Je, wewe ni Mzaliwa wa Kigoma? Fanya haya ili uraia wako usitiliwe shaka yoyote na wabaya wako

Unafikiri kujaza nchi ubaguzi na chuki ndo kutaleta nafuu ya maisha? Tukimaliza kubagua hao who next? Waarabu, wahindi, wasomali au wazenji? Ubaguzi ukiulea hautaishia hapo bali mwishowe utabagua hata watoto wako mwenyewe wa kuwazaa
 
kiukweli nilikuwa sifahamu mpaka nilipo enda kujiridhisha kwa kuangalia ramani. lakini mbona Kagera wapo karibu na Rwanda lakini kagera wana ka unafuu...awasumbuliwi sana kwenye maswala ya uraia.​
Inawezekana wameweka nguvu kubwa sana Kigoma kwa sababu ya muingiliano wake na Kongo ukiangalia Kongo ni taifa kubwa na Lina idadi kubwa sana ya watu wanao ingia Tanzania,Mfano wakimbizi

Ukilinganisha na muingiliano kati ya Kagera na Rwanda
 
Tatizo ni Watusi na sera Yao ya kuleta vita kwa nchi jirani. Wayamiaji wengi ni Wahutu toka Congo na Burundi. Hao wameishi kwa amani sana na wenyeji nanpia Mihutu anafanana sana na Makabila mengine ya Tanzania kama msukuma na Wengine tu. Mihutu Huwa na uhalifu kama uhalifu mwingine unaowwza kufanya n'a mkinga au mgogo.

Tatizo ni Hao Watusi na wengi wao ni kutoka Rwanda.

Watusi wanakuja wakiwa wamejipanga. Na wanapenyezwa kimkakati.
 
Mm ni mtanzania.Lakin pale Uganda kuna, kabira yetu wengi sana. Haya Mambo Nyerere, aliyakataa. Nyerere mwenyewe alitokea Rwanda na kuja Musoma. Wajita wakawaita vijanaki. Yaan waliokuja na nn. Leo tunaanzisha debate za Kipumbavu.
 
Mimi ni mtanzania. Lakini pale Uganda kuna, kabira yetu wengi sana. Haya Mambo Nyerere, aliyakataa. Nyerere mwenyewe alitokea Rwanda na kuja Musoma. Wajita wakawaita vijanaki. Yaan waliokuja na nn. Leo tunaanzisha debate za Kipumbavu.
Kwahiyo kama Nyerere alikua mnyarwanda hiyo inatosha kuruhusu wanyarwanda waingie nchini bila utaratibu, tatizo la wstusi ni kutaka kutawala na kuua wenyeji wao.
 
Hahahah...
Mambo ya ajabu sana haya!

Nadhani hii ya kutoaminika watu wa huko inachangiwa na ile hulka ya warundi na wanyarwanda walio nchini Tz kupenda kufanya uhalifu mkubwa, mfano kutumia silaha nzito za vita kuteka magari ya abiria na mizigo na kupora.

Kuna wakati magari yalikuwa hayawezi kukatiza baadhi ya mapori ya huko bila kusindikizwa na askari wenye silaha.
 
Mbeya, Songwe, Mara na Kilimanjaro nazo zimepakana na nchi jirani na kuoa na kuolewa ni jambo la kawaida sn, mbona hakuna usumbufu wowote?
Nchi jirani na maeneo hayo zipo stable na raia wake hata kama ataingia wengi wao wanarudi walipotoka na wana mahusiano ya kindugu mfano Wakurya wa Tz/Wakurya wa Kenya, Wajaluo wa Tz/Wajaluo wa Kenya, Wamasai wa Tz/Wamasai, Wanyambo wa Karagwe / Wanyankore wa Uganda huwa Kuna vi-favor visivyo rasmi kutokana na mahusiano ya moja Kwa moja ya kiutamaduni kabla na baada ya Uhuru hasa ukizingatia tulikuwa chini ya koloni la Uingereza lakini Kuna watu wanakuwa Wana vinasaba vya karibu tangu enzi na enzi
 
Ok
 
Wamejazana Mno Mishamo Huko, Nambuka Jiwe Aliwakataa Kuwapa Uraia Akawaambia Wazi Mnamiliki Mpaka Silaha Tutawanyoosha Hakuna Uraia View attachment 2881102View attachment 2881104
Mbona wale wa Katumba Katavi wamepewa Uraia wakati hawana tofauti na wa Mishamo,tena hawa wa Katumba ni Magufuli mwenyewe ndio aliwapa uraia. Mwaka jana Uhamiaji ilipitisha fagio kwa wale Waha wauza maziwa na wakopesha bidhaa mitaani kuanzia Tegeta mpaka Temeke wengi walitokea Mishamo katavi ambapo kiukweli si RAIA wa Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…