Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Sio kweli, mbona Kuna watu wamenunua hisa kazi Yao ni kuuza ikipanda bei na kununua zikishuka bei. Pia wapo wanafanya arbitrage yaani amelala tu anasubiri kuuza fedha kwenye soko ambako rate Iko chini kupata faida.... Then Kuna avalizers au factors ananunua deni alafu 10% inakua yake. So sio kweli kwamba hakuna pesa za kudonwload.Ukute na wewe upo hapo mbele kabisa ila umekuja humu kujua wenzio mliopigwa wote,, pole sana mkuu, hakuna hela inayokuja tu bure bure shart uifanyie kazi
Nilipomaliza chuo niliwahi fanya internship kwenye benki na walifanya sana tu trading ya Forex nadhani labda Hawa waliofundisha either walikua matapeli au vipi ila biashara ya forex ipo na Kuna watu iliwatoa ingawa sikuwahi ielewa. Nina rafiki yangu alifanya kama masikhara ikamtoa ila sijui inakuaje akapoteza Tena Hela zote akarudi zero, uzuri alikua na Nyumba amejenga that's all!!Huwa mnaaminisha watu kuwa JF ni home of great thinkers, ni kweli great thinkers wapo Ila ni wachache mno. Wengi ni matutusa ya hali ya juu sana.
Akatokea mtu huko akaja akawaamisha kuwa mlipe 200k alafu ndani ya wiki atawafundisha jinsi ya kudownload pesa[emoji23][emoji23][emoji23]. Matutusa yalivyo mengi humu yakakimbizana kuona pesa inavyokua downloaded[emoji23][emoji23]
Haya matutusa yalikua makali sana na yenye nyodo mno, yaliambiwa na yakaaminishwa ndani ya mwaka mmoja yatakua mabilionea. Kuna ambayo yalienda mbali na kuanza kuulizia bei za Lamborghini, maana yalijua ndani ya mwaka yatakua mabilionea.
Ajizi nyumba ya njaa, nyodo na dharau zao zikaanza kupungua taratibu baada ya kuona siku zinaenda badala ya kudownload pesa yanaishia ku-upload pesa.
Ngoja leo niwaulize hivi mlikua na akili timamu? Bado hadi leo hamjapata akili? Maana na mm nataka niwakung'ute majinga nyie.
View attachment 2569721
Siku hizi yupo Twitter anaendelea na harakati zake kuwaingiza cha kike wengineSi Jeff Denis aka Ontario, kijana ni smart sana
Sijawahi ielewa forexHuwa mnaaminisha watu kuwa JF ni home of great thinkers, ni kweli great thinkers wapo Ila ni wachache mno. Wengi ni matutusa ya hali ya juu sana.
Akatokea mtu huko akaja akawaamisha kuwa mlipe 200k alafu ndani ya wiki atawafundisha jinsi ya kudownload pesa[emoji23][emoji23][emoji23]. Matutusa yalivyo mengi humu yakakimbizana kuona pesa inavyokua downloaded[emoji23][emoji23]
Haya matutusa yalikua makali sana na yenye nyodo mno, yaliambiwa na yakaaminishwa ndani ya mwaka mmoja yatakua mabilionea. Kuna ambayo yalienda mbali na kuanza kuulizia bei za Lamborghini, maana yalijua ndani ya mwaka yatakua mabilionea.
Ajizi nyumba ya njaa, nyodo na dharau zao zikaanza kupungua taratibu baada ya kuona siku zinaenda badala ya kudownload pesa yanaishia ku-upload pesa.
Ngoja leo niwaulize hivi mlikua na akili timamu? Bado hadi leo hamjapata akili? Maana na mm nataka niwakung'ute majinga nyie.
View attachment 2569721
Ndiyo yeyehahahaha, mzee kwani ni Nick mwenyewe kweli huyu ?
Huyo amechangiwa kupigwa. Mke, wazazi wa pande zote, marafiki waliotoa mchango na neno kuu "KILICHUFUNGWA NA MUNGU, BINADAMU HAWEZI KUKITENGUA". Bora kupigwa na ONTARIO , tatu mzuka na manabii wa kileo.Swala la kupigwa hamnaga mjanja , hata mtoa mada alichapiwa mke wake mpak wakaachana
Anaekti haoni mzee wa kupindua meza kibabeπππ.Kanajifanya macho kumchuzi kumbe kanapanga mbinu.View attachment 2570323
πππππππ Kijana anawazoom tuu anasema , Hiiiiiiiiiiiiiiii
Mpak Maxence Melo alipigwa sembuse hawa memberπAnaekti haoni mzee wa kupindua meza kibabeπππ.Kanajifanya macho kumchuzi kumbe kanapanga mbinu.
Shukuru mwanamke akificha mkia wake huwa nawashangaa wanaowacheka eti huyu kachapiwa wakati wanawake wengi tena walio kwenye ndoa sio waaminifu ndio maana wale wanaowaamini kwa 100% wakijua kuwa wanachapiwa wanaua familia na kujiua..Swala la kupigwa hamnaga mjanja , hata mtoa mada alichapiwa mke wake mpak wakaachana
Najiona hapo na Lemba langu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila Yule Sijui msouth sijui mzulu [emoji1787][emoji1787]
Sitasahau
Shukuru mwanamke akificha mkia wake huwa nawashangaa wanaowacheka eti huyu kachapiwa wakati wanawake wengi tena walio kwenye ndoa sio waaminifu ndio maana wale wanaowaamini kwa 100% wakijua kuwa wanachapiwa wanaua familia na kujiua..
Wanawake wanaweza kutunza siri kubwa na kwa muda mrefu kuliko sisi Mkuu hizi mambo ni za kuziangalia kama zilivyo kama kwako kupo salama sio swala la kuwacheka wengine ni kwamba haujajua tuu ukijua hautamini...Uko sahihi mambo yakuchapiwa sio ya kucheka, unajua taasisi ya ndoa ndio inaongoza kwa uongo na unafiki hivo nikuvumilia mlee watoto kama ni wako au sio wako atajua Mungu
Wanawake wanaweza kutunza siri kubwa na kwa muda mrefu kuliko sisi Mkuu hizi mambo ni za kuziangalia kama zilivyo kama kwako kupo salama sio swala la kuwacheka wengine ni kwamba haujajua tuu ukijua hautamini...