Je, wewe ulikuwepo ndani ya hili jengo? Wewe ni Mjinga

Je, wewe ulikuwepo ndani ya hili jengo? Wewe ni Mjinga

IMG_20230329_211423.jpg


IMG_20230329_220215.jpg

😁😁😁😁😁😁😁 Kijana anawazoom tuu anasema , Hiiiiiiiiiiiiiiii
 
Ukute na wewe upo hapo mbele kabisa ila umekuja humu kujua wenzio mliopigwa wote,, pole sana mkuu, hakuna hela inayokuja tu bure bure shart uifanyie kazi
Hii Sio kweli, mbona Kuna watu wamenunua hisa kazi Yao ni kuuza ikipanda bei na kununua zikishuka bei. Pia wapo wanafanya arbitrage yaani amelala tu anasubiri kuuza fedha kwenye soko ambako rate Iko chini kupata faida.... Then Kuna avalizers au factors ananunua deni alafu 10% inakua yake. So sio kweli kwamba hakuna pesa za kudonwload.
 
Huwa mnaaminisha watu kuwa JF ni home of great thinkers, ni kweli great thinkers wapo Ila ni wachache mno. Wengi ni matutusa ya hali ya juu sana.

Akatokea mtu huko akaja akawaamisha kuwa mlipe 200k alafu ndani ya wiki atawafundisha jinsi ya kudownload pesa[emoji23][emoji23][emoji23]. Matutusa yalivyo mengi humu yakakimbizana kuona pesa inavyokua downloaded[emoji23][emoji23]

Haya matutusa yalikua makali sana na yenye nyodo mno, yaliambiwa na yakaaminishwa ndani ya mwaka mmoja yatakua mabilionea. Kuna ambayo yalienda mbali na kuanza kuulizia bei za Lamborghini, maana yalijua ndani ya mwaka yatakua mabilionea.

Ajizi nyumba ya njaa, nyodo na dharau zao zikaanza kupungua taratibu baada ya kuona siku zinaenda badala ya kudownload pesa yanaishia ku-upload pesa.

Ngoja leo niwaulize hivi mlikua na akili timamu? Bado hadi leo hamjapata akili? Maana na mm nataka niwakung'ute majinga nyie.

View attachment 2569721
Nilipomaliza chuo niliwahi fanya internship kwenye benki na walifanya sana tu trading ya Forex nadhani labda Hawa waliofundisha either walikua matapeli au vipi ila biashara ya forex ipo na Kuna watu iliwatoa ingawa sikuwahi ielewa. Nina rafiki yangu alifanya kama masikhara ikamtoa ila sijui inakuaje akapoteza Tena Hela zote akarudi zero, uzuri alikua na Nyumba amejenga that's all!!

So nadhani kwa Tanzania Bado sana ila huko duniani forex ipo na watu walitengeneza Hela ikiwemo mabenki. Na sio tu Forex Kuna hiyo ya kununua hisa, hati fungani n.k. ni opportunity ambazo kwa soko la Tanzania utaliwa tu unless uwe na uelewa mkubwa.
 
Huwa mnaaminisha watu kuwa JF ni home of great thinkers, ni kweli great thinkers wapo Ila ni wachache mno. Wengi ni matutusa ya hali ya juu sana.

Akatokea mtu huko akaja akawaamisha kuwa mlipe 200k alafu ndani ya wiki atawafundisha jinsi ya kudownload pesa[emoji23][emoji23][emoji23]. Matutusa yalivyo mengi humu yakakimbizana kuona pesa inavyokua downloaded[emoji23][emoji23]

Haya matutusa yalikua makali sana na yenye nyodo mno, yaliambiwa na yakaaminishwa ndani ya mwaka mmoja yatakua mabilionea. Kuna ambayo yalienda mbali na kuanza kuulizia bei za Lamborghini, maana yalijua ndani ya mwaka yatakua mabilionea.

Ajizi nyumba ya njaa, nyodo na dharau zao zikaanza kupungua taratibu baada ya kuona siku zinaenda badala ya kudownload pesa yanaishia ku-upload pesa.

Ngoja leo niwaulize hivi mlikua na akili timamu? Bado hadi leo hamjapata akili? Maana na mm nataka niwakung'ute majinga nyie.

View attachment 2569721
Sijawahi ielewa forex
 
Swala la kupigwa hamnaga mjanja , hata mtoa mada alichapiwa mke wake mpak wakaachana
Huyo amechangiwa kupigwa. Mke, wazazi wa pande zote, marafiki waliotoa mchango na neno kuu "KILICHUFUNGWA NA MUNGU, BINADAMU HAWEZI KUKITENGUA". Bora kupigwa na ONTARIO , tatu mzuka na manabii wa kileo.
 
........katika utafutaji wanaume tunapitia changamoto nyingi ikiwemo kupata hasara kutapeliwa na hata kuweka rehani maisha au uhai.........kwa namna ulivyowasilisha hoja ni kama unawnanga au kuwasema kama wakosaji wakubwa,hii sio sawa, naamini hata wao wamejifunza na wasingependa kumbuka, wanatumiwa kihisia na kiuchimi baadhi yao waliopata hasara tayari, sio sawa kuwatonesha vidonda........
.........So nafikiri ungejaribu kuelimishwa watu mbinu mbalimbali mpya za kitapeli watu wakaepuka, naweza kuwa sikupigwa kwenye forex lakini nikaja tapeliwa na muhuni tu wa mtaani ktk namna isiyotegemewa, hivyo basi tusikejeli wala kudhihaki.......kuna brother angu mmoja mtaani nilimuona akijisikia vibaya sana siku tulipokuwa tunazungumzia ishu za utapeli wa ile ilikuwa inaitwa DECI kwenye miaka ya 2009/2010 huko, alikuwa kama anataka kulia........
 
Nakumbuka rafiki alinishawishi niingie FOREX na Kianzio Cha 40,000.

Aisee niiljuta Bora ningeenda kubeti tu niliwe na muhindi ijulikane .Ndani ya masaa mawili 40000 imefanywa hamna kitu.
 
Swala la kupigwa hamnaga mjanja , hata mtoa mada alichapiwa mke wake mpak wakaachana
Shukuru mwanamke akificha mkia wake huwa nawashangaa wanaowacheka eti huyu kachapiwa wakati wanawake wengi tena walio kwenye ndoa sio waaminifu ndio maana wale wanaowaamini kwa 100% wakijua kuwa wanachapiwa wanaua familia na kujiua..
 
Shukuru mwanamke akificha mkia wake huwa nawashangaa wanaowacheka eti huyu kachapiwa wakati wanawake wengi tena walio kwenye ndoa sio waaminifu ndio maana wale wanaowaamini kwa 100% wakijua kuwa wanachapiwa wanaua familia na kujiua..

Uko sahihi mambo yakuchapiwa sio ya kucheka, unajua taasisi ya ndoa ndio inaongoza kwa uongo na unafiki hivo nikuvumilia mlee watoto kama ni wako au sio wako atajua Mungu
 
Uko sahihi mambo yakuchapiwa sio ya kucheka, unajua taasisi ya ndoa ndio inaongoza kwa uongo na unafiki hivo nikuvumilia mlee watoto kama ni wako au sio wako atajua Mungu
Wanawake wanaweza kutunza siri kubwa na kwa muda mrefu kuliko sisi Mkuu hizi mambo ni za kuziangalia kama zilivyo kama kwako kupo salama sio swala la kuwacheka wengine ni kwamba haujajua tuu ukijua hautamini...
 
IMG_1335.jpg

Wanavosikiliza kwa umakini sasa utahisi wanasikiliza vitu vya maana kumbe hamna kitu, na wengine hapo wana kazi zao walitaka waongeze kipato kwa kupitia simu tu au laptop pesa hii hii udownload uipate kirahisi bila kuandaa mifumo sahihi?
 
Wanawake wanaweza kutunza siri kubwa na kwa muda mrefu kuliko sisi Mkuu hizi mambo ni za kuziangalia kama zilivyo kama kwako kupo salama sio swala la kuwacheka wengine ni kwamba haujajua tuu ukijua hautamini...

Unajua kisaikolojia mwanaume anamchoka kingono mwanamke ndani ya siku 90 tu, hapo ndio utajitahidi hata touching nzuri baada ya hapo inabaki panua niweke maana anakua wa kawaida sana , na ham ya ngono kwake inapungua hapo sasa mwanamke akipata wakumfanyia soft touch nje au anesimamia ukucha ataiba milele na unaweza usijue, na ukiona anakueleza fulani kanitongoza jua hajampenda,
 
Back
Top Bottom