Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MkuuKitendo tu cha wewe kuwa uvccm, hakiwezi kukutoa kwenye hilo kundi la wajinga. Unatofautiana padogo sana na hao jamaa zako uliowaweka hapo juu.
Huwa mnaaminisha watu kuwa JF ni home of great thinkers, ni kweli great thinkers wapo Ila ni wachache mno. Wengi ni matutusa ya hali ya juu sana.
Akatokea mtu huko akaja akawaamisha kuwa mlipe 200k alafu ndani ya wiki atawafundisha jinsi ya kudownload pesa![]()
. Matutusa yalivyo mengi humu yakakimbizana kuona pesa inavyokua downloaded![]()
![]()
![]()
Haya matutusa yalikua makali sana na yenye nyodo mno, yaliambiwa na yakaaminishwa ndani ya mwaka mmoja yatakua mabilionea. Kuna ambayo yalienda mbali na kuanza kuulizia bei za Lamborghini, maana yalijua ndani ya mwaka yatakua mabilionea.
Ajizi nyumba ya njaa, nyodo na dharau zao zikaanza kupungua taratibu baada ya kuona siku zinaenda badala ya kudownload pesa yanaishia ku-upload pesa.
Ngoja leo niwaulize hivi mlikua na akili timamu? Bado hadi leo hamjapata akili? Maana na mm nataka niwakung'ute majinga nyie.
View attachment 2569721
Mkuu kiongozi sisi tuliolipa 60 elf badala ya 200k tunaingia kwenye kundi lipiHuwa mnaaminisha watu kuwa JF ni home of great thinkers, ni kweli great thinkers wapo Ila ni wachache mno. Wengi ni matutusa ya hali ya juu sana.
Akatokea mtu huko akaja akawaamisha kuwa mlipe 200k alafu ndani ya wiki atawafundisha jinsi ya kudownload pesa[emoji23][emoji23][emoji23]. Matutusa yalivyo mengi humu yakakimbizana kuona pesa inavyokua downloaded[emoji23][emoji23]
Haya matutusa yalikua makali sana na yenye nyodo mno, yaliambiwa na yakaaminishwa ndani ya mwaka mmoja yatakua mabilionea. Kuna ambayo yalienda mbali na kuanza kuulizia bei za Lamborghini, maana yalijua ndani ya mwaka yatakua mabilionea.
Ajizi nyumba ya njaa, nyodo na dharau zao zikaanza kupungua taratibu baada ya kuona siku zinaenda badala ya kudownload pesa yanaishia ku-upload pesa.
Ngoja leo niwaulize hivi mlikua na akili timamu? Bado hadi leo hamjapata akili? Maana na mm nataka niwakung'ute majinga nyie.
View attachment 2569721
Mheshimiwa DC Nikki Countrywide anasemaje kwenye bandiko lake?hahahahahahahaha
nimeweka kambi hapa
anawapa pole waliopigwa na MontrealMheshimiwa DC Nikki Countrywide anasemaje kwenye bandiko lake?
maisha ndo yalivyo ukikakaa kizembe lazima upigwe kama yeye alivyopigiwa manzi wake 😀anawapa pole waliopigwa na Montreal
hahahaha, mzee kwani ni Nick mwenyewe kweli huyu ?maisha ndo yalivyo ukikakaa kizembe lazima upigwa kama yeye alivyopigiwa manzi wake 😀
Cc; Countrywide
Yupo, nilimuona tweeter anaishangaa Jaguar yake.hahhahha huyo mwamba wa electronic coin sijui aliendaga wapi manina yan wabongo kwa kitonga
xtaper ebu njoo ujibu zile pesa ulipeleka wapiSi Jeff Denis aka Ontario, kijana ni smart sana
Swala la kupigwa hamnaga mjanja , hata mtoa mada alichapiwa mke wake mpak wakaachanaKila mtu ashapigwa kwa njia tofauti tofauti. Wewe unaweza kuwa ulifanikiwa kumkwepa @ontaria mwisho ukajapigwa ni kilimo cha IG na watsapp.
dah! kama nimejiona hapo 😀 😀 😀Huwa mnaaminisha watu kuwa JF ni home of great thinkers, ni kweli great thinkers wapo Ila ni wachache mno. Wengi ni matutusa ya hali ya juu sana.
Akatokea mtu huko akaja akawaamisha kuwa mlipe 200k alafu ndani ya wiki atawafundisha jinsi ya kudownload pesa[emoji23][emoji23][emoji23]. Matutusa yalivyo mengi humu yakakimbizana kuona pesa inavyokua downloaded[emoji23][emoji23]
Haya matutusa yalikua makali sana na yenye nyodo mno, yaliambiwa na yakaaminishwa ndani ya mwaka mmoja yatakua mabilionea. Kuna ambayo yalienda mbali na kuanza kuulizia bei za Lamborghini, maana yalijua ndani ya mwaka yatakua mabilionea.
Ajizi nyumba ya njaa, nyodo na dharau zao zikaanza kupungua taratibu baada ya kuona siku zinaenda badala ya kudownload pesa yanaishia ku-upload pesa.
Ngoja leo niwaulize hivi mlikua na akili timamu? Bado hadi leo hamjapata akili? Maana na mm nataka niwakung'ute majinga nyie.
View attachment 2569721