Je yawezekana mtu akasoma na kuongeza ujinga badala ya kuelimika? Tazama wafuatao

Je yawezekana mtu akasoma na kuongeza ujinga badala ya kuelimika? Tazama wafuatao

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039

Profesa Ndumilakuwili Kabundi,​

Profesa Kusitasita Ndalikachako,​

Profesa Kitita Mwamkumbo​

Profesa Ukame Mbawala​

Hawa wana tofauti gani na profesa Vulata au Maji Marefu?​

Dokta asiyetulia Action​

Dokta Pindua Chania​

'Dokta' Mguujuu Michembe​

'Dokta' Ndoto Bitek​

'Dokta' Sele Jaffu​

'Dokta' Sania, sorry, Solution​

Education for Ignorance is the name​

Ongeza wako.​

Je hao japo wamesoma sana, kweli walielimika?​

Utawasikia wakiwaita vihiyo na waghushi madaktari ili washibishe mitumbo yao isiyoshiba.​

Je twaweza kuwasaidiaje zaidi ya kuwasuta?​

 
Wajinga wanataka kununua umeme Ethiopia, bwawa la Nyerere wafugiemo vyura
 
Kila kilaza mmoja anaitwa Mbowe sijui yulo chama gani siku hizi

USSR
 

Profesa Ndumilakuwili Kabundi,​

Profesa Kusitasita Ndalikachako,​

Profesa Kitita Mwamkumbo​

Profesa Ukame Mbawala​

Hawa wana tofauti gani na profesa Vulata au Maji Marefu?​

Dokta asiyetulia Action​

Dokta Pindua Chania​

'Dokta' Mguujuu Michembe​

'Dokta' Ndoto Bitek​

'Dokta' Sele Jaffu​

'Dokta' Sania, sorry, Solution​

Education for Ignorance is the name​

Ongeza wako.​

Je hao japo wamesoma sana, kweli walielimika?​

Utawasikia wakiwaita vihiyo na waghushi madaktari ili washibishe mitumbo yao isiyoshiba.​

Je twaweza kuwasaidiaje zaidi ya kuwasuta?​

Wamesomea ujinga
 
Tatizo kile chama chao ni lazima uweke akili pembeni, hata angekuwa nani akisha kuwa ccm basi ni la saba mwenzetu.

CCM kiwanda cha kuondoa akili za watu.

CCM ni jeshi la kulinda ufisadi, wizi na rushwa.

CCM ndiyo kiwanda cha kuwaondolea watu uzalendo.

CCM kiwanda cha kutengeneza wanafiki na machawa.

Hakuna hata msomi mmoja aliyewahi kujiingiza kwenye siasa za CCM, halafu akabakia mtu mwenye akili timamu, kwa sababu CCM ndiyo kaburi la weledi, akili, uzalendo, hekima na utu. Mtu yawezekana kabisa akawa ni msomi mzuri, mwenye upeo na maarifa, lakini akiingia kwenye siasa za CCM, huyo huyo akabadilika na kuwa mtekaji, muuaji au anayefurahia na kuunga mkono utekaji na mauaji ya watu wanaomkosoa Rais na Serikali.
 
Back
Top Bottom