Je, wewe ni mtoto wa kwanza katika familia: Fahamu jinsi Potential yako inavyowindwa ili uharibike

Je, wewe ni mtoto wa kwanza katika familia: Fahamu jinsi Potential yako inavyowindwa ili uharibike

Pia ktk changamoto za mtoto wa kwanza ni pamoja na kukosea
Ndio maana wazazi huwa wakali kwa wazaliwa wa kwanza maana akikosea wanaomfuata wote pia hukosea au kutoka nje ya mstari
Shime vijana waliomo humu waelewe mtoto wa kwanza ni kioo cha wengine wote watakaofuata na ndio maana kila uchao viongozi wa dini utasikia tuwaombee uzao wa kwanza!
Mkono wa Bwana uwe pamoja na wazawa wote wa kwanza. Sisi ndio njia ya mafanikio au uharibifu wa wadogo zetu
 
Hili jambo wazazi wengi awaelewi, wazazi wengi hasa kina mama ndio uua destiny ya maisha ya watoto wao kupitia kutamka maneno.
Neno lolote ni roho kamili inayoishi. Ndo maana kupitia tu kutamka.kwa Jina la Yesu Kristo.. nakuamuru toka, simama, inuka, potea hakuna cha mchawi, wala jini atakaebakia hapo.
Wanawake wa kiafrica awajui malezi ndo maana waafrika ni masikini kupitia vinywa vya kina mama. Mdomo ni mlango wa laana au baraka za maisha yako.
 
Hili jambo wazazi wengi awaelewi, wazazi wengi hasa kina mama ndio uua destiny ya maisha ya watoto wao kupitia kutamka maneno.
Neno lolote ni roho kamili inayoishi. Ndo maana kupitia tu kutamka.kwa Jina la Yesu Kristo.. nakuamuru toka, simama, inuka, potea hakuna cha mchawi, wala jini atakaebakia hapo.
Wanawake wa kiafrica awajui malezi ndo maana waafrika ni masikini kupitia vinywa vya kina mama. Mdomo ni mlango wa laana au baraka za maisha yako.
Hawaelewi, na wametupa sana kazi mpk sasa ya kufuta maneno waliyotutamkia tukiwa tunakua!
Halafu wanashangaa wazaliwa wa 1 tunateseka wanasahau waliyoyatamka!

Lkn Mungu mwema sana ukipata maarifa inasaidia!
Mimi nimejifunza sana sitafanya ujinga jwa wanangu Mungu akinipa!
 
Obviously mzaliwa wa kwanza huwa Mwanaume hata kama katanguliwa na wakike unless kusiwe na mtoto wa kiume
client3
Mmh mkuu!
Hii hapan,wanasema kuna kukubali kutofautiana!
Mzaliwa wa kwanza ni wa kwanza haijalishi mwanaume au mwanamke!

But kumbuka kuna aina 4 za uzaliwa wa kwanza(km malango) ,tukifuka Kwenye aina ss anaweza hata yule wa katikati au no yyt akatambulika hivyo, but not mzaliwa wa kwanza kwa cheo huyo huwa anabaki palepale haibadiriki!
Kuna mzaliwa wa kwanza kwa cheo, haki ,imani.....moja nimesahau, nikikumbuka nitaandika
 
Mimi ni nimetanguliwa na Dada zangu wawili,je Mimi ni mzaliwa wa Kwanza?
Hapana kwa cheo wewe sio,wa kwanza ni dada yako tu aliyetangulia kuzaliwa, huwezi chukua hiyo nafasi!
Lkn kuna aina tofauti za uzaliwa wa kwanza!
Ss inategemea pia naambo ya kiimani!
 
somo murua sana hili. je, kwa wale walio wazaliwa wa pili, tatu na kuendelea hawafai kumrudia muumba wao, maana nao ni wengi waliopotea???
Kumrudia Mungu ni kwa yoyote haijalishi umezaliwa wa ngapi mkuu!
 
Hivi kwa mfano akina sisi ambao kaka/dada yangu alizaliwa kwa mama mwingine,halafu akaolewa mama yangu na mimi nikazaliwa wa kwanza kwake,hapo vipi,nani mwenye baraka za mtoto wa kwanza,yule mkubwa wangu aliyezaliwa na mama mwingine au mimi?
Hilo somo ni pana sana.
Iko hivi, unakuta mwanamke/mwanaume alizaa kabla ya kuoa/kuolewa ni kweli hao nao wazaliwa wa kwanza lkn nje ya agano! Wana namna yao ya kuombewa!
Halafu unakuta hawa watu mwanaume/mwanamke akaja kuoa/kuolewa watakaowazaa baada ya hapo ni wazaliwa wa kwanza ndani ya agano!,(huu mfano wa waliozaa kabla na baada ya kuoa/kuolewa)
-kumbuka mzaliwa wa kwanza ni lango!
Na lango kuna vitu huwa linapitisha,viwe vizuri au vibaya,(kumbuka musa aliambiwaje na Mungu kila mzaliwa wa kwanza ni wa kwangu,hii ipo mpk milele haifutiki)
-kwahiyo kila cha kwanza ni cha Bwana utake usitake,km hutaki adui atakitumi!
Na adui huwa anataka kupitisha vitu hapohapo kupitia hilo lango ndo maana vita yake ni kubwa haswa km wazazi hawaelewi namna ya kumuombea mzaliwa wa kwanza!
 
Ma mizimu ndio yametuletea shida zote ikiwemo umasikini wa mwafrika, nashangaa mwafrika akijinasibu eti turudi kwenye kutambika mizimu.
Hakuna mzimu unaotaka mwafrika afanikiwe.
Mzimu ni roho chafu iliyojipa mamlaka toka kwa shetani kusimamia uzao wa kabila au ukoo fulani na kuufanya mali yake uishi na uenende kwa matakwa ya shetani, kupitia maagano ya mababu waliokuwa hai.Mengi ya maagano ni ya uharibifu usioe/kuolewa, asiwepo tajiri, msomi, ndoa zisidumu, hasira, wizi, umalaya, roho mbaya, matusi, nk. Kujinasua na mamizimu ya ukoo ni kukata kabisa connection nao kwa kuchagua upande wa positive energy Ili ufunguke.
 
Somo zuri Sana Mkuu, umenikumbusha mbali sana Mwalimu C. Mwakasege alishuka Bondo Sana eneo hili. Ubarikiwe Sana Mkuu Kwa upako wa jioni ya leo, umeniongezea nguvu za rohoni
Yes yes kumbe na ww unamfuatilia!
 
Umeelezea vizuri ila kwa wakristo, mzaliwa wa kwanza ni Yesu na sisi wote tunakuwa wazaliwa tunaofuata , kwaiyo ukimwamini kristo unakuwa huesabiki km mzaliwa wa kwanza .
Lkn haiondoi uzaliwa wa kwanza wa cheo,haki,imani....
 
Unachokiongea ni Kweli mkuu .mimi ni wa 12 kwa mzee lakini wa kwanza kwa mama naona hasa maana ya kuwa first born....wadogo zangu hawawezi ambia wakubwa zangu shida zao ila mimi..but thanks to God kiasi fulani nimeitendea Haki nafasi yangu
Manaake kwa mama yako we ni mzaliwa wa kwanza! Haukwepi hapa
 
Halafu kinachoumiza zaidi ni pale ambapo unakua unapokea lawama kua wewe ndio chanzo cha matatizo ya wengine pale wanapofanya ndivyo sivyo
Kwasbb ndo hali halisi,mzaliwa wa 1 ni lango linalopitisha uzuri na uharibifu pia
 
Back
Top Bottom