MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,996
- Thread starter
-
- #81
CCM hawana nguvu then CCM hao hao wamechukua jimbo? Sentence yako inajikanganya.
Asiye na nguvu hawezi kuchukua jimbo. Mwenye nguvu ndo mshindi siku zote mahala popote.
Go back to school mataga.
Your kind of English sucks.
No wonder, you have chosen booty licking as a career.
Kama unadhani ACT-Wazalendo imekwisha basi utakuwa huzijui vizuri siasa za Tanzania!Seifu alitamba kwa hasira safari hii Basi yatosha imetosha alipotupiwa mnofu kaona anatosha.
Wazikumbuke pia hata familia zilizomwaga damu Ili wao washibe japo hata kifuta machozi Ili maridhiano yawe na amani. ACT ni sawa na CUF kwisha habari yake.
Hata kuiba kura kweupe nao ni ubavu Kama unabisha watambie hao ACT au CDM nao waive mchana kweupeKama kweli CCM wanajiona wana ubavu, ilikuaje wanaiba kura kijinga tena mchana kweupe? Nadhani CCM hawana nguvu yeyote, zito amewachapa asubuhi tu na wala hawajashinda.
Unaiba kura kijinga namna hiyo? Huu ni ujinga.Hata kuiba kura kweupe nao ni ubavu Kama unabisha watambie hao ACT au CDM nao waive mchana kweupe
Jamani, hivi inakuwaje hati ya siri kama karatasi ya kura inakuwa mtaani nje ya mikono ya tume kama sio tume yenyewe kihusika?Zitto Kabwe anajua ukweli woote, Zile kura feki za Zitto Kabwe zilikuwa ni za movie. Tukiisambua movie ilivyoandaliwa naona Zitto Kabwe ndo itakuwa Mwisho wake kwenye siasa. Nina Video zote za Mikakati ya Zitto namna akihitaji Majimbo ya Kigoma
Kwani mwiz asiye na ubavu anaweza kuiba mchana kweupe? Ubongo wenu itakuwa umechanganyika na kamasi nyie wafuasi wa Tobbo.Kama kweli CCM wanajiona wana ubavu, ilikuaje wanaiba kura kijinga tena mchana kweupe? Nadhani CCM hawana nguvu yeyote, zito amewachapa asubuhi tu na wala hawajashinda.