Wanaosema Tanzania tuna utamaduni wa chaguzi na twende tu hivyo hivyo hata kama tunajua kabisa kura hazijesabiwi kabisa toka 2019. Lissu na team yake wametoa data za kila kitu lakini cha kushangaza unakuta wasomi kabisa wa media wanasema . Lissu Mama anakupenda sijui nini sasa hayo mbona hayajasaidia chaguzi za 2019,2020 na 2024.
Watu wa Media mnatakiwa kuwahoji hao watekaji na kuwauliza ni kwanini hawataki tume huru na haki kwenye nchi hii bila hivyo damu ya nchi hii inayo endelea kumwagika inawahusu
Si kweli kwamba Watanzania hawataki haki na demokrasia
Watu wa Media mnatakiwa kuwahoji hao watekaji na kuwauliza ni kwanini hawataki tume huru na haki kwenye nchi hii bila hivyo damu ya nchi hii inayo endelea kumwagika inawahusu
Si kweli kwamba Watanzania hawataki haki na demokrasia