Je, wewe ni Mzaliwa wa Kigoma? Fanya haya ili uraia wako usitiliwe shaka yoyote na wabaya wako

Mbona sijaishi Kigoma na naona waha wanasumbuliwa hata huku kwetu? akionekana tu anaitwa Ndikumana anaitwa uhamiaji, hata mimi kwetu ni mpakani sn lakini hakuna usumbufu wowote na tuna vuka na kurudi salama

Nenda uhamiaji

Uone hao wahaya wanavopata shida. Dada yangu aliolewa na muhaya wa karagwe hadi leo watoto zake wanasumbuliwa kipata passport
Bashungwa sijui alichomoka vipi


Walee jamaa wengi sio watz

Hawana public figure wengi km waha ndio maana husikii ishu zao
 
Wamasai wa Tz na Kenya wanatofauti gani? umewahi kuona masai anahojiwa uraia wake au mwarabu yoyote? nadhani kuna shida zaidi

Hujui kitu kaaa kimya

Sio kwa sababu husikii means haipo, mbona unakuwa kiazi hivo

Hebu nenda uhamiaji
 
Waha:

1. Ni wabishi, wanabishana hata na redio wakati habari ya redio inakuwa imepitia mchakato wa ukusanyaji, utafiti, uhariri ndipo hutangazwa.

2. Waha wanabeba mizigo kama Kombamwiko na msururu wa watoto, waliopishana mwaka na vijibwa na vimbuzi.

3. Wana ardhi nzuri ya kilimo lakini wanaitelekeza na kwenda kulima vibarua Tanga kwenye mashamba ya MO ya katani, walitelekeza mawese kwa ajili ya katani kama Mkwere anavyouza nanasi ili anunue mua atafune.

4. Wanabishana hata na CCM yenye Kamati ya Maadili ambayo ina nguvu kuliko Mahakama ya Rufaa.

5. Jina la utani la "mwisho wa reli" limewafanya kuwa mwisho kikwelikweli katika mambo mengi e.g. SGR, Gridi ya taifa, chuo cha VETA, barabara ya lami, kiwanja cha ndege, ujenzi wa daraja kubwa la kimkakati mto Malagarasi (Kikwete Bridge). Serikali isiwapelekee SGR ya abiria watalazimisha kuingiza vijibwa humo, wapelekewe MGR tu kwa ajili ya abiria.

6. Zitto mbishi, Kabourou mbishi, Machali mbishi, Kafulila mbishi, Mondi mbishi.

7. % kubwa ya watoto wa kiume wanaozaliwa kuanzia 2021 wanawaita "Mpango"

8. Wana uchawi wa kuchukuwa kivuli chako hadi umlipe ela yake vinginevyo anakuondoa kwenye sayari.

9. Wanapenda kubeba mafurushi makubwa na watoto kibao wanaopishana mwaka mmoja tu; na kulazimisha kulipa nauli 1 ya mtu mzima tu bila mizigo na utitiri wa watoto. Mabasi mengi hayaendi huko kwa sababu yao. Wanalazimisha kuingia kwenye gari hata na vijibwa vyao.

10. Makarani wa sensa na wa kuboresha Daftari la Mpigakura hawapendi Kigoma kwa sababu ya ubishi wa Waha.

11. Kiboko ya Muha ni Mmanyema.

12. Makabila mengi ya mipakani yanakuwa na uraia pacha kwa siri kali.
 
Wahaya hawana public figure na masifa yao? siyo kweli
 
Just imagine hata VP anatiliwa shaka kuwa ni Mrundi.
 
75% ya wakazi duniani ni wahamiaji unaweza ukajiona si mhamiaji Kwa sababu Babu zako huenda walifika mapema kabla ya wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…