Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mimi ningekuwa AFISA mtendaji mkuu wa klabu ya simba ningefanya mambo matatu yafuatayo ili simba ifikie mafanikio na malengo makubwa;Kama wewe ungekuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba kuelekea msimu mpya wa mashindano mbalimbali kama Ligi kuu ya NBCPL na Klabu Bingwa Afrika, tuambie mambo 3 ungeyafanya ili Simba wafike malengo yao katika msimu husika
Hakuna 20B aliyoweka. Changa la macho tuweka 20B mezani awarudishie timu yenu
Viongozi wa Samba waondoke wote sbb wamefail kufikis malengo,,kuanzia kupoteza nafasi ya kushirki club bingwa hasi kupoteza ubora kwenye ranking za Caf na FIFA