Je, wazungu sio wakazi asilia wa hii dunia?

Je, wazungu sio wakazi asilia wa hii dunia?

Mungu akamuuliza kaini ,mdogowako yukowapi?kaini akajibu Mimi hukuniweka nimlinde,
Mungu akamwambia,damu ya mdogo inakulilia name kuanzia sasa huta huvuna mazao kutokana na damu ya mdogo wa inakulilia kwenye ardhi.

Kaini akuzunika na akasema ni kweli lakini mbona unanipa adhabu kubwa sana!
Basi naomba niende mbali na hapa,Mungu akamwambia Sawa,
Kaini akauliza tena ,huko ninapokwenda si wataniua?
Mungu akamjibu nitakuweka alama na hakuna atakae kuua na atakaethubutu kufanya hivyo.atalaaniwa mala7.

TABIA HII YA WAZUNGU IMEENDELEA HADI LEO,YAANI MZUNGU KUUA WATU WENGINE WANAJIONA WANA HAKI,LAKINI SEHEMU YOYOTE AKIFA MZUNGU DUNIA AU MCHI NZIMA ITATIKISIKA KWA VITISHO.MALA TUTAWANYIMA MISAADA NK.

KWAHIYO TANGU MWANZO UKOO WA KAINI NDIO HAWA WALIOWEKWA ALAMA .NA UKOO HUHUU NDIO ULIENDELEA HADI KWENYE UZAO WA LAMEK NA NAADAE YABARI AMBAYE KWENYE KITABU CHA MWANZO AMATAJWA KUA ALIKUA ANAKA KWENYE MAHEMA ,MPIGA VUNUBI NA MTENGENEZAJI WA VITU VYA CHUMA ,ALUMINIUM, BATI NA SHABA.

NA NDIO ATAJWA KAMA NDIO MWANZIRISHI WA FREEMASON.
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] Asanteni sana nimeongeza maarifa kwenye ufahamu wangu kupitia hizi replies zenu......JF ni kisima cha maarifa mengi sana[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Andiko linafikirisha vizuri. Naomba nitoe nadharia zangu kutokana na nilivosoma historia ya ulimwengu. Watu weusi wameishi sehemu kubwa ya dunia miaka na miaka na mifupa yao imegundulika maeneo mengi tu kuanzia ulaya mpaka china huko. Ndo maana vitabu vya dini havizungumzii ubaguz wa rangi sababu weusi hawakuwa kitu kipya huko duniani.
Naweza sema hii theory ya Mshana inaweza kuwa inaukweli fulani kutokana na juhudi wanazofanya wazungu kuwadidimiza watu weusi. Magonjwa kama ukimwi wao ndo wametengeneza. Hata hao watu wa biblia kutoka mashariki ya kati hawakuwa kama hawa waarabu wa leo. Inasemekana pia waisrael hawakuwa weupe kama hawa wa leo. Hawa wa leo ni watu wa ulaya na jamii kadhaa waliosilimu kuwa wayahudi. Misri ilikua taifa la weusi. Jiulize waarab au wazungu wanawezaje kwenda kuomba hifadhi kwa weusi kipindi cha Yakobo baba wa Joseph??? Jibu ni kwamba walienda kuishi kwa weusi wenzao wa misri. Utawala wa 25 wa mapharao walitoka kwa wanubi ila haimaanishi waliopita hawakuwa weusi.Mfano mzuri wa watu wa mashariki ya kati ni waarabu wa Yemen. Hadi leo haieleweki kwa nini kitabu cha Enoch kimetolewa kwenye biblia? Ukisoma hicho kitabu Nuhu inasemekana Nuhu anashangaa kupata mtoto mweupe mwenye macho ya blue...akaogopa...akaona sio wake ila anafanana na watoto wa malaika walioasi. Wazungu wanavohalalisha ushenzi kama ushoga wa sodoma na ghomora bila aibu ndo wanatupa mashaka zaidi na kufikirisha asili yao. Pia sayansi inatuambia watu weupe wanakiwango cha Neandathal..binadamu alipotea...katika dna zao. Waafrika weusi pure hawana hizo cell za neandathal


Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Uhusiano wa waethopia(weusi wenzetu) na waisrael umeanza toka zamani sana kabla hata Suleiman hajazaa na Queen of Sheba. Jiulize kwa nini?? Jibu ni ndugu wenzao wale na walikua wanafanana nao. Kuna mfalme alitoka Ethiopia kwenda kuwapiga maadui wa Israel na akashinda.

Wasomi wa kiafrika ndo tunaotakiwa kuandika historia yetu sio wazungu. Usitegemee anaekuchukia atakuandikia historia nzuri. Ili akutawale kiakili lazma akupe historia dhaifu na yake kuifanya bora.Sudan kwa wanubi weusi kuliko sisi kuna mapiramidi mengi kuliko Misri ila usitegemee mzungu na media zao watasifia mazuri ya huku.
 
Blacks with blue eyes, je Wazungu wanawezekana wana share DNA na baadhi ya hawa?

image.jpg

image.jpg

image.jpg

image.jpg

image.jpg
 
Mwanakondoo aliyegeuka na kuwa na ulimi wa nyoka ufunuo huko
[emoji102] [emoji102] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji115]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Hivi si ndio wanasema fuvu la binadamu wa awali limepatikana Tanzania Olduvai Gorge, sasa je hilo fuvu ni la Adam au Hawa?

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
Omba msaada kwa wana jukwaa wakusaidie unionyeshe mstari mmoja kaika kitabu cha mithali kinachosema uitafute elimu China,kama haupo kiri jukwaani kuwa ulikosea. Elimu katika Mithali inatajwa vema Mithali 4:13 waweza kuanzia hapo kuutafuta mstari ulioukusudia kama kweli upo.
 
toa maana sahihi ya Mzungu ni nani? nadhani tukianzia tunaweza pata pakuanzia huu mjadala....
Waskandinavia..walisambaa magharibi ya ulaya kuanzia uingereza, ujeruman, na mataifa mengi ya ulaya wamechanganyika na walatin na waarabu na makabila mengine....mwanzoni marekani waitaliano,wahispaniola kwenye sensa hawakutambulika kama whites (wazungu).
 
Na ndio maana hata JUA linawaathiri kwa sababu sio wa Asili wa Dunia hii

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
kuna story ya biblia juu ya malaika waliotamani mabinti wa wanadamu baadae wakashuka duniani wakawaingilia wakazaa majitu ila haikueleza mwisho wake hao ndio wazungu wenye laana ya asili
Ndio bloodline yao hao wazungu na ndio.maana wana macho ya blue

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
Haina jina bali ni muunganiko wa majimbo madogodogo yenye tamaduni na mila tofauti... Japo kiasili wenyeji ni wahindi wekundu waliokuja kumalizwa na wazungu
Hao wahindi wekundu pia nasikia ni moja ya kati ya kabila 12 za israel

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom