Je, wewe katika scenario hii utarudi ili ufungwe miaka 30/ Maisha?

Je, wewe katika scenario hii utarudi ili ufungwe miaka 30/ Maisha?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
09.12.2019 Mahakama Kuu ilimwachia huru mtuhumiwa wa madawa ya kulevya. Jana 28/4/2023 Mahakama ya Rufaa ikamuona ana makosa ya madawa ya kulevya , ikamtia hatiani na kuamuru arudi /akamatwe afungwe miaka 30/maisha. Je wewe katika hali hiyo utarudi?

Mimi sitarudi yote ya kwangu nyumbani nayasamehe, namuachia Mungu!
 
09.12.2019 Mahakama Kuu ilimwachia huru mtuhumiwa wa madawa ya kulevya. Jana 28/4/2023 Mahakama ya Rufaa ikamuona ana makosa ya madawa ya kulevya , ikamtia hatiani na kuamuru arudi /akamatwe afungwe miaka 30/maisha. Je wewe katika hali hiyo utarudi?

Mimi sitarudi yote ya kwangu nyumbani nayasamehe, namuachia Mungu!
Kuna wakati nahisi baadhi ya majaji wanatumia msokoto🤣
 
09.12.2019 Mahakama Kuu ilimwachia huru mtuhumiwa wa madawa ya kulevya. Jana 28/4/2023 Mahakama ya Rufaa ikamuona ana makosa ya madawa ya kulevya , ikamtia hatiani na kuamuru arudi /akamatwe afungwe miaka 30/maisha. Je wewe katika hali hiyo utarudi?

Mimi sitarudi yote ya kwangu nyumbani nayasamehe, namuachia Mungu!
Aaah thubutuuu…
 
Back
Top Bottom