Je, wewe ni mlaji kupindukia na unashindwa kuacha tabia hiyo? Soma hapa uwaidhike

Je, wewe ni mlaji kupindukia na unashindwa kuacha tabia hiyo? Soma hapa uwaidhike

Serious huwa nachoka
Naweza kuwekewa chakula hapo nikala robo ama nusu ya sahani...nikishahisi njaa imeisha nachoka kuendelea na mood ya kula inakata🤣🤣
Labda nalo ni tatizo mkuu.siku ukipigwa na kahoma kanakoondoa hamu ya kula si ndiyo utabebwa.

Kula pia inategemea unakula chakula cha aina gani.
 
Labda nalo ni tatizo mkuu.siku ukipigwa na kahoma kanakoondoa hamu ya kula si ndiyo utabebwa.

Kula pia inategemea unakula chakula cha aina gani.
Nakula sana wali maini
Kila siku lazima ninywe maziwa fresh,korosho hazijawahi kukosa baada ya chakula

Nakula sana karoti hasa usiku na michemsho ya viazi nyama na mchicha

Nikiumwa huwa nakosa kabisa hamu ya kula
 
Wala simantain

Kitu pekee nachopinga kwenye mwili wangu ni kitambi tu
Kuna bidada mmoja nilikuwa namtania namwambia anaruhusiwa kupungua mwili mzima kasoro huku nyuma tu Masantula ngoma ya mpwita asipungue.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kuruti wa Mungu wakiona huu Uzi hawakuelewi kabisa,kuna vitu ukifanya lazima ule sana!
 
Mimi na uhusiano.mbaya Sana nachakula....yote yalianza baada ya kuandikiwa Dawa aina ya reperidone.. Dooooh. Nlinenepa Sana Sana Sana..nikapata kitambi ambacho hadi leo sijui nakifanyaje nlitoka kilo 64 Hadi 94... Saiv ndo nazipunguza taratibu nikiwa na kilo 80..
.kitambi kinaaribu Sana umbo langu...

Napambana japo appetite yakula Ni kuubwa.
 
Mimi na uhusiano.mbaya Sana nachakula....yote yalianza baada ya kuandikiwa Dawa aina ya reperidone.. Dooooh. Nlinenepa Sana Sana Sana..nikapata kitambi ambacho hadi leo sijui nakifanyaje nlitoka kilo 64 Hadi 94... Saiv ndo nazipunguza taratibu nikiwa na kilo 80..
.kitambi kinaaribu Sana umbo langu...

Napambana japo appetite yakula Ni kuubwa.
Taratibu utafanikiwa
 
Suala la kula kupindukia hata kama mtu hakipendi chakula hiko kivile ni suala limezoeleka hapa duniani pengine wewe msomaji ni katika wao.

Kula chakula kingi sana ni ulafi na kushindwa kujizuia na kuidhibiti nafsi yako ipasavyo.

Kwa kawaida mwili wa binadamu tumbo lake ili ajihisi ameshiba basi akae kama dakika 5 mpaka kumi baada ya kula chakula,

hii maana yake ukijihisi umeshiba huku unaendelea kula basi jua kilichokushibisha ni chakula ulichokula dakika tano nyuma,hiki unachokula sasa hivi kinaenda kukuongezea mauzito na manyama zembe tu.

SIO SALAMA KABISA KUJIHISI UMESHIBA WAKATI UNAENDELEA KULA, NI HATARI KWA AFYA.

Wakati unatia chakula nafsi ya ulafi hujisemea "hapa nakula sana mchana jioni sili ama nakula kidogo tu"

Sio kweli hii ni shetani wa ulafi mkimbie,tia chakula kidogo tu utakachohisi umeshiba bbaada ya kula na sio wakati wa kula.

Unapokula sana ukashiba haswa hii hutanua misuli ya tumbo na kufanya tumbo liwe linatanuka jambo ambalo litafanya uwe na tumbo kubwa ambalo halitopungua kiurahisi kwa sababu kilichotanuka ni misuli.

Salama kwa tumbo lako ni ule chakula alafu usihisi umeshiba kwa kiasi cha tumbo kutanuka.

Ukila ukashibaaa sana kwanza haufeel comfortabble hata kidogo, unahemea juu juu tu.

Ukila ukashiba ndindindi unajinyima fursa ya kununua japo njugu ama tikiti ukitembea kwa sababu hakuna pa kuweka.

Tumbo ni kama kapu safarini, usitie ukalijaza na safari hujaanza, tia machungwa kidogo, then acha nafasi ya vitu vingine kukaa, unaweza kuona vitu vizuri hina pa kuweka, na tumbo hivyo hivyo.

Usione kama tumbo lako ni kwa ajili ya ugali tu, basi ukala mpaka ukinywa maji yanarudi juu. Ugali kidogo acha, tunda kidogo, karanga kidogo maji kidogo n.k

Anza leo kutia chakula ambacho ukimaliza unatamani kula tena, usitie tena hiyo ni nafsi tu pambana nayo, tia chakula cha wastani ukimaliza utajihisi uko comfortable zaidi.

Kula kawaida kuhifadhi mwili wako.

Unafahamu kuwa tumbo linafanyia kazi chakula chako, je uko tayari kutia chakula kingi zaidi ya uwezo wa tumbo kufanya kazi?

Je, unafahamu kuwa unapokula chakula cha wastani kidogo unarahisisha mfumo wako wa mmeng'enyo wa chakula na kupata choo kwa umaridadi kabisa?

Kuna watu hula mpaka ahujitapisha kwa sababu mwanzo alijihisi furaha na utamu wakati anakula lakini alipomaliza kula akakaa dakika tano kumi akajihisi kushiba zaidi na kujiona hayupo sawa, solution anajitapisha.

Kuepuka haya yote unaweza kujipangilia kula matonge kumi tu ya chakula chako yale ya wastani.ndio matonge kumi tu jitahidi kama WEWE SIO MTU WA KAZI NGUMU NA ZA NGUVU.
Tittle imeandikwa wakati umevimbiwa
 
Mimi na uhusiano.mbaya Sana nachakula....yote yalianza baada ya kuandikiwa Dawa aina ya reperidone.. Dooooh. Nlinenepa Sana Sana Sana..nikapata kitambi ambacho hadi leo sijui nakifanyaje nlitoka kilo 64 Hadi 94... Saiv ndo nazipunguza taratibu nikiwa na kilo 80..
.kitambi kinaaribu Sana umbo langu...

Napambana japo appetite yakula Ni kuubwa.
Kwahiyo kunyoa inabidi upate usaidizi🙈

Nauliza tuuu
 
Back
Top Bottom