Kuna wakati nahisi baadhi ya majaji wanatumia msokotoš¤£09.12.2019 Mahakama Kuu ilimwachia huru mtuhumiwa wa madawa ya kulevya. Jana 28/4/2023 Mahakama ya Rufaa ikamuona ana makosa ya madawa ya kulevya , ikamtia hatiani na kuamuru arudi /akamatwe afungwe miaka 30/maisha. Je wewe katika hali hiyo utarudi?
Mimi sitarudi yote ya kwangu nyumbani nayasamehe, namuachia Mungu!
Kwanini unasema hivyo?Kuna wakati nahisi baadhi ya majaji wanatumia msokotoš¤£
Aaah thubutuuuā¦09.12.2019 Mahakama Kuu ilimwachia huru mtuhumiwa wa madawa ya kulevya. Jana 28/4/2023 Mahakama ya Rufaa ikamuona ana makosa ya madawa ya kulevya , ikamtia hatiani na kuamuru arudi /akamatwe afungwe miaka 30/maisha. Je wewe katika hali hiyo utarudi?
Mimi sitarudi yote ya kwangu nyumbani nayasamehe, namuachia Mungu!
Ukifuatilia Hukumu. Rufaa. Hukumu unabaki kusema hiiKwanini unasema hivyo?
Tena jaji wa High court sasa ni Justice of appeal!Ukifuatilia Hukumu. Rufaa. Hukumu unabaki kusema hii
Hatari sanaTena jaji wa High court sasa ni Justice of appeal!