Je, WCB wanahusika kumhujumu Ali Kiba you tube, views kuganda?

hahahaha nasikia mendez kakata waya unao unganisha chanel ya Kiba YOUTUBE
Wewe jamaa huwa una michango nzuri sana kwenye nyuzi kadhaa ila linapokuja suala la ushabiki wa Diamond na Alikiba du! Yaani unajitoa ufahamu kabisa, mahaba yaliyopitiliza kwa Mondi na chuki za dhahiri kwa Kiba. Yaani huwa nashangaa kabisa!
 
Kuna ukweli hapo
 
Kweli wewe ni teamless
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Daaaaahhh kumbe viewers wanauma hadi mmeripot YouTube [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....

Mondi plz endelea kupiga kimyaa wanyooke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hvi lynne ulisafiri?
 
Mie mwenyewe niliangalia sekunde kadhaa tu nikaona siuelewi nikaupotezea[emoji1]
 
Kweli diamond kapiga kimya kama hayupo vile [emoji23]
 
Kwanza inabidi ajitahidi kukitangaza kinywani chake kwenye media kupitia matangazo kama wafanyavyo voda na airtel asitegemee wapuuzi wa Insta wanaoandika ujinga + vijembe ili kinywaji kiuzike. uteam wao wakiufanya vibaya utapekelekea bidhaa kutouzika Za msanii flani zisitoke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…