Wakati Yanga wakielekea kumtambulisha Djuma Shabani pamoja na Jesus Moloko, wakala Mwenye orodha ndefu ya Wachezaji wa DRC, keshatuwekea picha hapo ili simulizi tuandike wenyewe!!
Kama inavyoonekana hapa chini, Faustin Mukandila anatujuza time is loading kabla Yanick Bangala Litombo, hajatangazwa kuhamia klabu inayopiga uzi wa kijani na njano!!
Bangala, ambae umri wa kwenye passport unaonesha ana miaka 27, kwa sasaanakipiga FAR Rabat kama Defender.
UPDATETS
Finaaly, Wakala wa Djuma Shabani athibitisha DEAL DONE....
Habari chungu namna hii inabidi zimfikie ndugu denooJ popote pale alipo!!
Kama inavyoonekana hapa chini, Faustin Mukandila anatujuza time is loading kabla Yanick Bangala Litombo, hajatangazwa kuhamia klabu inayopiga uzi wa kijani na njano!!
Bangala, ambae umri wa kwenye passport unaonesha ana miaka 27, kwa sasaanakipiga FAR Rabat kama Defender.
UPDATETS
Finaaly, Wakala wa Djuma Shabani athibitisha DEAL DONE....
Habari chungu namna hii inabidi zimfikie ndugu denooJ popote pale alipo!!