Uongo wa mzungu tu huo. Wala hatunalaaniwa sababu hiyoSijawahi pata jibu ya swali hili kuhusu huyu kushi aliyelaaniwa wanayemzushia kuwa ni mwanzilishi wa kizazi cha waafrika.
Not Isralites but JewsNaongezea mnofu tu hao hao israelites ndio wanaodhamini mradi wa microchips na vi2 vingine ambavyo vinampinga mungu mfano masons na secret societies nyengine fuatilia habari ya rockerfeller family
mshana jr hebu pitia The book of Enoch kidogo, may be there are some clues to itView attachment 535737kuna vitu vingi vya kushangaza mno, ambavyo kutokana na kutwezwa na mahangaiko ya dunia tunakosa muda wa kuvitafakari
1. Dunia ya Mungu ilikuwa mashariki ya kati?
Hapa ndio kama Mungu alipatambua kama uumbaji wake! Si kwamba hakukuwa na maisha mengine la hasha yalikuwepo! Soma habari za Lilith au Kaini kwenda kuoa 'huko kwingine' baada ya kumuua ndugu yake!
2.Dini zote zinazoamini katika uwepo wa Mungu asili yake ni mashariki ya kati, hata katika misahafu tunachosoma kwa sehemu kubwa sana ni habari za mashariki ya kati..
Habari na matukio makuu ya dunia yote ni hapo
- Bustani ya Eden
- Mnara wa Babel
-Gharika ya Nuhu
-Sodoma na Gomorah etc etc
Kuna mahali kwenye kitabu cha Mithali tunaaswa kutafuta elimu hata mpaka China! Kwa hiyo hii ilikuwepo pia
3. Historia ya mzungu haiandikwi popote (I may be corrected) ama inaandikwa kwa uchache! Africa ilijulikana kwa Mungu(aliitambua pia) soma habari za mafarao na mfalme Suleiman na Cheopatra na asili zao!
4. Mzungu ni mvamizi wa dunia( possibly Alien ama mkuzimu) cha kushangaza mno ndio tunamchukulia kama uzao wa Mungu kutokana na yote aliyoyafanya ya kushangaza hapa duniani hasa kwenye tech
Kwa kutumia ufahamu wake na uwezo wake mkuu mzungu amejitahidi kuidanganya na kuiaminisha dunia kuwa yeye ndio kiumbe bora zaidi duniani( haya matangopori wamelishwa wengi na kuvimbiwa)
Kwa kutumia ushawishi wake huo ameweza kuigeuza historia ya dunia na kuweka mapicha yake kutuaminishaView attachment 535749 Mambo yote mabaya yana mkono wa mzungu...mipango ya muda mrefu na ya siri sana ya kutaka kuangamiza uzao wa dunia je ni hofu kuwa wenye dunia yao kuna siku watakuja kuamka na kufunuliwa ukweli?
Hofu ni ya nini mpaka alete utambulisho wa microchips mwilini?
Hofu ya nini mpaka aanzishe projects nyingi za kuleta na kueneza imani zinazopingana na Mungu?
Hofu ni ya nini mpaka yale mambo ambayo ni chukizo mbele za Mungu yeye ayashadadie kwa kiwango cha juu mno?
Hofu ni ya nini mpaka aendelee kuichonganisha na kuipiganisha mashariki ya kati kila uchao?
Utajiri wa dunia (mafuta na madini) kwa sehemu kubwa vinapatikana hapo mashariki ya kati na Africa! Huko kwingine Mungu hakukubariki! Huko ndiko alikotokea Lilith! Huko ndiko asili ya Kaini alikimbilia! Huko ndiko kulikolaaniwa na Mungu ndio maana hawakubarikiwa chochote cha asili (wengi hawatanielewa)
Huko ndiko walikotikea wale wanefili majitu makubwa
Kila kitu kina pande mbili hasi na chanya! Mzungu anajua upande wa hasi ni upi ndio maana haachi kuhangaika na kule kulikobarikiwa
WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA! MUNGU HAJAWAHI KUSHINDWA
Asante kwa kumpa taarifa kijana maana alilishwa tango.pori akalimezahamu alimkosea Baba yake Nuhu. hamu alizaa Kushi ambae Ni Nubi,Misri,puti na kanaani. Nuhu alimlaani kanaani hakumlaani kushi au hamu.Kushi ipo Kati ya Ethiopia na Sudan kama sijajosea
unaelewa maana ya scandnavia? je unawajua wa scandnavia ni watu wenye asili ya wapi? uingeereza hakuna asili ya scandvania hebu jaribu kufuatilia historia ya akina vikings unaweza pata picha... nimechogundua ni kwamba hata maana ya mzungu hauijui na thats why unazunguka mbuyu tu mkuu?Waskandinavia..walisambaa magharibi ya ulaya kuanzia uingereza, ujeruman, na mataifa mengi ya ulaya wamechanganyika na walatin na waarabu na makabila mengine....mwanzoni marekani waitaliano,wahispaniola kwenye sensa hawakutambulika kama whites (wazungu).
Ndio bloodline yao hao wazungu na ndio.maana wana macho ya blue
Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
Rangi yake ni ile ambayo JUA halimsumbui!mwanzo wa dunia ni upi? na binadam wa kwanza walikua wa rangi gani?
Huyu binadam wa kwanza ni nani? na alikua na rangi gani? jibu swali mkuu.....Rangi yake ni ile ambayo JUA halimsumbui!
Maana Mungu aliumba dunia na.mazingira ambayo huyo kiumbe atakayeishia humo yatamfaa.
Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
Mkuu definition ya mzungu nimetumia waliyokuwa wanatumia wamarekan katika sensa zao za mwanzo. Na pia definition hiyo hiyo ilitumiwa na wanazi ambapo pure mzungu ni mscandinavia ambao ndio hao wamesambaa uingereza, ujeruman na mataifa mengine ya ulaya. Warumi waliwaita barbarians yaani wasio staarabika.unaelewa maana ya scandnavia? je unawajua wa scandnavia ni watu wenye asili ya wapi? uingeereza hakuna asili ya scandvania hebu jaribu kufuatilia historia ya akina vikings unaweza pata picha... nimechogundua ni kwamba hata maana ya mzungu hauijui na thats why unazunguka mbuyu tu mkuu?
Wazungu zamani waliitwa Barbaric walikuwa wanaishi tu huko.kama.wanyama hata hao warumi walikuwa hawaendi mitaa ya huko juu.maana walikuwa hadi wanakulana nyama aka Canibalism ndio.ilianzia huko. Walikuwa wako hovyo tu. We Angalia Waitaliano walivyo tofauti na waingereza na wajerumani.( Warumi wa zamani walikuwa kama wekundu hivi) (Waisrael wa zamani walikuwa technically blacks)toa maana sahihi ya Mzungu ni nani? nadhani tukianzia tunaweza pata pakuanzia huu mjadala....
BlackHuyu binadam wa kwanza ni nani? na alikua na rangi gani? jibu swali mkuu.....
Mkuu definition ya mzungu nimetumia waliyokuwa wanatumia wamarekan katika sensa zao za mwanzo. Na pia definition hiyo hiyo ilitumiwa na wanazi ambapo pure mzungu ni mscandinavia ambao ndio hao wamesambaa uingereza, ujeruman na mataifa mengine ya ulaya. Warumi waliwaita barbarians yaani wasio staarabika. Labda utupe wewe definition yako ya wazungu?
Hii nimeipendaMtu kama Trump ni uzao wa popobawa i guess
Wazungu zamani waliitwa Barbaric walikuwa wanaishi tu huko.kama.wanyama hata hao warumi walikuwa hawaendi mitaa ya huko juu.maana walikuwa hadi wanakulana nyama aka Canibalism ndio.ilianzia huko. Walikuwa wako hovyo tu. We Angalia Waitaliano walivyo tofauti na waingereza na wajerumani.( Warumi wa zamani walikuwa kama wekundu hivi)
(Waisrael wa zamani walikuwa technically blacks)
Baadae Warumi ndio walipanda huko juu na kuwafundisha hawa (Wazungu aka Barbaric jinsi ya kuishi kistaarabu)
Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
waafrika ni wapuuzi kuamini ujinga wa kuran na biblia..you are so very blinded!!!!
AzcAAAaAaZZzZzZAzanaona unataka ulete habari za makinikia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
BTW iko hivi dunia inaendeshwa na mashariki ya kati kupitia Israel ( taifa teule?) Na anayetumika kufanya hiyo kazi ni mzungu kwa maelekezo ya Israeli