Je wewe ungekuwa Afisa Mtendaji Mkuu(CEO) wa Simba mambo gani matatu ungeyafanya kuelekea msimu mpya 2024-2025

Je wewe ungekuwa Afisa Mtendaji Mkuu(CEO) wa Simba mambo gani matatu ungeyafanya kuelekea msimu mpya 2024-2025

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Kama wewe ungekuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba kuelekea msimu mpya wa mashindano mbalimbali kama Ligi kuu ya NBCPL na Klabu Bingwa Afrika, tuambie mambo 3 ungeyafanya ili Simba wafike malengo yao katika msimu husika
 
Simba sasa imeimarika na inacheza mpira mkubwa na wa kiwango Cha juu mnoo, tukianza na safu ya ulinzi iko imara ikiongozwa na Yeriko che Malone Baba wa ulinzi huyu,
Kiungo ndo usiseme wananyumbulika kulingana na mpinzani kina NGOMA pamoja na yule Punda haswaa/ Mzamiru.

Safu ya ushambuliaji nayo ukizubaa wanakukanda kina KIBUL DENIS.

Tuna Chama, Saidooo, sar, allooo HAKIKA TUMEIMARIKA KILA IDARA.
 
Kama wewe ungekuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba kuelekea msimu mpya wa mashindano mbalimbali kama Ligi kuu ya NBCPL na Klabu Bingwa Afrika,tuambie mambo 3 ungeyafanya ili Simba wafike malengo yao katika msimu husika
1.viongozi wote pamoja na muwekezaji wapate mafunzo ya uendeshaji wa club ya mpira wa kisasa, 2. Wachezaji wa viwango kulingana na malengo ya club ,3.Chanzo cha uhakika cha mapato cha uendeshaji wa timu ikiwezekana kiasi hicho kiwe mkononi,(benki) yaani mdhamni asitoe hela anavyota yeye Tena nyuma ya mikamera
 
Kama wewe ungekuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba kuelekea msimu mpya wa mashindano mbalimbali kama Ligi kuu ya NBCPL na Klabu Bingwa Afrika,tuambie mambo 3 ungeyafanya ili Simba wafike malengo yao katika msimu husika
1.KUBADILI RANGI NA KUWA NYEUSI NA NYEUPE
2.KUBADILI JESI NA KUTOA MATANGAZO YAKIHUNI YASIYO NA TIJA
3.NTAZUIA JEZI KUWEKA JINA LAMMTU SEHEMU YA MAKALIO HIOO HAIWEZEKAN
 
1. Ondoa viongozi wote wa juu waliopo sasa hivi na msemaji wa timu pamoja na chawa wao. Weka kijana aongoze timu kisasa na msemaji ambaye hana "ucomedian" mwenye weledi kama walivyokuwa wakina Cliford Ndimbo na Ezekiel Kamwaga. Ikishindikana kabisa weka GB64 awe msemaji wa timu.
2. Kumpa Mo achague moja kuwa mwekezaji au asepe zake ijulikane moja kuliko sasa hivi nusu yupo nusu hayupo anaingia mitini timu ikifanya vibaya lakini timu ikiingia makundi huyo anarudi kwa mlango wa nyuma kwa kutoa bonasi nono nono
3. Kuvunja makundi yote na kuwarudisha klabuni watu wote waione Simba kama mali yao kuanzia Mzee Kilomoni, Kibadeni, Julio, Rage, Dalali, Kassim Dewji, Said Tuli, Mulamu, Aveva, Nyange Kaburu, Kigwangala na wengineo wengi mpaka mwanachama wa mwisho kabisa yule aliyeko Mpitimbi au Mtego wa Noti..
 
Simba sasa imeimarika na inacheza mpira mkubwa na wa kiwango Cha juu mnoo, tukianza na safu ya ulinzi iko imara ikiongozwa na Yeriko che Malone Baba wa ulinzi huyu,
Kiungo ndo usiseme wananyumbulika kulingana na mpinzani kina NGOMA pamoja na yule Punda haswaa/ Mzamiru.

Safu ya ushambuliaji nayo ukizubaa wanakukanda kina KIBUL DENIS.

Tuna Chama, Saidooo, sar, allooo HAKIKA TUMEIMARIKA KILA IDARA.
Hopeless guy....wewe kweli ni simba OG aka mbumbumbu....manake upo nje kabisa ya mada
 
Ningemualika Caesar Manzoki siku ya Simba Day ili atusalimie tu sisi mashabiki. Maana huyo ndiye kipenzi chetu sisi Wamasimba. Akijitokeza tu kutusalimia siku hiyo, basi kura zote kwenye uchaguzi mwingine ujao tunampa Mangungu.
 
Kumwamini Mgunda.
Kumpa wachezaji Bora.
Kuamini process kutokuwa na pressure ya matokeo
Kutulia kutengeneza team hata miaka 3
Yaani miaka 3 kuitengeneza timu tena Simba labda kama unataka kuwa na kitambi kwanza
 
Yaani unataka wakamwage ka Ahmada Ali?
Hapana waboreshe
Amekuwa na kazi nyingi sana
Anapaswa kuwa na watu watao msaidia hasa kuhamasisha
Si unaona hadi anachanganyikiwa mambo ni mengi mno
 
Back
Top Bottom