Je, wewe ni mtoto wa kwanza katika familia: Fahamu jinsi Potential yako inavyowindwa ili uharibike

Je, wewe ni mtoto wa kwanza katika familia: Fahamu jinsi Potential yako inavyowindwa ili uharibike

Sikia dada angu , hayo mafundisho ya mwakasege nayajua na nilikuwa huko kabla sijaujua ukweli na nashindwa kukuelezea ila unapomuamini Yesu, unafanywa kiumbe kipya, kiroho haui yule wa zamani tena, unakaliwa na roho mtakatifu, na Yesu ndio mzaliwa wa kwanza kwa viumbe vipya vyote, ww tena sio wa kimwili ni wa kiroho ila kama huna maarifa ndo utaenenda kimwili. Ukipata muda ingia youtube msikilize mwalimu huruma gadi au pastor ceaser masisi.
Mmh,ila mi hapa sikumuongelea mwalimu!
Mi naongea kulingana na biblia imesema nn!


JESUS IS LORD[emoji120]
 
Mimi ni watatu kuzaliwa, walionitangulia wawili ni wakiume, je MI mzaliwa wa kwanza?
Hapana ww sio mzaliwa wa kwanza.. though under rare circumstances unaweza pata Neema alizotakiwa awenazo mtoto wa kwanza..
ila unaweza bata naraka kupitia mzaliwa wa kwanza halafu yeye akabaki mweupeee hana kitu
 
Mmh,ila mi hapa sikumuongelea mwalimu!
Mi naongea kulingana na biblia imesema nn!


JESUS IS LORD[emoji120]
Ok ila nilichojifunza kuwa unaposoma biblia ni muhimu kuangalia nyakati-kabla ya Yesu na baada, na biblia nzima kiini chake ni kristo( agano la kale/jipya) , na Yesu mwenyewe alisema yote yaliyotabiriwa na manabii na torati yalikuwa yanamuhusu yeye na YAMETIMIA, neno linasema kinachozaliwa na Mungu ni akitendi dhambi- kumbuka ww una Roho wa Mungu ndani yako, so ww ni una asili ya Mungu ndani yako hamna maswala ya laana wala nn, inabidi ujijue ww n nani toka kweny neno laMungu afu kuwa na imani kweny ilo neno ktk ufahamu/nia yako.
 
Hakika mi nimesikia kinyume na hayo, sikuwahi sikia watoto wa kwanza wanamaisha vulnrable ila nilichoskia ni kuwa wazaliwa wa kwanza wamekomaa kiakili ni respinsible na ni leaders wa asili

Suala la wazaliwa wa kwanza kuwa na mibaraka kuliko wengine hilo ni la kizamani enzi hizo labda na siku hizi kwenye familia za kifalme ndo wanahesabika kama warithi. Ila kwa dunia yetu myingine huku wote tuko sawa hakuna special.
 
Hakika mi nimesikia kinyume na hayo, sikuwahi sikia watoto wa kwanza wanamaisha vulnrable ila nilichoskia ni kuwa wazaliwa wa kwanza wamekomaa kiakili ni respinsible na ni leaders wa asili

Suala la wazaliwa wa kwanza kuwa na mibaraka kuliko wengine hilo ni la kizamani enzi hizo labda na siku hizi kwenye familia za kifalme ndo wanahesabika kama warithi. Ila kwa dunia yetu myingine huku wote tuko sawa hakuna special.
Zeendaya ulisikia wapi hayo ulosikia.?
 
Back
Top Bottom