Je, wewe ulikuwepo ndani ya hili jengo? Wewe ni Mjinga

Je, wewe ulikuwepo ndani ya hili jengo? Wewe ni Mjinga

Siungi mkono
Wewe ni tutusa. Kuwa na mke Kama wewe ni hasara
Wewe mwenye faida uliishia kugongewa na kuzalishiwa ndani ya nyumba ukapewa na kazi ya uyaya juu ( kulea mtoto) wakati demu anaendelea na masomo ya chuo. Jinga kabisa wewe huwezi kujiita mwanaume
 
Siungi mkono

Wewe mwenye faida uliishia kugongewa na kuzalishiwa ndani ya nyumba ukapewa na kazi ya uyaya juu ( kulea mtoto) wakati demu anaendelea na masomo ya chuo. Jinga kabisa wewe huwezi kujiita mwanaume
Huwa sijibu machoko, Ila wewe ntakujibu. Sikia mimi sijawahi kuwa na mazoea na watu wa aina yako, katafute size yako. Huwa sinaga urafiki wala undugu na choko yoyote. Kaa kwa kutulia chalii
 
Katoto kadogo Ontario hakana hata mwili ,kembamba kama sindano lakin kaliwanyoosha wanaume wazima wenye vitambi na ndevu humu jf....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katoto kadogo Ontario hakana hata mwili ,kembamba kama sindano lakin kaliwanyoosha wanaume wazima wenye vitambi na ndevu humu jf....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtu nimeongea nae kuna mpango tutakuja nao, nimemwambia aje huku afungue account jf matutusa ni mengi mno. Tutayapiga hadi yachakae
 
Huwa sijibu machoko, Ila wewe ntakujibu. Sikia mimi sijawahi kuwa na mazoea na watu wa aina yako, katafute size yako. Huwa sinaga urafiki wala undugu na choko yoyote. Kaa kwa kutulia chalii
Huu ubabe wa matusi ungetumia kupambana na aliyekuzalishia mke na kukugeuza yaya ndg DC
 
Ukiacha kuhusu forex, ndugu sir Jeff Denis a.k.a Ontario - ni mmoja Kati ya vijana smart sana, wanao wajibika na kujituma.
👉 imagine katika umri aliokua nao 🤔 wewe mlalamikaji ulifanya nini Cha maana??
👉Fursa zipi za msingi uliziona??, Au kujaribu kuzifanya??
👉Uliwahi au umewahi pata nguvu ya ushawishi au kusikiliza na watu Kama alivyofanya yeye??
👉Alizungumza pia kuhusu kilimo na ufugaji🤔🤔, mbona hamsemi kuhusu hayoo??
👉Still bado yupo just, na anaendelea kufanikiwa so inabidi tuzidi kujifunza ndugu katika mazuri.
👉 I mean no malice to nobody
 
Ajizi nyumba ya njaa, nyodo na dharau zao zikaanza kupungua taratibu baada ya kuona siku zinaenda badala ya kudownload pesa yanaishia ku-upload pesa.
🤣🤣
Kuna wengine wamepigwa kupitia matikiti, wengine kilimo cha sungura, wengine ajira feki, nk
 
Back
Top Bottom