Je, wewe ungekuwa Polisi ungetenda Haki? Je, usingekula rushwa?

Je, wewe ungekuwa Polisi ungetenda Haki? Je, usingekula rushwa?

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Sijawahi kuwa askari wa jeshi lolote ila nimekaa nimewafikiria tu polisi hasa hawa wa usalama barabarani.

Je, ungekuwa ni askari trafiki, usingekula rushwa? Je ungetenda haki kwa kila anayepatikana na kosa kumuandikia cheti/ mkeka?

NB: Sisi raia ndio tunawaomba Polisi wapokee rushwa zetu ili kutuepusha na gharama kubwa ya cheti.
Umetembea zaidi ya 50km/h sehemu isiyotakiwa, una overtake kwenye mstari usiotaka u overtake, tairi kipara, kioo kina nyufa na umelewa.
 
Ili kukwepa kula rushwa na mambo mengine kama ukatili na ubambikiaji kesi, bora nisiwe na kazi hiyo.

Ningekuwa polisi nisingemaliza miaka mitano sijabadili kazi ndani ya wizara husika ili kukwepa kuwa polisi wa kawaida.
 
Tanzania bila ya rushwa za barabarani inawezekana, ndio maana jeshi la police inabidi lifumuliwe lote, all above 40yrs wastaafu kwa manufaa ya umma,ajiri young graduates na wapewe msingi mpya wa kuanzisha jeshi hili bila rushwa, chukua 1000 new recruits peleka pale Botswana 🇧🇼 kwa training ya miezi 9,wakirudi nakuambia kutakuwa na zero corruption kwenye barabara zetu, Botswana 🇧🇼 almost ni zero corruption kwenye barabara zao
 
Ninajisomea hapa news24.com,my IGP jitahidi sana ufuatilie website hii maana leo hapo Bloemfontein kunatolewa hukumu kama Dr.Nandipa alikamatwa kihalali pale karibu na Namanga border na police wetu, arresting a suspect lazima kufanyike kisheria,haki zake lazima aambiwe including kosa alilofanya, je all illegals wanakuwa deported straight??
 
Nimewaza,na kuwazua nimegundua ningekuwa trafiki nchi hii ningekula rushwa kishenzi.Bora nseme ukweli.
 
Tanzania bila ya rushwa za barabarani inawezekana, ndio maana jeshi la police inabidi lifumuliwe lote, all above 40yrs wastaafu kwa manufaa ya umma,ajiri young graduates na wapewe msingi mpya wa kuanzisha jeshi hili bila rushwa, chukua 1000 new recruits peleka pale Botswana 🇧🇼 kwa training ya miezi 9,wakirudi nakuambia kutakuwa na zero corruption kwenye barabara zetu, Botswana 🇧🇼 almost ni zero corruption kwenye barabara zao
Ila kwa haya magari yetu tutaanza kusema tunaonewaa🤣🤣 niko paleee

Usimtongoze muuza uchi alafu ukaja msema yeye ni malaya baada ya kulala nae
 
Sasa unajaribu aje kuvaa viatu ambavyo havikutoshi..??
Yaani unajaribu aje kuvaa viatu ambavyo umeona ng'e kaingia kwamfano...??
Ebu achana na mambo ya kujaribu jarubu bana....
Haya bhana
 
Tanzania bila ya rushwa za barabarani inawezekana, ndio maana jeshi la police inabidi lifumuliwe lote, all above 40yrs wastaafu kwa manufaa ya umma,ajiri young graduates na wapewe msingi mpya wa kuanzisha jeshi hili bila rushwa, chukua 1000 new recruits peleka pale Botswana 🇧🇼 kwa training ya miezi 9,wakirudi nakuambia kutakuwa na zero corruption kwenye barabara zetu, Botswana 🇧🇼 almost ni zero corruption kwenye barabara zao
Tatizo la rushwa nchi hii lina baraka za chama na serikali. Juzi waziri wa wa nishati kamuhonga kila mbunge mitungi 100 ya gesi ili bajeti yake ipite bla kupingwa. Rushwa imetolewa ndani ya bunge na imebarikiwa na spika.

Na kama huko Botswana 🇧🇼, basi na TRA wapelekwe, mahakimu nao, yaani nchi nzima tupelekwe huko, maana taifa linanuka uvundo wa rushwa.

Adhabu ya kifo kwa rushwa kubwa na ndogo nďo itakuwa suluhu ya uvundo huu
 
Back
Top Bottom