Je, Zitto Kabwe alijisahau na kuanza kuung'ata mkono unaomlisha?

Hakuna kitu cha hovyo na kibaya kama kusoma bandiko la lefu la hovyo, propaganda na la kipumbavu halafu asubuhi asubuhi.

Halafu unakuta hili jamaa ni zee lenye mke na watoto.
Kibaya zaidi unakuta katika hao watoto wake wewe ni mmoja wapo tena first born.
 
Hamjawahi kuheshimu Sanduku la Kura nyie.
Chama kilichotoka kwenye ushawishi wa hoja, mpaka kutegemea vyombo vya dola na taasisi zake ili kipate matokeo ni aibu sana.
 
Kilichotokea kwenye uchaguzi huu tumekiona, haukuwa uchaguzi, bali ni maagizo ya rais kuwa nani atangazwe mshindi, usitake kujifanya eti ccm walikuwa wanashindwa kwa sababu ya mpasuko.
Tunaweza kusema pia kuwa kilichotokea uchaguzi huu kinaonesha kuwa nafasi ambazo walizokuwa wanashinda wapinzani huko nyuma ccm walikuwa wanawaachia tu.
 
Sio wazungu tena ni walalahoi?
 
Jibu ni ndiyo Mimi niliwahi kuandika humu kwamba Kati ya wanasiasa wa nchi hii Zitto ni mchumia tumbo namba moja. Kwamba alikuwa anapiga makelele kwa sababu mianya ya kupiga hela aliyozoea wakati wa serikali ya Kikwete ilikuwa imezibwa.
Zitto kwenye siasa ni "kinyago kilichochongwa na CCM".
 
Mwami Zitto ni one man show, hata wadhifa wake kwenye chama ni KIONGOZI WA CHAMA, ni zaidi ya Mwenyekiti wa Chama.

Zitto ni survival wa siasa za Bongo kwa kipindi kirefu mbeleni.
Zitto amekuwa survival wa siasa nchini sio kwa uwezo wake bali kwa uwezo wa CCM!
 
Kama kweli CCM wanajiona wana ubavu, ilikuaje wanaiba kura kijinga tena mchana kweupe? Nadhani CCM hawana nguvu yeyote, zito amewachapa asubuhi tu na wala hawajashinda.

CCM hawana nguvu then CCM hao hao wamechukua jimbo? Sentence yako inajikanganya.

Asiye na nguvu hawezi kuchukua jimbo. Mwenye nguvu ndo mshindi siku zote mahala popote.
 
Seifu alitamba kwa hasira safari hii Basi yatosha imetosha alipotupiwa mnofu kaona anatosha.
Wazikumbuke pia hata familia zilizomwaga damu Ili wao washibe japo hata kifuta machozi Ili maridhiano yawe na amani. ACT ni sawa na CUF kwisha habari yake.
 

Mkigoma yeyeto usimuamini mbele ya njaa.mwami ni copy na paste
 
Hamjawahi kuheshimu Sanduku la Kura nyie.
Chama kilichotoka kwenye ushawishi wa hoja, mpaka kutegemea vyombo vya dola na taasisi zake ili kipate matokeo ni aibu sana.
Kama chama hakikushawishi wewe haina maana kuwa hakiwashawishi na wengine!

Wizi wa kura ni maneno ambayo sio mageni kwa sababu yamesemwa tokea mwaka 1995!
 
Hakuna kitu cha hovyo na kibaya kama kusoma bandiko la lefu la hovyo, propaganda na la kipumbavu halafu asubuhi asubuhi.

Halafu unakuta hili jamaa ni zee lenye mke na watoto.
Hahahahahahahaahaahaha
 
Maelezo marefu hayana kichwa wala miguu , hivi ccm kutumia dola , usalama wa taifa kushinda ubunge , urais na udiwani nchi nzima Ni jambo la kujivunia ?
Ulitaka CCM wahuzunike wakati malengo makuu ya chama cha siasa makini ni kushika dola!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…