Je, wewe ni mtoto wa kwanza katika familia: Fahamu jinsi Potential yako inavyowindwa ili uharibike


👍Shukran kwa ufafanuzi
 
Ndio ukubwa huo..ndio ghalama ya kua mkubwa.
Ukubwa di idadi ya miaka yako au ndevu zako.
ni kuweza kusimama katika nafasi yako.
Keep standing..keep providing mate
 
Yupo tayari mkewe asiavae nguo kwenye Eid au Xmass ili tu wadogo zake walipiwe ada, ukikuta mzaliwa wa kwanza anayejitambua na kusimamia majukumu yake hufanya kila kitu ili tu ndugu zake wasipitie tabu alizozipita na wazazi wake wakati anazaliwa.

Mkuu ulipotoa haya mawe, naomba ukachimbe na mengine utuletee! Asante sana.
 
Kisu kimegusa mpaka mfupa I'm the first born magumu nnayopitia nayajua mimi mwenyewe shetani amejua sana kuharibu maisha yangu nimejikuta mpaka machozi yananilenga baada ya kusoma huu uzi but bado nina IMANI mganga wangu ni mzawa wa Jerusalem ipo siku atanifungua kutoka katika gereza la kimwili na kiroho nlilofungwa masilu na masiku.....be blessed Da Vinci
 
Kila mtu kwa Mungu ana hadhi sawa. Tofauti zinazoweza kuwa za vipaji zina lengo la kutajirishana kwa manufaa ya wote.

Hakuna mtu bora kwa maana ya hadhi ya binadamu kwa Mungu.

Mawazo kwamba wazaliwa wa kwanza ni potential au hawafanikiwi katika uchumi nakadhalika hayana ukweli wowote; ni hisia tu.


Mungu amemuumba mtu kwa lengo moja tu, mtu amjua, ampenda na amtumikie.

Kuna vitu vinavyofanya mtu awe potential au kinyume chake. Katika hivyo vitu wazazi wakichukuwa nafasi ya kwanza na jamii ndio huandaa mwelekeo wa mtoto.
Hapa kuna suala la elimu, mafundisho na uelewa wa mambo. Elimu, mafundisho na uelewa mambo ukikosekana watoto huangamia.
 
Kuna tatizo kubwa la uelewa.

Suala la Mungu halifafanuliwi kama safari ya kutoka Dodoma kwenda Dar es Salaam au kwingine kokote. Kuelewa hivi ni makosa makubwa.

Hapa kuna suala la taratibu zinazoongoza na kutawala hivyo vyombo, unalifafanuaje.
 
Tatizo ni nini.?
Nimekosea wapi mate..?
 
Kuna tatizo kubwa la uelewa.

Suala la Mungu halifafanuliwi kama safari ya kutoka Dodoma kwenda Dar es Salaam au kwingine kokote. Kuelewa hivi ni makosa makubwa.

Hapa kuna suala la taratibu zinazoongoza na kutawala hivyo vyombo, unalifafanuaje.
Je ww ungeelezeaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…