Je, WCB wanahusika kumhujumu Ali Kiba you tube, views kuganda?

Wimbo tokea jana unapiga Mark time pamoja na promo ya masaa 18 CMG,wamelipia promo insta lkn limegoma,ngoja tuangalie labda Mange ataokoa jahazi na wafuasi wake waliomsaliti kipindi kile cha maandamano
Hahahahhaahaha eti waliomsaliti kipind cha mapinduzi
 
Pata Soda baridiii Mkuu.
 
Bongo bado sana tunashindana views laki.
Childish Gambino kaweka rekodi views zaidi ya mil 100 kwa week.
 
Akili za Mange bhana, eti hata Nicky Manaj kaflop. Kweli? Katoa ngoma 6 days ago, leo imegonga views milioni 26, anataka kumfananisha na huyu Bwana harusi?
The current population of the United States of America is 326,437,355 as of Friday, May 11, 2018, based on the latest United Nations
 
The current population of the United States of America is 326,437,355 as of Friday, May 11, 2018, based on the latest United Nations
do you think all those views 100 m is only from US?
Then what do you think about PSY and population from his country?
He is from a small country but 3.1 billion views.
 
Asimtafute wa kumsukumia Jumba Bovu.
Apambane na hali yake.
 
Nyimbo siyo mbay ila timing ndiyo mbaya ( mvumo wa radi umekutana na kichwa cha kondoo [emoji23][emoji23][emoji23] )
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Ahahahaaaah...
Nakumbuka Alikiba alisema anasubiri video ya Ommy Dimpoz ifikishe viewers milioni tatu ndio atatoa wimbo mpya..!
Kwakuwa mashabiki wake walikua na kiu kubwa na kazi yake mpya waliamua kuivamia YouTube ili viewers milioni tatu zifike haraka ili waweze kupata kazi mpya ya msanii wao kipenzi..!
Lakini mpaka Alikiba anakuja kutoa wimbo wake mpya "mvumo wa radi" video ya Ommy Dimpoz haikufanikiwa kuwa hata na viewers milioni moja,mpaka sasa video ya Ommy Dimpoz haijafikisha viewers milioni moja..!

MASHABIKI wa Alikiba muache kumtafuta mchawi nani,ukweli ni kwamba siku zote upinzani na Diamond/WCB ndio umekua ukiboost nyimbo za Alikiba,safari hii naona watoto wa WCB wamepiga kimya kama hakuna kinachoendelea hivyo mashabiki wa Alikiba wamekosa kitu cha kuwatia HASIRA na kuwafanya wakeshe YouTube..!
Utulivu wa WCB umewafanya mashabiki wa Alikiba wapunguze kasi ya kuupromote wimbo wa msanii wao pendwa kwenye mitandao ya kijamii,utulivu wa WCB umemfanya mpaka Mange Kimambi ajisahau kumpa support msanii wake pendwa..!


WCB wakiendelea kumpuuzia hivihivi Alikiba kila anapokaribia kutoa au anapotoa kazi zake hivi ndivyo hali itakavyokua..!
Uhasama wa Diamond na Alikiba unafaida kubwa sana kwa Alikiba,ila hauna faida yoyote kwa Diamond..!
 
Dooh sasa kwanini amekimbia vevo? Au ndo tuamini vevo kununua views ni kazi kaamia huku? Asitake nipoteze imani naye bado naamini anaweza bila ujinga ujinga
 
Walimchokoza Diamond ili awajibu wapate kuboost wimbo wao, mpaka sasa kawakaushia lakini bado wanamfuatafuata tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…