Mwami Zitto ni one man show, hata wadhifa wake kwenye chama ni KIONGOZI WA CHAMA, ni zaidi ya Mwenyekiti wa Chama.
Lakini kubwa ya yote Zitto hana upande,na hiyo ndio siri ya mafanikio yake.
Ndio maana aliungana na Lissu wa Chadema kususia nafasi ya viti maalum vya Chadema akisisitiza Chadema ni sister party, lakini akaja kukubali ACT kuingia serikali ya Mseto Zanzibar.
Huyo Mwami haoni aibu kubadirisha mtizamo au msimamo wake kwa kipindi kifupi,yaliyomkuta Membe yanafurahisha.Membe hakutegemea Zitto atamkana mchana kweupe kuwa sio mgombea wa ACT,bali Lissu wa Chadema tena katikati ya kampeni.
Zitto ni survival wa siasa za Bongo kwa kipindi kirefu mbeleni.