Goliati mbishi
Senior Member
- Apr 2, 2020
- 127
- 115
Ngoja nikae siti ya mbele kabisa naona Mr. Kidevu ANAKUJA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How?...ujinga wa mwafrica ni kumlaumu mtu kwa makosa yanayotokana na ujinga wake mwenyewe......
...usimeze meze hovyo bila kufikiria...
[/QUOTE
Sawa mkuu..
Sorry una umri gani?Huu uzi umejaa Ubaguzi.
Africans tumebalikiwa na Kipi?
Tumegundua nn hasa kinacho isaidia Human race
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ongezea kidogo nyama hapo, hao blue eyed aryan ni watu gani. Na mfano wa famous people ni kama yupi vileKwa hiyo DNA copy ina under go chemical reaction? halafu ina tengeneza kichina-black? Mullatoes imetokana na Mule, so long as umezaliwa na Cauccasians utakuwa kundi hili, na hawa siyo Wa- africa hata wao hawataki kujitanabaisha hivyo!
Hayo ya kusafiri Anga za mbali miaka million ni mingi sana, sasa hivi SOYUZ shuttle inaenda ISS kwa masaa sita tu. sasa hivi kuna Human cloning, hawana baba wala mama, na tunaishi nao! humu! wapiganaji wa Al shaabab wengi ni human cloning!
Baadhi ya Viongozi wa Ulaya wako kundi hili, saa ngapi mtu aka hangaike na kumpiga miti nyani? Binadamu hata ishiwa mawazo, kumbuka Yesu aliwahi sema hakuna jipya chini ya Jua, yote mnayo yaona yalikuwepo!
Haya maendeleo unayo yaona leo ni cha mtoto, kabla ya gharika, kulikuwa na maendeleo si kitoto, na hatujafikia hata robo, Bara la LIMULIA, & ATLANTIDAS yalikuwa mbali kisayansi, watu walikuwa hawafi wali mould- incarnation. ukinyanyua mkono tu tayari uko kizio cha kaskazini.
Hii sayansi adimu ilizamishwa Bermuda triangle, over one Night hkn kilichopona zaidi ya Egyptian Pyramids, mpaka leo vyombo vya anga na Majini havikatizii eneo hili. wanacho fanya wazungu leo ni ku-Copy na ku- Paste. ndiyo maana Egyptology & excavation sites zote Duniani hkn Mswahili hata mmoja.
Kizazi kilichoponea chupuchupu ni Blue eyed Aryan. ndiyo wana hiyo siri mpaka leo! wazungu wote wanawaheshimu na kuzima Sigara zao! hao ndiyo walifanya Ulaya ikanyanyuka ki hali zote, kijeshi, uchumi, Siasa Duniani. Majemedari wote hatari walioongoza vita ya kuikomboa Ulaya, kwa mafanikio km Chale Mange walitoka hapo.
Nordic Race is the Master Race, Herrenvolk, Nazi IdeologyMkuu ongezea kidogo nyama hapo, hao blue eyed aryan ni watu gani. Na mfano wa famous people ni kama yupi vile
Sent using Jamii Forums mobile app
LEMULIA ni watu gani hao? Asili yao ni wapi? Wapo kwa wingi au uchache kiasi gani?Nordic Race is the Master Race, Herrenvolk, Nazi Ideology.View attachment 1446861wako km hivi but uki google utapata inf. pana zaidi, wazungu wengine huona km ubaguzu hivi. hasa wayahudi na wazungu wa kusini mwa Bara Ulaya. sababu hawa Aryan wanajiona Bora. eti walistahili kutawala Dunia, ndiyo wamewaletea wazungu wote mafanikio. hawa Aryan wako kaskazini ya Ulaya. wanadai ndiyo masalia ya kizazi cha kale cha LEMULIA.
MKUU WEWE NI MCHIMBUZI SANA WA HAYA MAMBO, ANGALIA HII! NA KUENDELEA!LEMULIA ni watu gani hao? Asili yao ni wapi? Wapo kwa wingi au uchache kiasi gani?
Jr[emoji769]
Asa hapa kuna ubishi wengine wanadai ni weusi, na wengine ni weupe yaani wazungu! nimejaribu kuweka ila zinazengua, jaribu ku-expand hii, halafu utushushie vitu kadfri ya uelewa wako! sawa mkuu?LEMULIA ni watu gani hao? Asili yao ni wapi? Wapo kwa wingi au uchache kiasi gani?
Jr[emoji769]
[emoji120][emoji120][emoji120]karibu uendeleeeAsa hapa kuna ubishi wengine wanadai ni weusi, na wengine ni weupe yaani wazungu! nimejaribu kuweka ila zinazengua, jaribu ku-expand hii, halafu utushushie vitu kadfri ya uelewa wako! sawa mkuu?View attachment 1447135kuna kitu nataka nikichangie hapa ili na wengine waelewe!
The first world was black na haijalishi Bible inasemaje,Binadam wa kwnz kagundulika Olduvai gorge ambayo iko wp?View attachment 535737kuna vitu vingi vya kushangaza mno, ambavyo kutokana na kutwezwa na mahangaiko ya dunia tunakosa muda wa kuvitafakari
1. Dunia ya Mungu ilikuwa mashariki ya kati?
Hapa ndio kama Mungu alipatambua kama uumbaji wake! Si kwamba hakukuwa na maisha mengine la hasha yalikuwepo! Soma habari za Lilith au Kaini kwenda kuoa 'huko kwingine' baada ya kumuua ndugu yake!
2.Dini zote zinazoamini katika uwepo wa Mungu asili yake ni mashariki ya kati, hata katika misahafu tunachosoma kwa sehemu kubwa sana ni habari za mashariki ya kati..
Habari na matukio makuu ya dunia yote ni hapo
- Bustani ya Eden
- Mnara wa Babel
-Gharika ya Nuhu
-Sodoma na Gomorah etc etc
Kuna mahali kwenye kitabu cha Mithali tunaaswa kutafuta elimu hata mpaka China! Kwa hiyo hii ilikuwepo pia
3. Historia ya mzungu haiandikwi popote (I may be corrected) ama inaandikwa kwa uchache! Africa ilijulikana kwa Mungu(aliitambua pia) soma habari za mafarao na mfalme Suleiman na Cheopatra na asili zao!
4. Mzungu ni mvamizi wa dunia( possibly Alien ama mkuzimu) cha kushangaza mno ndio tunamchukulia kama uzao wa Mungu kutokana na yote aliyoyafanya ya kushangaza hapa duniani hasa kwenye tech
Kwa kutumia ufahamu wake na uwezo wake mkuu mzungu amejitahidi kuidanganya na kuiaminisha dunia kuwa yeye ndio kiumbe bora zaidi duniani( haya matangopori wamelishwa wengi na kuvimbiwa)
Kwa kutumia ushawishi wake huo ameweza kuigeuza historia ya dunia na kuweka mapicha yake kutuaminishaView attachment 535749
Mambo yote mabaya yana mkono wa mzungu...mipango ya muda mrefu na ya siri sana ya kutaka kuangamiza uzao wa dunia je ni hofu kuwa wenye dunia yao kuna siku watakuja kuamka na kufunuliwa ukweli?
Hofu ni ya nini mpaka alete utambulisho wa microchips mwilini?
Hofu ya nini mpaka aanzishe projects nyingi za kuleta na kueneza imani zinazopingana na Mungu?
Hofu ni ya nini mpaka yale mambo ambayo ni chukizo mbele za Mungu yeye ayashadadie kwa kiwango cha juu mno?
Hofu ni ya nini mpaka aendelee kuichonganisha na kuipiganisha mashariki ya kati kila uchao?
Utajiri wa dunia (mafuta na madini) kwa sehemu kubwa vinapatikana hapo mashariki ya kati na Africa! Huko kwingine Mungu hakukubariki! Huko ndiko alikotokea Lilith! Huko ndiko asili ya Kaini alikimbilia! Huko ndiko kulikolaaniwa na Mungu ndio maana hawakubarikiwa chochote cha asili (wengi hawatanielewa)
Huko ndiko walikotikea wale wanefili majitu makubwa
Kila kitu kina pande mbili hasi na chanya! Mzungu anajua upande wa hasi ni upi ndio maana haachi kuhangaika na kule kulikobarikiwa
WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA! MUNGU HAJAWAHI KUSHINDWA
Pepo la ubaguzi wa kaskazini likutoke in Jesus` name,hujui kuwa mabaki ya dinasoir yalipatikana mkoani Lindi!? Au unataka wambozi wadai ile meteorite ilidondoka mbozi iwe mali ya wanyakyusa tu!?Afrika Tanzania Kaskazini...Ila hii ni kwa mujibu wa historia
[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Pepo la ubaguzi wa kaskazini likutoke in Jesus` name,hujui kuwa mabaki ya dinasoir yalipatikana mkoani Lindi!? Au unataka wambozi wadai ile meteorite ilidondoka mbozi iwe mali ya wanyakyusa tu!?
Kwahiyo mkuu ma black wote uzao wetu una laana?Badala ya kuzungumzia kuhusu mzungu nadhani ni bora tuzungumzie ipi haswa ni asili yetu watu weusi?,
kila kitu kinaelezwa ndani ya biblia, baada ya gharika ya nuhu ambaye alikuwa na wanaye watatu, ham, shem na sijui yafethi hivi, ikatokea mmojawapo akalaaniwa na baba yao(mzee nuhu) ndio kuanzia hapo huyo mwana aliyemlaani akawa anaitwa 'kushi' maana yake ni black, na huyo ndiye baba wa blacks wote
Mkuu naomba unitag kwenye huo uzi wa EnokiNazidi kuchanganyikiwa nikihusianisha uzi huu na ule unaojadili kitabu cha enoki
ila nadhani huu ndo ukweli kwa asilimia kubwa sana, unapojiuliza kuna agenda gani ya wazungu kuenenda kinyume na asili na mapenzi ya MUNGU?
hebu watu warejee ule uzi unaoelezea asili ya israeli, na uwepo wa wayahudi bandia hapo israeli nadhani kuna kikubwa kinaweza kupatikana kwenye fikra za watu.