Bennie 369
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 713
- 534
OK. .. kumbe ndio maana yuda alimaindi mshiko hadi kumsaliti master. ...Kwa wana wa Israel, Yuda alikuwa wa nne, soma Biblia kitabu cha Mwanzo 35:22-23 na 49:8, alitanguliwa na Ruben, Simeon na Lawi.
wewe ni fremason bila shaka
BASI ANZISHA DINI YA IMANI YAKOMi siamini kitu chochote chenye dogma....dogma ni mawazo ya mtu mmoja kayakusanya kwenye kitabu wengine wote msome na kufuata alichoandika yeye...
Kwahiyo hutaishi kwa kutumia akili yako bali utafuata akili ya huyo mtu aliekuandalia hicho kitabu..
Dini ina dogma,freemansory ina dogma pia,sifati chochote hapo
Heee!! Nazjaz🙁Malaya wa 43?
Mbombo ngafuHeee!! Nazjaz🙁
We isome namba tu sasa maana hakuna namna!!Mimi ni wa 4 kwa mama na wa 9 kwa baba. Lakini baba ameniachia mimi majukumu ya kuilea familia!. Hapa inakuaje kwa utafutaj wangu wa riziki kuitafutia familia?.
Hapo kazi ipo wengine ni wa pili kwa mama lakini wa tano kwa baba inakuwaje hapo
Lango si mchezo