agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,400
Siku za mwizi 40Nilidhani huu uzi unazungumzia habari za Views wa Kiba!! Sasa Mashabiki wa Diamond kwanini walie lie kuhusu Views wa Kiba?!
Kwa kumbukumbu zangu, ni mashabiki wa Kiba ndio walikuwa hodari kusema Diamond ananunua Views lakini hatimae leo amefahamika ni nani anafanya janja janja kwenye views!
hivi unafahamu gharama ya kununua Airtime kwenye media espicially televisheni? acha kuongea ushuzi wewe Kiba hana uwezo wa kununua huo muda tena siku nzima usifanye mchezoKitu kimoja ni dhahiri kwa wafuasi wa Diamond: Alikiba kupewa airtime na media inawauma mno! Hivi mnadhani hao Clouds wamempa hiyo promo bure? Hiyo ni biashara, management ya Kiba wamelipia, kiasi kwamba msanii yeyote akilipa naye anafanyiwa hivyo. Lakini pia hakuna msanii aliyekuwa anapewa promo na mawingu kama Mondi! Mbona wakati huo hakukua na lialia kama hii?
Naona kaamua kutua zigo la misumari...Yan hapo walimuomba mange awafanyie jitihada za kuwachamba wcb. Mange mwenyewe kaona aseme ukweli kua hiyo sio hit song ndio maana views haziendi[emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu naona hata mange mwenyewe kamchoka.
Sitaki kupoteza mb zangu bure bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we hutaki kwenda unaogopa utamuingezea view au [emoji23][emoji16]
hii dance style nimeipenda sana😀😀 inanikumbusha enzi za P didy I need a Girl party 2....
Na safari hii mwizi kadakwa akitokea kwenye mkesha!Siku za mwizi 40
Hahaaa hapa unaongeza uchungu.ila kupata kwa wema na mondi pia kumechangia haya.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] msafara wa Pundamalia na Punda mzigo hawakosiKiwanja kinauzwa kipo Tegeta Nyakasangwe, karibu na shule ya NuruNjema nursery & Primary school.
Kiwanja kimepimwa ila hati bado hatujakabidhiwa, kuna nyaraka za serikali za mitaa.
Urefu wa kiwanja ni mita 37
Upana wa kiwanja ni mita 23
Bei 19M.
PM kwa serious buyers
Karibuni
View attachment 776312View attachment 776314
Bodaboda huwa hawapigi nyimbozankijingaUkiona nyimbo huisikii hata kwenye bodaboda jua ina walakini, yani hata hawa vijana wameipotezea dah.
Wanapitia. Mfano mmojawapo views nyingi zinastuck kwenye 301.wale wanao fikisha 1.7B viewers hawapitii hiyo hali?
Kweli... Hii complain ni very common kwenye forums kibao kwenye net... Angalieni.. Yaani inshort, zitaendelea tu. Ndo maana kwa ushahidi zaidi nimesuggest mgoogleMmhh
Hahaaa. ...kiba mweeee.Na safari hii mwizi kadakwa akitokea kwenye mkesha!
Nashukuru kutambua watu sahihi wa kulinganisha na Kiba.Mbona kwa baraka da prince amuku ongelea ila kwa ali kiba nd mna komaa nalo sana......bora yeye za baraka zilkua zina shushwa kabsa una kuta saivi ina 70k badae una kuta 45k[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daaaaa watu mna maneno.No janja janja mvumo Wa Radi umekutana na waya Wa earthquake YouTube
Hakuna wimbo mzuri kama huu nakuambia.Huo wimbo usipofunguliwa mada kama hivi unakufa kifo cha mende soon.
Wamezoea kujificha kwenye kichaka cha wcb mambo ya kibuma sasa hawana pakutupa lawama[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] acha hizo,wimbo ukibuma umebuma tu kingine wcb hawajatoa kiki yoyote au wimbo ili team kiba wapate kisingizio cha kuchangiwa na wcb
Wamezoea kujificha kwenye kichaka cha wcb mambo ya kibuma sasa hawana pakutupa lawama
Tunaomba wasafi waokoe jahazi.[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] acha hizo,wimbo ukibuma umebuma tu kingine wcb hawajatoa kiki yoyote au wimbo ili team kiba wapate kisingizio cha kuchangiwa na wcb