Je Yanga inaweza kushitakiwa na mahakama ikiwa itathibitika kuwa wamefanya udanganyika dhidi ya mahakama?

Je Yanga inaweza kushitakiwa na mahakama ikiwa itathibitika kuwa wamefanya udanganyika dhidi ya mahakama?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
jana kuna taarifa zimesambaa sana kwenye mitandao ya kijamii ikimuhusisha kiongozi wa klabu enginer hersi said wa yanga dhidi ya uamuzi wa mahakama ya kisutu,uamuzi huo umeibua taharuki kwa viongozi,mashabiki na wanachama mpaka kupelekea sitonfahamu na mashambulizi kwa mzee magoma kutishiwa maisha.

je,hili suala la yanga kuibua taharuki mahakama inaweza kuishitaki klabu ya yanga dhidi yake?
 
1.Yanga ni team ya wanachama
2.yanga hawakutoa taarifa rasmi
3.Ni tetesi zilizosambazwa na waandishi wa habari
Final, ni ngumu sana club kushitakiwa kwa jambo kama hili, labda kushtakiwa kwa uongozi wa club
 
Yani mahakama ihishitaki yanga au ndo sijaelewa ulichoandika.
hiyo taarifa ni fake huenda yanga wameitengeneza kwa lengo la kuboost kitu fulani,so ikiwa mahakama itathibitisha kuwa uongozi umetumia njia ya hadaa na kuichafua mahakama,je mahakama wanaweza kuwashtaki yanga?

hapo pia hujaelewa?
 
Back
Top Bottom