kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Kukubali maridhiano znz ni ujumbe tosha kuwa ametupa taulo ulingoni!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kwa sasa mnauweka wizi katika makundi!Uchaguzi huu wizi bila akil ndio maana walikataa kuwapa nakala ya matokeo mawakala.chaguzi za nyuma ukiwa na mawakala makini, waadilifu,wazalendo na wapenda demokrasia unapata matokeo yenye unafuu na nakala yako unapata
Kwani umelazimishwa kufungua na kusoma!Hakuna kitu cha hovyo na kibaya kama kusoma bandiko la lefu la hovyo, propaganda na la kipumbavu halafu asubuhi asubuhi.
Halafu unakuta hili jamaa ni zee lenye mke na watoto.
Huu ni mtazamo wako ukiwa ndani ya boksi lako la fikra ambalo halina uhalisia!Hakuna sifa yoyote ya maana kwa ccm..
Yoyote yule aliye timamu, anaiona ccm kama kusanyiko la wapumbavu..
Umaarufu wenu ccm kwa sasa dunia nzima inawafahamu kama majambazi ya kura kwenye chaguzi.
Tume hiihii,Kama ingekuwa huru kwa kiwango Cha miaka iliyopita matokeo yangekuwa tofauti sana.nazingatia kwa aliyojili huku kwetu kusini mwa tz.No. Tatizo lenu Mr Mzungu aliwapatieni matarajio makubwa ambayo hata yeye asingeweza kutimiza. "Tutashinda uchaguzi huu kwa Tume hiihii!" ~ Mr Mzungu
Nadhani walioshinikiza maridhiano ni viongozi kutoka Zanzibar!Kukubali maridhiano znz ni ujumbe tosha kuwa ametupa taulo ulingoni!
Nadhani walioshinikiza maridhiano ni viongozi kutoka Zanzibar!
Wewe ni 🍑🍑🍑🍑🍑🍑🍑.Kwani umelazimishwa kufungua na kusoma!
Kinachoshangaza zaidi umepata mpaka muda wa kutoa maoni kwenye bandiko lefu la hovyo, propaganda na kipumbavu! Sasa hapa nani ni mpumbavu zaidi!
Nakubaliana na mtazamo wako!Hilo halihitaji darubini lakini nae yupo ndani ya kamati kuu hatuwezi kumtoa wala kukataa kuwa hakutoa mchango wake kwenye kikao!
Ule ulikuwa udokozi.Yaani kwa sasa mnauweka wizi katika makundi!
Kwa hiyo ule mwingine haukuwa wizi kwa sababu ulifanyika kwa akili!
Kwanza nadhani hujaelewa msingi wa hoja yangu!
Kwa hiyo wakati Zitto anakuwa Mbunge kwa miaka 15, nguvu za CCM za kuiba kura hazikuwepo au miaka hiyo CCM haikuiba kura?
Kwa kifupi wapinzani wengi walikuwa wanashinda audha kwa kuachiwa nafasi na ccm au mpasuko wa ccm kuelekea uchaguzi mkuu..hata lowasa 2015 alipata kura nyingi sababu ya mpasuko ndani ya ccm.
Nani asiyejua kuwa msigwa, lema, sugu na kuna bulaya walipita sababu ya mipasuko na wagombea wa ccm kupita kwa rushwa pasipokukubalika..
Hata jimbo la mtama 2015 nape alitaka kupoteza sababu ya mpasuko..safari hii wakiwa na umoja kapita bila kupingwa.
Mkuu;
Umedadavua vizuri sana!
Nakushukuru kwa maoni yaliyoenda shule!
Uliiba wewe na sio CCM,
Huwezi shindana na mtu hana miguu kisha umwibie,
Chadema ni nyumbu ambao ukiwaonyesha mto wa maji wanatumbukia woye bila kujua urefu wa mto na mamba kiasi gani wamo.
Kama mmeibiwa basi hata nyie mngefikisha hata milioni 8 hapo ungeweza kulalama, uzidiwe milioni 10 kisha useme umeibiwa?
Nyumbu mna shida sana.