Je, wewe ni mlaji kupindukia na unashindwa kuacha tabia hiyo? Soma hapa uwaidhike

Je, wewe ni mlaji kupindukia na unashindwa kuacha tabia hiyo? Soma hapa uwaidhike

Serious huwa nachoka
Naweza kuwekewa chakula hapo nikala robo ama nusu ya sahani...nikishahisi njaa imeisha nachoka kuendelea na mood ya kula inakata🤣🤣
Fanya mazoezi
Hii hali nilikuwa nayo sikujua kama ni tatizo mpaka nilipokuja kufanya kazi fulani ngumungumu na wachina ndio nikawa nakula chakula hadi mke wangu akadhani nina mapepo
 
Fanya mazoezi
Hii hali nilikuwa nayo sikujua kama ni tatizo mpaka nilipokuja kufanya kazi fulani ngumungumu na wachina ndio nikawa nakula chakula hadi mke wangu akadhani nina mapepo
Mie sio mlaji tangu mwanzo
Hata hivyo sijaona tatizo hadi sasa la ulaji wangu,sio mwembamba sana wala sina ile hali ya kuonekana nakosa chakula

Nature ya kazi yangu ni ya kutumia zaidi akili japo sio ngumungumu

Ni vile tu sijazoea/siwezi kula sanaaaaaa lakini nakula kila siku.....siwezi kukaa na njaa
 
Mie sio mlaji tangu mwanzo
Hata hivyo sijaona tatizo hadi sasa la ulaji wangu,sio mwembamba sana wala sina ile hali ya kuonekana nakosa chakula

Nature ya kazi yangu ni ya kutumia zaidi akili japo sio ngumungumu

Ni vile tu sijazoea/siwezi kula sanaaaaaa lakini nakula kila siku.....siwezi kukaa na njaa
Fanya tu mazoezi ya kawaida hata kukimbia walau kilomita moja kila siku asubuhi utaona mabadiliko makubwa mazuri.
Inatakiwa wakati wa kula ukifurahie chakula na sio unakula kama adhabu 😊
 
Fanya tu mazoezi ya kawaida hata kukimbia walau kilomita moja kila siku asubuhi utaona mabadiliko makubwa mazuri.
Inatakiwa wakati wa kula ukifurahie chakula na sio unakula kama adhabu 😊
Hahahahh sipendi mazoezi asee
Nikikimbia maziwa na hipsi zinauma kinyama

Kwani kukifurahia chakula ni lazima ule sana e?huwezi kufurahia chakula ukala kidogo?
 
Hahahahh sipendi mazoezi asee
Nikikimbia maziwa na hipsi zinauma kinyama

Kwani kukifurahia chakula ni lazima ule sana e?huwezi kufurahia chakula ukala kidogo?
Kukifurahia chakula sio lazima ule sana ila ule ushibe

Ilw
 
Hahahahh sipendi mazoezi asee
Nikikimbia maziwa na hipsi zinauma kinyama

Kwani kukifurahia chakula ni lazima ule sana e?huwezi kufurahia chakula ukala kidogo?
Kukifurahia chakula sio lazima ule sana ila ule ushibe

Dah! Maneno yako machache hapo juu yameupeleka moyo wangu mbio 😋😋
 
Kwa jinsi ninavyopenda kula Sana na kujamba Sana nimeogopa Hadi kusoma hii post kichwa Cha habari kimenitisha.
 
Unaweza kula kidogo ukaridhika pia
Yes sahihi kabisa.

Kadri unavyokula sana ndo kuridhika kunapungua,ndo mana walaji wafakamiaji wakila milo yao wakimaliza wanawashwa kuongeza tena chakula kwa sababu ya ile roho ya uroho wao ya kutoridhika.

Na kadri unavyokula chakula kidogo na kuridhika ndo kunakua kwingi ndio maana wewe sio muhanga wa kula sana.
 
Hahahahh sipendi mazoezi asee
Nikikimbia maziwa na hipsi zinauma kinyama

Kwani kukifurahia chakula ni lazima ule sana e?huwezi kufurahia chakula ukala kidogo?
Ni maumivu ya kawaida hasa hasa ukiwa umejazia kidogo au hujafanya mazoezi kitambo kirefu sanaa.
 
Hukumuelewa dokta.

Ukubwa wa ngumi haupimwi na kile kinachotengenezwa ndani ya ngumi.

Ukubwa wa ngumi hupimwa mkono mzima kwa umbo lake nje.
Tafsiri ya jamaa imenifanya nicheke sana! Tonge moja halafu unanawa mikono!
 
Muhuni huyo.mtazame dk ndodi kitambi kama mimba ya mapacha
kitambi kinakujaje wakati chakula hicho pamoja na wingi wake hakidumu zaidi ya masaa matatu, kambini kila baada ya masaa matatu mafiga yanafuka moshi
 
Back
Top Bottom