Je, wewe ni mlaji kupindukia na unashindwa kuacha tabia hiyo? Soma hapa uwaidhike

Je, wewe ni mlaji kupindukia na unashindwa kuacha tabia hiyo? Soma hapa uwaidhike

Mkuu safuher sitoacha kukushukuru kila siku, ulinifundisha vyema sana ile kanuni ya kula once ukisikia njaa tu tena Kwa wastani, sasa ule "Umelo" nimeuweka pembeni though bado kuna baadhi ya vyakula nimeshindwa kujizuia kula kwa wingi Kutokana na kuwa na mapenzi navyo sana. (Speaking of wali &maharage/njegere 😅)

Matokeo yake sasa naweza kumaintain ile weight ninayoitaka hata pasipo kufanya mazoezi, (nafanya mazoezi nikijisikia tu), hata ninapoongezeka weight huwa nabalance chakula tu then narudi kwenye weight ya muda wote.

Nacheka sanaaa nikikumbuka wakati nakesha gym kukata kitambi na weight huku nikifukia msosi heavy, 😂😂, kazi yote ikawa sawa na bure.

Ubarikiwe sana kwa madarasa yako haya mkuu.

Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Serious huwa nachoka
Naweza kuwekewa chakula hapo nikala robo ama nusu ya sahani...nikishahisi njaa imeisha nachoka kuendelea na mood ya kula inakata🤣🤣

😂maajabu hayawezi isha duniani, wakati wengine tunapambana kupunguza "umelo" kuna watu mna uvivu wa kula lol, sipati picha nyakati za utoto ulivyosumbua kula.


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Mkuu safuher sitoacha kukushukuru kila siku, ulinifundisha vyema sana ile kanuni ya kula once ukisikia njaa tu tena miss wa wastani, sasa ule "Umelo" nimeuweka pembeni though bado kuna baadhi ya vyakula nimeshindwa kujizuia kula kwa wingi Kutokana na kuwa na mapenzi navyo sana. (Speaking of wali &maharage/njegere 😅)

Matokeo yake sasa naweza kumaintain ile weight ninayoitaka hata pasipo kufanya mazoezi, (nafanya mazoezi nikijisikia tu), hata ninapoongezeka weight huwa nabalance chakula tu then narudi kwenye weight ya muda wote.

Nacheka sanaaa nikikumbuka wakati nakesha gym kukata kitambi na weight huku nikifukia msosi heavy, 😂😂, kazi yote ikawa sawa na bure.

Ubarikiwe sana kwa madarasa yako haya mkuu.

Let's meet at the top, cheers 🍻
Pamoja sana mkuu nashkuru kwa mrejesho wako.

Ile formula imekuwa na mrwjesho mzuri kwa baadhi ya washkaji zangu hata ndugu zangu.

Changamoto ni pale mchana umekula ugali na usiku kuna kuku supu na chapati na njaa hauna,hapo ni changamoto sana kumuacha kuku kisa huna njaa.

Hapo cha kufanya ni kula kwa wastani tu ili uidanganye nafsi kisha unaacha
 
😂maajabu hayawezi isha duniani, wakati wengine tunapambana kupunguza "umelo" kuna watu mna uvivu wa kula lol, sipati picha nyakati za utoto ulivyosumbua kula.


Let's meet at the top, cheers 🍻

Utotoni nilisumbua kweli
Ili nile ilikuwa wanatafuta mjusi ama mvunja chungu manake ndio vitu naogopa

Angalau sasa hamu ya kula ninayo
 
Pamoja sana mkuu nashkuru kwa mrejesho wako.

Ile formula imekuwa na mrwjesho mzuri kwa baadhi ya washkaji zangu hata ndugu zangu.

Changamoto ni pale mchana umekula ugali na usiku kuna kuku supu na chapati na njaa hauna,hapo ni changamoto sana kumuacha kuku kisa huna njaa.

Hapo cha kufanya ni kula kwa wastani tu ili uidanganye nafsi kisha unaacha


😅😅 Kwa vyakula 80% nimeweza kumaintain, vitu pekee nilivyofail kumaintain (sina mpango wa kuacha) ni 🍻 lol , utakuta nimebalance vizuri tu menyu mchana kutwa ila ikifika jioni naharibu kila kitu kwa beer though najitahidi sana kupunguza intake yake per day.


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Inategemeana na kazi unayofanya, kwa wale masela wa machimboni migodini (kimeruka) nadhani angle hii wamenielewa namaanisha nini

Kule hakuna neno kushiba bali kinachoangalia pale kila mtu amenyanyuka baada kuhakikisha sufuria iko tupu.

Watu kama hao ukiwaambia mara yao ya mwisho kushiba ni lini utawaumiza tu kichwa kuvuta kumbukumbu za utotoni.

Kuna daktari alituambia tule chakula chenye ukubwa kulingana na ngumi yako, yani kiufupi doctor alishauri watu wale tonge moja kisha wanawe maji
Muhuni huyo.mtazame dk ndodi kitambi kama mimba ya mapacha
 
😅😅 Kwa vyakula 80% nimeweza kumaintain, vitu pekee nilivyofail kumaintain (sina mpango wa kuacha) ni 🍻 lol , utakuta nimebalance vizuri tu menyu mchana kutwa ila ikifika jioni naharibu kila kitu kwa beer though najitahidi sana kupunguza intake yake per day.


Let's meet at the top, cheers 🍻
Hahhaa jitahidi tu mkuu.

Kumbuka pia kula kushiba ndindindi unatanua tumbooo kidogo kidogo,yaani ni gym ya misuli ya tumbo baadae tumbo linatanuka taratibu
 
mim huwa najifunza sanankwa watoto.mtoto anakulaaa akishibaa tu anaacha hapo hapo.
sasa unakuta mtu umepakua kias mtu anashngaa mbona kidgo.nashngaa naga sana na utu uzima huu ila nina mwil wastan na kilo 60
You must be looking good,are you married?
 
Utotoni nilisumbua kweli
Ili nile ilikuwa wanatafuta mjusi ama mvunja chungu manake ndio vitu naogopa

Angalau sasa hamu ya kula ninayo

Shukuru sana Mungu, maradhi yatokanayo na intake kubwa ya chakula umeyaepuka hapo.


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
na kwa mimi ambaye sipati hamu ya kula nachangia wap?
mm nakula ili niishi... kiufupi sipendi kula.
"kama tumbo lingekuwa na zipu nngekuwa nafungua zipu kisha natupia chakula humo then nafunga zipu.

SIPENDI KULA...
 
na kwa mimi ambaye sipati hamu ya kula nachangia wap?
mm nakula ili niishi... kiufupi sipendi kula.
"kama tumbo lingekuwa na zipu nngekuwa nafungua zipu kisha natupia chakula humo thwn nafunga zipu.

SIPENDI KULA...
Bila shaka umeona pakuchangia.
 
Hua na practice intermittent fasting. Ni nzuri sana haina haja ya diet wala nini. Vyakula vyote nakula na uzito hauongezeki.
 
Suala la kula kupindukia hata kama mtu hakipendi chakula hiko kivile ni suala limezoeleka hapa duniani pengine wewe msomaji ni katika wao.

Kula chakula kingi sana ni ulafi na kushindwa kujizuia na kuidhibiti nafsi yako ipasavyo.

Kwa kawaida mwili wa binadamu tumbo lake ili ajihisi ameshiba basi akae kama dakika 5 mpaka kumi baada ya kula chakula,

hii maana yake ukijihisi umeshiba huku unaendelea kula basi jua kilichokushibisha ni chakula ulichokula dakika tano nyuma,hiki unachokula sasa hivi kinaenda kukuongezea mauzito na manyama zembe tu.

SIO SALAMA KABISA KUJIHISI UMESHIBA WAKATI UNAENDELEA KULA, NI HATARI KWA AFYA.

Wakati unatia chakula nafsi ya ulafi hujisemea "hapa nakula sana mchana jioni sili ama nakula kidogo tu"

Sio kweli hii ni shetani wa ulafi mkimbie,tia chakula kidogo tu utakachohisi umeshiba bbaada ya kula na sio wakati wa kula.

Unapokula sana ukashiba haswa hii hutanua misuli ya tumbo na kufanya tumbo liwe linatanuka jambo ambalo litafanya uwe na tumbo kubwa ambalo halitopungua kiurahisi kwa sababu kilichotanuka ni misuli.

Salama kwa tumbo lako ni ule chakula alafu usihisi umeshiba kwa kiasi cha tumbo kutanuka.

Ukila ukashibaaa sana kwanza haufeel comfortabble hata kidogo, unahemea juu juu tu.

Ukila ukashiba ndindindi unajinyima fursa ya kununua japo njugu ama tikiti ukitembea kwa sababu hakuna pa kuweka.

Tumbo ni kama kapu safarini, usitie ukalijaza na safari hujaanza, tia machungwa kidogo, then acha nafasi ya vitu vingine kukaa, unaweza kuona vitu vizuri hina pa kuweka, na tumbo hivyo hivyo.

Usione kama tumbo lako ni kwa ajili ya ugali tu, basi ukala mpaka ukinywa maji yanarudi juu. Ugali kidogo acha, tunda kidogo, karanga kidogo maji kidogo n.k

Anza leo kutia chakula ambacho ukimaliza unatamani kula tena, usitie tena hiyo ni nafsi tu pambana nayo, tia chakula cha wastani ukimaliza utajihisi uko comfortable zaidi.

Kula kawaida kuhifadhi mwili wako.

Unafahamu kuwa tumbo linafanyia kazi chakula chako, je uko tayari kutia chakula kingi zaidi ya uwezo wa tumbo kufanya kazi?

Je, unafahamu kuwa unapokula chakula cha wastani kidogo unarahisisha mfumo wako wa mmeng'enyo wa chakula na kupata choo kwa umaridadi kabisa?

Kuna watu hula mpaka ahujitapisha kwa sababu mwanzo alijihisi furaha na utamu wakati anakula lakini alipomaliza kula akakaa dakika tano kumi akajihisi kushiba zaidi na kujiona hayupo sawa, solution anajitapisha.

Kuepuka haya yote unaweza kujipangilia kula matonge kumi tu ya chakula chako yale ya wastani.ndio matonge kumi tu jitahidi kama WEWE SIO MTU WA KAZI NGUMU NA ZA NGUVU.
Asante mkuu
 
Serious huwa nachoka
Naweza kuwekewa chakula hapo nikala robo ama nusu ya sahani...nikishahisi njaa imeisha nachoka kuendelea na mood ya kula inakata🤣🤣
Kulwa hata kile chakula tunachokipendaga nacho unakula kwa kujisikilizia?
 
Back
Top Bottom