Je, Zitto Kabwe alijisahau na kuanza kuung'ata mkono unaomlisha?

Je, Zitto Kabwe alijisahau na kuanza kuung'ata mkono unaomlisha?

CCM hawana nguvu then CCM hao hao wamechukua jimbo? Sentence yako inajikanganya.

Asiye na nguvu hawezi kuchukua jimbo. Mwenye nguvu ndo mshindi siku zote mahala popote.

Sidhani kama anajua mantiki ya alichokiandika.
 
Go back to school mataga.

Your kind of English sucks.

No wonder, you have chosen booty licking as a career.

The way you write and argue makes me wonder „who needs to go back to school“. You or the one who made a very common mistake that can be made by anyone especially when one writes fast and with a lot of emotions.

What you need in your life is „EPIKEIA“ COMMON SENSE. You are not a man of Common Sense. Your unreasonable political views und affiliations have blocked your reasoning. You act like an animal. You do not respect other people’s view of life and their political standpoints. Yet you advocate democracy. I wonder what type of „ Democracy „ you people are talking about.

You are in fact uncouth.
 
Seifu alitamba kwa hasira safari hii Basi yatosha imetosha alipotupiwa mnofu kaona anatosha.
Wazikumbuke pia hata familia zilizomwaga damu Ili wao washibe japo hata kifuta machozi Ili maridhiano yawe na amani. ACT ni sawa na CUF kwisha habari yake.
Kama unadhani ACT-Wazalendo imekwisha basi utakuwa huzijui vizuri siasa za Tanzania!
 
Kama kweli CCM wanajiona wana ubavu, ilikuaje wanaiba kura kijinga tena mchana kweupe? Nadhani CCM hawana nguvu yeyote, zito amewachapa asubuhi tu na wala hawajashinda.
Hata kuiba kura kweupe nao ni ubavu Kama unabisha watambie hao ACT au CDM nao waive mchana kweupe
 
Kumwamini Zitto yataka moyo mkuu...kilichosaidia.Lissu ni mwerevu sana ila bila hivyo aiseee angeingia mkenge akajiunga na ACT.. haka kajamaa ni ka oppotunist kakubwa kiwango cha lami...kanachukia nafasi yoyote ile iwe ya kisiasa amankiuchumi muda huo huo kwa manufaa ya kenyewe.
 
Kinana~"Kwa CCM uchaguzi huanza wakati wa kuhesabu kura na kumalizika wakati wa kutangaza mshindi na sio kampeni"

Mwisho wa kunukuu
 
Zitto Kabwe anajua ukweli woote, Zile kura feki za Zitto Kabwe zilikuwa ni za movie. Tukiisambua movie ilivyoandaliwa naona Zitto Kabwe ndo itakuwa Mwisho wake kwenye siasa. Nina Video zote za Mikakati ya Zitto namna akihitaji Majimbo ya Kigoma
Jamani, hivi inakuwaje hati ya siri kama karatasi ya kura inakuwa mtaani nje ya mikono ya tume kama sio tume yenyewe kihusika?
Niliwahi kisimamia uchaguzi mwaka 1995, kila karatasi ya kura lazima iwe accounted for kituoni. Moja ikiharibika mtu aliyeharibu ili apewe karatasi nyingine ni lazima ajaze fomu maalumu. Sasa wewe unayesema Zito alikuwa na kura feki alizipata wapi hizo karatasi za kura? Kwa watu makini karatasi za kura zikikutwa nje ya kituo cha kupigia kura au tume basi uchaguzi mzima huwa ni batili.
 
Kama kweli CCM wanajiona wana ubavu, ilikuaje wanaiba kura kijinga tena mchana kweupe? Nadhani CCM hawana nguvu yeyote, zito amewachapa asubuhi tu na wala hawajashinda.
Kwani mwiz asiye na ubavu anaweza kuiba mchana kweupe? Ubongo wenu itakuwa umechanganyika na kamasi nyie wafuasi wa Tobbo.
 
Back
Top Bottom