Je wewe hapa JF unampenda nani(Sio kimapenzi)

Je wewe hapa JF unampenda nani(Sio kimapenzi)

Baby Mondray
STUNTER na wifi yangu jje's
Bebe Behaviourist
Daby
The Boss
mshana jr
tamuuuuu
Uncle Hance Mtanashati
QUIGLEY
Wambeke
BIGstallion
Saint Ivuga
Azarel
Asprin
Compact
Miss Chagga
Miss Natafuta
husna muba
Antonio de Guzman
UWOGA=UMASKINI
Eddy Love
Shunie
Michaelray22
Numbisa
Paprika
Inna
Valentina
Chief Engineer
emmyta
Jovitha
Ambiere

Nawapenda wengi sana humu
Thanks joaa...i appreciate.
 
Nzuri Nsumba Boy. Juzi nilikuwa Mza nikapaona Nsumba.
Mji umependeza.
Daahh!

Mimi nimejichimbia huku nalinda Makinikia, maana Noah zipo mbioni kuanza kushuka pale Port ili nije nianze kula bata vizuri kwenye jiji la Bashite.

Mwanza nimepamiss sana, mwakani nitaenda kutembelea Mungu akipenda
 
Back
Top Bottom