Je, wewe ulikuwepo ndani ya hili jengo? Wewe ni Mjinga

Je, wewe ulikuwepo ndani ya hili jengo? Wewe ni Mjinga

Unajua kisaikolojia mwanaume anamchoka kingono mwanamke ndani ya siku 90 tu, hapo ndio utajitahidi hata touching nzuri baada ya hapo inabaki panua niweke maana anakua wa kawaida sana , na ham ya ngono kwake inapungua hapo sasa mwanamke akipata wakumfanyia soft touch nje au anesimamia ukucha ataiba milele na unaweza usijue, na ukiona anakueleza fulani kanitongoza jua hajampenda,
Ndo hvo wanaume sisi hupenda vitu vipya , kumchoka mwanamke ni kugusa tuu sasa mda huo na yeye anahtaji mautundu lazima uchapiwe tuu akikuheshimu sana atajitahd kukufichia siri...!!
 
Huwa mnaaminisha watu kuwa JF ni home of great thinkers, ni kweli great thinkers wapo Ila ni wachache mno. Wengi ni matutusa ya hali ya juu sana.

Akatokea mtu huko akaja akawaamisha kuwa mlipe 200k alafu ndani ya wiki atawafundisha jinsi ya kudownload pesa[emoji23][emoji23][emoji23]. Matutusa yalivyo mengi humu yakakimbizana kuona pesa inavyokua downloaded[emoji23][emoji23]

Haya matutusa yalikua makali sana na yenye nyodo mno, yaliambiwa na yakaaminishwa ndani ya mwaka mmoja yatakua mabilionea. Kuna ambayo yalienda mbali na kuanza kuulizia bei za Lamborghini, maana yalijua ndani ya mwaka yatakua mabilionea.

Ajizi nyumba ya njaa, nyodo na dharau zao zikaanza kupungua taratibu baada ya kuona siku zinaenda badala ya kudownload pesa yanaishia ku-upload pesa.

Ngoja leo niwaulize hivi mlikua na akili timamu? Bado hadi leo hamjapata akili? Maana na mm nataka niwakung'ute majinga nyie.

View attachment 2569721
Haya yote ndio matunda ya CCM.
 
Countrywide nashukuru kwa kunisaidia kufikisha ujumbe kwa hao walugaluga waliojidai kuziba masikio kipindi kile tulipokuwa tukijaribu kuwanasua kwenye ule mtego wa kuingizwa mjini.

"Ndoige" waliyokutana nayo hawatakaa wasahau maishani.

Pyumbavu zao...
Majinga yamejaa humu
 
Hahah mie hayakunipata aiseeh nilikuwa nalog in nasoma yale mazingaombwe halafu naguna hiii [emoji1787][emoji1787] Kuna zuzu mmoja nilikuwa naye ofisi moja aliliwa,afu alikuwa mhamasishaji mkuu pale ofcn kutafuta mazuzu ya kupigwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mazuzu ni mengi mno
 
Nilipomaliza chuo niliwahi fanya internship kwenye benki na walifanya sana tu trading ya Forex nadhani labda Hawa waliofundisha either walikua matapeli au vipi ila biashara ya forex ipo na Kuna watu iliwatoa ingawa sikuwahi ielewa. Nina rafiki yangu alifanya kama masikhara ikamtoa ila sijui inakuaje akapoteza Tena Hela zote akarudi zero, uzuri alikua na Nyumba amejenga that's all!!

So nadhani kwa Tanzania Bado sana ila huko duniani forex ipo na watu walitengeneza Hela ikiwemo mabenki. Na sio tu Forex Kuna hiyo ya kununua hisa, hati fungani n.k. ni opportunity ambazo kwa soko la Tanzania utaliwa tu unless uwe na uelewa mkubwa.
Hiko ndio walipaswa kuambiwa kuwa hii forex ni ngumu inapaswa iende hivi na hivi. Wao nawaita matutusa kwa kuwa walipewa maneno matamu ili wapigwe
 
Najiona hapo na Lemba langu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila Yule Sijui msouth sijui mzulu [emoji1787][emoji1787]
Sitasahau
Wewe ni tutusa. Kuwa na mke Kama wewe ni hasara
 
........katika utafutaji wanaume tunapitia changamoto nyingi ikiwemo kupata hasara kutapeliwa na hata kuweka rehani maisha au uhai.........kwa namna ulivyowasilisha hoja ni kama unawnanga au kuwasema kama wakosaji wakubwa,hii sio sawa, naamini hata wao wamejifunza na wasingependa kumbuka, wanatumiwa kihisia na kiuchimi baadhi yao waliopata hasara tayari, sio sawa kuwatonesha vidonda........
.........So nafikiri ungejaribu kuelimishwa watu mbinu mbalimbali mpya za kitapeli watu wakaepuka, naweza kuwa sikupigwa kwenye forex lakini nikaja tapeliwa na muhuni tu wa mtaani ktk namna isiyotegemewa, hivyo basi tusikejeli wala kudhihaki.......kuna brother angu mmoja mtaani nilimuona akijisikia vibaya sana siku tulipokuwa tunazungumzia ishu za utapeli wa ile ilikuwa inaitwa DECI kwenye miaka ya 2009/2010 huko, alikuwa kama anataka kulia........
Tatizo waliambia mapema kuwa hiyo issue ni ngumu tofauti na mnavyoambiwa wakabisha na kuwa wakali mno. Walikua na matusi sana
 
Back
Top Bottom