Je, wewe ulikuwepo ndani ya hili jengo? Wewe ni Mjinga

Je, wewe ulikuwepo ndani ya hili jengo? Wewe ni Mjinga

Niliingia nikakutana na kile kisekretary chenye chunusi, kinajibu hovyo sana, kenge yule na chunusi zake
 
FOREX IS REAL BUT LIKE ANY OTHER BUSINESS....IT'S NOT FOR EVERYONE, IT'S A PROCESS!

Forex Trading ni biashara kwa wale wanaoijulia na sio kila mbugila mbugila!! Wenye kuijulia wanatengeneza pesa nzuri tu!!!
Ili kufanikiwa kwenye forex trading ni lazima uwe na Elimu ya "FINANCIAL INTELLIGENCE"!
 
Hahah mie hayakunipata aiseeh nilikuwa nalog in nasoma yale mazingaombwe halafu naguna hiii [emoji1787][emoji1787] Kuna zuzu mmoja nilikuwa naye ofisi moja aliliwa,afu alikuwa mhamasishaji mkuu pale ofcn kutafuta mazuzu ya kupigwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Najiona hapo na Lemba langu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila Yule Sijui msouth sijui mzulu [emoji1787][emoji1787]
Sitasahau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe choko sehemu yoyote nayoweka thread usiwe unacomment, nitolee upumbavu wako. Mwanaharamu mkubwa kabisa wewe uliyeoza utumbo sababu ya kutatuliwa marinda.

Fvck u
 
Huwa mnaaminisha watu kuwa JF ni home of great thinkers, ni kweli great thinkers wapo Ila ni wachache mno. Wengi ni matutusa ya hali ya juu sana.

Akatokea mtu huko akaja akawaamisha kuwa mlipe 200k alafu ndani ya wiki atawafundisha jinsi ya kudownload pesa[emoji23][emoji23][emoji23]. Matutusa yalivyo mengi humu yakakimbizana kuona pesa inavyokua downloaded[emoji23][emoji23]

Haya matutusa yalikua makali sana na yenye nyodo mno, yaliambiwa na yakaaminishwa ndani ya mwaka mmoja yatakua mabilionea. Kuna ambayo yalienda mbali na kuanza kuulizia bei za Lamborghini, maana yalijua ndani ya mwaka yatakua mabilionea.

Ajizi nyumba ya njaa, nyodo na dharau zao zikaanza kupungua taratibu baada ya kuona siku zinaenda badala ya kudownload pesa yanaishia ku-upload pesa.

Ngoja leo niwaulize hivi mlikua na akili timamu? Bado hadi leo hamjapata akili? Maana na mm nataka niwakung'ute majinga nyie.

View attachment 2569721
We nikki wa 2 kaa kwa kutulia ww
 
Back
Top Bottom