao! Baba yako amekuzaa lkn unamloga/ unamtoa ndagu!, na kweli unafanikiwa, mara umpige kaka yako! kuua ndgu ni rahisi!

Mara nyingi ni watu wa ku fail fail kimaisha, Shule hawafaulu hata akifaulu haendi mbali! Kazini hawazalishi sana. wanautegemezi mwiingi! ulio base kwenye umbea, majungu, na uchonganishi, ushindani wakijinga,

Uki move Ulaya na wao wanataka kuja huko! Ukirudi kuendeleza home nao hawa hapa, ukianzisha biashara wanataka ubia. wkt hawana hela! wanalinganisha eti na wahindi '' tuwe km wahindi wanasaidiana'' kama mtazamo wa Khalifavinnie!
 
Ni kweli mkuu.. Nawamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kucorrupt akili zetu
How?...ujinga wa mwafrica ni kumlaumu mtu kwa makosa yanayotokana na ujinga wake mwenyewe......
...usimeze meze hovyo bila kufikiria...
 
watu weupe wana roho ya kishetani kama asili yao ilivyoo, wanaenda kinyume na mipango ya Mungu kwasababu hawakupangwa kwenye list ya Mungu
kutokana na husda zao na wivu basi wanafanya kila jambo kupoteza asili ya binadamu wa kwanza na kushape kila jambo kwenye uongo wao kuanzia habari ya Yesu, na habari za misri zote kijumla
kwaiyo mwisho wa siku kama wewe ukiujua ukweli hata kama kidogo utabaki kuwadharau tu!
vilevile wadau haya mambo yanaitaji ufatiliaji wa vitabu na kuunganisha dot kwenye mambo yanayoteka sasa ndio kupata majibu
Yesu alikuwa na asili ya wapi??.
 
wazungu wanalijua hilo ndio maana wana wivu na ubabe mwingi dhidi ya wacha mungu wa kweli pamoja na kuwachonganisha wao kwa wao lakini bado nema imeendelea kuwashukia kila uchao!
Unaweza ukadhibitisha ni wapi wazungu waliwagombanisha wacha mungu?..
Na lini hiyo neema iliwashukia hao wacha mungu?..
 
Ukitaka kuona jinsi gani waafrica ni wajinga..ni pale ambapo wanaamini kitu kilichoanzishwa na mtu mweupe(bible) na humo ndani ya kitu hicho hakuna sehem hata moja iliyoonyesha uwepo wa mtu mweusi lakin bado wanaendelea kuwa wajinga na kuendeshwa na huyohuyo mzungu wanayemchukia na kumponda kwa kujua ama kutokujua..sio kwamba nawafagilia wazungu..ila n ujinga wa hali ya juu kuponda wazungu kwa sababu ya wivu ili kujipa moyo sababu ss tumeshindwa kwenda na spidi yao na huo ni mojawapo ya ujinga wa mwafrica..kukiponda kitu sababu yeye hana na hatokuja kukipata...

..We hate everything that we don't have it and it because we don't have it and we will never have it......
 
Hivi, huwa wanapata Mrejesho gani...!! pale wanapo jaribu kupima au kuchukua vipimo vya DNA (vinasaba) kwa viumbe wa kale (hii inaweza kuwa ni Siri) ili kujua chimbuko na asili MZUNGU alipotokea..!

Kwa sababu, kama anavyo sema Mshana Jr, hakuna vitabu vya Dini, wala vile vya Wanazuoni wa kale, vinavyo mzungumzia Mzungu na Asili ya kule alipotokea..

Yapo mengi (Mzungu) anayojaribu kwa juhudi kubwa, kuyafunika ama kuyapoteza, kwa nia ya KUFICHA alipo tokea.
Kwa akili yako Mzungu ni nani?...
 
Kaini akauliza tena ,huko ninapokwenda si wataniua?
Mungu akamjibu nitakuweka alama na hakuna atakae kuua na atakaethubutu kufanya hivyo.atalaaniwa mala7.
Soma hiyo kwa makini then utajua ni jinsi gani umelishwa ujinga wewe kama mtu mweusi...
 
Back
Top Bottom