Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kama kawaida yetu watacgukua baadhi ya watumwa na wengine tutajipeleka huko kama wakimbizi
Tukae hapa tufanye nini?
Tukae hapa tufanye nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao wakidhani wataishi milele wakadekeza watoto wao, sasa inabidi tu tuchukue nafasi maana hakuna wakuzikaliaAisee kuishi kote huku duniani, hujui bado wanadamu tunaishi na kufa?
Mifumo ya dunia hubadilikabadilika kutokana na wakati. Walikuwepo wa misri, wa Persia, warumi, WAINGEREZA, Wamarekani na baadae utawala wa Yesu
Ndio maana nasema hueleweki rudia kusoma ulichoandika na nilichojibu.wewe endelea kuongelea demokrasia na kura wakati wenzako wana mpango wa kupaa