Kumbuka tumesha kubaliana tuachie pesa ije mtaani,saa hizi kuna wengine wamepata bahati huko mtaani Mzigo wa Wizara ya fedha nao umewafikia! Kama kuna mafundi Ujenzi au mafundi Magari saa hizi nao wanawapiga pesa Watumishi wezi wa fedha za Umma!!Hii typicaly ndiyo yalikuwa maisha kipindi cha utawala wa Kikwete. Maofisini watu walikuwa wanatafuta visingizio vya kulipana posho. Mheshimiwa Samia asipokuwa makini na mkali hali inaweza kuwa mbaya hata zaidi ya kipindi cha Kikwete.
Wajinga hao bado wako msibaniHukuona report ya CAG?
Umetoa mfano mzuri sana, kongole, nadhani hii ingewekwa kama mstari wa utangulizi kwenye magazeti ya kesho, ndugu zangu kule kijijini wangelielewa vizuri kilichotokeaKwa wakulima wa mahindi na mpunga, tunaelewa uharibifu wa nyani na tumbili na ndege. Huwa tunaanza kuweka matambala na kichwa cha bandia ili wanyama hawa waamini huyo ni mlinzi. Wanyama polepole huanza kuzoea na kugundua kwamba hayo ni matambala na hakuna kichwa, ni chungu cheusi. Hapo sasa mazao huanza kuliwa.
Natamani majaliwa ndo angemfuatia Magu ..
Mod., Unawezaje kui-pin thrd hii ili ibaki juu kwa siku kadhaa zijazo? Hawa nyani sasa hawaogopi mlinzi bandia!Kwa wakulima wa mahindi na mpunga, tunaelewa uharibifu wa nyani na tumbili na ndege. Huwa tunaanza kuweka matambala na kichwa cha bandia ili wanyama hawa waamini huyo ni mlinzi. Wanyama polepole huanza kuzoea na kugundua kwamba hayo ni matambala na hakuna kichwa, ni chungu cheusi. Hapo sasa mazao huanza kuliwa.
Tumeanza kuona wizi na ulaji wa hovyo. Tena ndani ya wizara mama yenye kushikilia hazina ya taifa na nchi. Wizara ya Fedha wanaanza kuiokomba nchi kweupeee! Hisia yangu hawa ni nyani waliogundua kwamba hatuna tena mlinzi wa fedha ya umma. Rais wetu utajua mwenyewe! Kama nawe una maneno yale ya kusema nchi hii utaiacha kama alivyoiacha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Magufuli. Aliyesema simtaji.
Hahahahh nimemaanisha kwenye kiti cha urais mkuu badala ya Samia angekua majaliwa ..Weka vizuri sentensi mkuu, inaogofya
Kwa wakulima wa mahindi na mpunga, tunaelewa uharibifu wa nyani na tumbili na ndege. Huwa tunaanza kuweka matambala na kichwa cha bandia ili wanyama hawa waamini huyo ni mlinzi. Wanyama polepole huanza kuzoea na kugundua kwamba hayo ni matambala na hakuna kichwa, ni chungu cheusi. Hapo sasa mazao huanza kuliwa.
Tumeanza kuona wizi na ulaji wa hovyo. Tena ndani ya wizara mama yenye kushikilia hazina ya taifa na nchi. Wizara ya Fedha wanaanza kuiokomba nchi kweupeee! Hisia yangu hawa ni nyani waliogundua kwamba hatuna tena mlinzi wa fedha ya umma. Rais wetu utajua mwenyewe! Kama nawe una maneno yale ya kusema nchi hii utaiacha kama alivyoiacha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Magufuli. Aliyesema simtaji.
RIP JPM,,ungefukuza wote hapo. Nimekumiss BABA.
Hizi hela zilitumika mara tu mwendazake alipofariki..Siku mama akiamka usingizini itakuwa very late!
Kwani mkuu lini wizi uliisha?kama ungekuwa umekwisha ripoti ya CAG, isingekuwa vile ilivyo kwa 2019/2020!sema tu ilikuwa ni marufuku kuu ripoti, kwa kumuogopa jiwe, hivyo watu wakaaminishwa kuwa hakukuwa na pesa ya serikali iliyoibiwa!!sasa awamu ya sita inaamini ktk uwazi ndio maana mtaanza kusema hivyo kuwa hawamuogopi kumbe ni uwazi ambao jiwe hakuupenda!!kinachotakiwa hao wabadhirifu ikibainika kweli wamekula pesa ni adhabu kali sana wapewe.Tena hakuna kipindi ambacho pesa imeliwa kama cha awamu ya tano kwa taarifa yako.yaani ingetokea ikafanyika special audit ya miaka 5, iliyopita watu watazimia kwa kutoamini ubadhirifu mkubwa wa pesa.Kwa wakulima wa mahindi na mpunga, tunaelewa uharibifu wa nyani na tumbili na ndege. Huwa tunaanza kuweka matambala na kichwa cha bandia ili wanyama hawa waamini huyo ni mlinzi. Wanyama polepole huanza kuzoea na kugundua kwamba hayo ni matambala na hakuna kichwa, ni chungu cheusi. Hapo sasa mazao huanza kuliwa.
Tumeanza kuona wizi na ulaji wa hovyo. Tena ndani ya wizara mama yenye kushikilia hazina ya taifa na nchi. Wizara ya Fedha wanaanza kuiokomba nchi kweupeee! Hisia yangu hawa ni nyani waliogundua kwamba hatuna tena mlinzi wa fedha ya umma. Rais wetu utajua mwenyewe! Kama nawe una maneno yale ya kusema nchi hii utaiacha kama alivyoiacha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Magufuli. Aliyesema simtaji.
Wazalendo hao wametuwekea pesa watarudisha tuwapiganaji wenye roho ya jiwe
Sorry! Huyu Katibu mkuu aliingia lini na yule Dotto aliondoka lini? Nauliza kwa kuwa naona upigaji umekuja hadi mwezi huu, Mei. Kama walianza Dotto akiwepo, ina maana yalikuwa mazoea yao kwa miaka yote na nitakuunga mkono kwa nguvu zote.Dotto James amekula hii nchi sana kwa miaka mitano ilikuwaje. Na waziri mkuu anasema hapo bado kuhamisha pesa za miradi. Tatizo katibu mkuu alikuwa anapigiwa kifua na Hayati hivyo hakuna aliyesubiri kuhoji Mama Samia tumshukuru kwa kuagiza uchunguzi yaani haya ni machache kwenye uchunguzi 🤔 huu ndiyo tunaita mfumo yaani Hayati hakutaka wizara hii ichunguzwe
Sorry kuweka kumbukumbu sawa. CAG wakati wa kikwete aliitwa UtohHii ofisi nayo kama iko kisiasa zaidi huwa inamfavor yule aliyemweka madarakani na mara nyingi sio wakweli!
na katika hili hata Professor Assad aliingia mtego huu wakati wa Kikwete hakuzungumza mabaya awamu ya tano akayaona mabaya.
huyu mwingine woga wa kukosa kazi na tamaduni za kujikombakomba zinafanya pia aponde kila kitu.
njaa bado ni tatizo kwa taaluma zetu!
Kwa clip hiyo inaonesha wameendelea hadi mwezi huu, mei!Hizi hela zilitumika mara tu mwendazake alipofariki..
Utoh aliondoka na KIkwete akamteua Assad.Sorry kuweka kumbukumbu sawa. CAG wakati wa kikwete aliitwa Utoh
Yuzafu umewaza mbali, mim naongoza 2024 mwishonibaada ya miaka 2 tutapata jawabu la kitendawili tulichotega.