Je, wewe ungekuwa Polisi ungetenda Haki? Je, usingekula rushwa?

Je, wewe ungekuwa Polisi ungetenda Haki? Je, usingekula rushwa?

Sijawahi kuwa askari wa jeshi lolote ila nimekaa nimewafikiria tu polisi hasa hawa wa usalama barabarani.

Je, ungekuwa ni askari trafiki, usingekula rushwa? Je ungetenda haki kwa kila anayepatikana na kosa kumuandikia cheti/ mkeka?

NB: Sisi raia ndio tunawaomba Polisi wapokee rushwa zetu ili kutuepusha na gharama kubwa ya cheti.
Umetembea zaidi ya 50km/h sehemu isiyotakiwa, una overtake kwenye mstari usiotaka u overtake, tairi kipara, kioo kina nyufa na umelewa.
Askari kwenda Mbinguni ni sawa na kuikuta bikra kwa malaya.

Sina maana mbaya, bali kazi yao inawaweka ktk ulazimisho wa kutenda dhambi. Imagine unaambiwa mfungulie kesi mtu fulani na kosa lake unaambiwa liandae wewe.......
 
Tatizo la rushwa nchi hii lina baraka za chama na serikali. Juzi waziri wa wa nishati kamuhonga kila mbunge mitungi 100 ya gesi ili bajeti yake ipite bla kupingwa. Rushwa imetolewa ndani ya bunge na imebarikiwa na spika.

Na kama huko Botswana 🇧🇼, basi na TRA wapelekwe, mahakimu nao, yaani nchi nzima tupelekwe huko, maana taifa linanuka uvundo wa rushwa.

Adhabu ya kifo kwa rushwa kubwa na ndogo nďo itakuwa suluhu ya uvundo huu
Sawa mkuu ila nipo mkoa wa Ruvuma, Namtumbo, kijiji cha lingusenguse, karibu
 
Askari kwenda Mbinguni ni sawa na kuikuta bikra kwa malaya.

Sina maana mbaya, bali kazi yao inawaweka ktk ulazimisho wa kutenda dhambi. Imagine unaambiwa mfungulie kesi mtu fulani na kosa lake unaambiwa liandae wewe.......
Aiseè...
TISS wanataka wasishitakiwe kwa unyama na ukatili wanaowafanyia watu wasio na hatia. Hata wakiuwa wawekewe kinga ya mashtaka
 
Askari kwenda Mbinguni ni sawa na kuikuta bikra kwa malaya.

Sina maana mbaya, bali kazi yao inawaweka ktk ulazimisho wa kutenda dhambi. Imagine unaambiwa mfungulie kesi mtu fulani na kosa lake unaambiwa liandae wewe.......
Mkuu hapo kwenye pepo n fumbo.
Kikubwa kilamyu aombe mwisho mwemaa.
Hamna ajuae tusiwe wepesi kutoa hitimisho
 
Back
Top Bottom