Je, wewe ni mtoto wa kwanza katika familia: Fahamu jinsi Potential yako inavyowindwa ili uharibike

Je, wewe ni mtoto wa kwanza katika familia: Fahamu jinsi Potential yako inavyowindwa ili uharibike

Yah nakumbuka mwl. Mwakasege alishafundisha sana kuwa mtoto wa kwanza ni Lango.

Da vincci shukran kwa chakula cha akili
Ahsante je mnaweza kunipa source nami nikamsome huko alipofundiasha.? Sijawahi sikiliza mafunzo yake
 
Mkuu as long as unajitambu kua wewe ndio mkubwa katika familia yenu basi hii inakuhusu. Haijalishi kwa mama au kwa baba.. Ilimradi una watu wanaokuita dada ua kaka.

Lakini kwa mujibu wa nukuu zangu za Holly Scriptures najua kwamba kipindi hicho Mussa anapewa agano hilo ilikua ni aghalabu ntu kuzalia nje. Bila ndoa.
so Ndio maana sheria ilikua specific mno kua mzawa wa kwanza wa familia ya ndoa kwakua walikua hawazai bila ndoa.

Mambo yanabadirika Mungu analegeza sometimes ili kuendana na wanawe
Unachokiongea ni Kweli mkuu .mimi ni wa 12 kwa mzee lakini wa kwanza kwa mama naona hasa maana ya kuwa first born....wadogo zangu hawawezi ambia wakubwa zangu shida zao ila mimi..but thanks to God kiasi fulani nimeitendea Haki nafasi yangu
 
Unachokiongea ni Kweli mkuu .mimi ni wa 12 kwa mzee lakini wa kwanza kwa mama naona hasa maana ya kuwa first born....wadogo zangu hawawezi ambia wakubwa zangu shida zao ila mimi..but thanks to God kiasi fulani nimeitendea Haki nafasi yangu
Hongera sana mkuu, ukiona umeweza kusimama katika nafasi yako as first born shukuru sana
 
Back
Top Bottom