Haya yote kama yalivyo nayapitia mpaka nashangaa sielewi kabisa“Baadae atamletea vikwazo kama kutokujiamini, aibu,kutokuweza kuongea/kujieleza,hofu na uoga”
Imekuwa Tatizo kubwa Kwangu Nashndwa niliepuke kivipi
Kutokujiamin uoga hofu aibu kutoweza kujielezayzpi unapitia mate? matatizo huondoka kwa kushea na wenzio
hiv ni kweli walikuwa hazai bila ndoa? maana Yakobo alizaa na wanawake wanne sijui kama wote alifunga nao ndoaMkuu as long as unajitambu kua wewe ndio mkubwa katika familia yenu basi hii inakuhusu. Haijalishi kwa mama au kwa baba.. Ilimradi una watu wanaokuita dada ua kaka.
Lakini kwa mujibu wa nukuu zangu za Holly Scriptures najua kwamba kipindi hicho Mussa anapewa agano hilo ilikua ni aghalabu ntu kuzalia nje. Bila ndoa.
so Ndio maana sheria ilikua specific mno kua mzawa wa kwanza wa familia ya ndoa kwakua walikua hawazai bila ndoa.
Mambo yanabadirika Mungu analegeza sometimes ili kuendana na wanawe
Mate itategemeana ndoa unaitafsiri vipi kwamba ni nini....hiv ni kweli walikuwa hazai bila ndoa? maana Yakobo alizaa na wanawake wanne sijui kama wote alifunga nao ndoa
oky kwa hiyo kibibilia mke wangu akinitafutie mwanamke nikazaa nae huyo mtot anakubalika mbele za Mungu ila nikitafuta mwenyewe mwanamke nikizaa nae mtot hakubalikiMate itategemeana ndoa unaitafsiri vipi kwamba ni nini....
yakobo kachunga mifugo kwa miaka 14 akapata wake wake wawili baada ya kuhitilafiana na mkwewe. kutokana na matatizo ya uzazi kwa tamaduni za kale hata huko mara tamaduni hizo zipo. mtu unaweza kutafuta mwanamke akazaa badala yako. na mtoto huyo anakubalika kua ni wako kihalali mbele ya Mungu, ndivyo walivyofanya wake wa yakobo
Kipindi hiki kama unaenda kwa misingi ya kiMungu basi sio sahihi na haifai tena njia hiyo..kama unaenda kimila basi ni sahihi. nia hiyo ya kutafuta mwanamke akuzali.oky kwa hiyo kibibilia mke wangu akinitafutie mwanamke nikazaa nae huyo mtot anakubalika mbele za Mungu ila nikitafuta mwenyewe mwanamke nikizaa nae mtot hakubaliki
Last born hatui dafu kwa first born ndugu!Kuna watoto wanaodekezwa kama last born. ..?
Mimi first born ila sijaona hayo madekezo hata siku moja upande wangu.. sana inanibidi nikomae maana wengi wananikodolea machoLast born hatui dafu kwa first born ndugu!
Uliza utaambiwa, fanya tafiti utagundua..hawa ni zaidi ya kudekezwa.
Aah nmekusoma maana mm natumia kwenye mobile4n dats y nashindwa kutype ivo kumbe mpaka kwa PC