Je, wewe ulikuwepo ndani ya hili jengo? Wewe ni Mjinga

Ni vile tunatumia ID fake na hatujuani sura lakini ukute ile inayojifanya mibilionea humu ndio ilikuwa siti ya mbele hapo kuchukua notes za utajiri baada ya kuuza simu zao ili wapate laki 2 ya course[emoji3][emoji3][emoji3]
Humu wengi ni wajinga mno, ubaya ndio huo wapo nyuma ya fake id. Ila kichwani ni sifuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…