ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kwenye picha ndio Yunge au? Mwambie Bibi yako amloge Saido ili aondoke kama alivyofanya kwa Yunge Mdogo.Mbaya zaidi saido anaendelea kuwapo
Kwani Bocco ni wa kigeni? Anaachwa Baleke sababu mmezidisha ma pro.Kuna tetesi zinasambaa kuwa Baleke na Phiri wataachwa hivi punde klabuni kwetu.
Nasema kabisa hapa jukwaani viongozi wa klabu wasipo elewa kuwa soka ni mchezo we ups and down nyingi huu utakua ndio mwisho wangu kuipenda hii klabu.
Yaani umteme baleke licha ya uwezo wake mkubwa wa kumiliki mpira na kutinga mabeki halafu umbakishe bocco kweli!
Nawewe umeona ukiniambia hivyo ndo furaha yako, shukrani.Huyo kwenye picha ndio Yunge au? Mwambie Bibi yako amloge Saido ili aondoke kama alivyofanya kwa Yunge Mdogo.
Saidoo inaonekana ni mradi wa wajanja pale Simba.Mbaya zaidi saido anaendelea kuwapo
Niloge.Nawewe umeona ukiniambia hivyo ndo furaha yako, shukrani.
umejiloga mwenyeweNiloge.
Kuna tetesi zinasambaa kuwa Baleke na Phiri wataachwa hivi punde klabuni kwetu.
Nasema kabisa hapa jukwaani viongozi wa klabu wasipo elewa kuwa soka ni mchezo we ups and down nyingi huu utakua ndio mwisho wangu kuipenda hii klabu.
Yaani umteme baleke licha ya uwezo wake mkubwa wa kumiliki mpira na kutinga mabeki halafu umbakishe bocco kweli!
Hamza jangwani tule tende na halua🤣Kuna tetesi zinasambaa kuwa Baleke na Phiri wataachwa hivi punde klabuni kwetu.
Nasema kabisa hapa jukwaani viongozi wa klabu wasipo elewa kuwa soka ni mchezo we ups and down nyingi huu utakua ndio mwisho wangu kuipenda hii klabu.
Yaani umteme baleke licha ya uwezo wake mkubwa wa kumiliki mpira na kutinga mabeki halafu umbakishe bocco kweli!
Hivi ile story iliendelea kweli??Huyo kwenye picha ndio Yunge au? Mwambie Bibi yako amloge Saido ili aondoke kama alivyofanya kwa Yunge Mdogo.
Bocco ni mfungaji bora wa muda wote kwenye Ligi kuu Tanzania.Kuna tetesi zinasambaa kuwa Baleke na Phiri wataachwa hivi punde klabuni kwetu.
Nasema kabisa hapa jukwaani viongozi wa klabu wasipo elewa kuwa soka ni mchezo we ups and down nyingi huu utakua ndio mwisho wangu kuipenda hii klabu.
Yaani umteme baleke licha ya uwezo wake mkubwa wa kumiliki mpira na kutinga mabeki halafu umbakishe bocco kweli!
Hapo ndo nachokaa kabisaa yaanMbaya zaidi saido anaendelea kuwapo
nimeumia sanaMm naona mkuu utafute tu timu nyingne ya kushanibikia au umfuate huyo Baleke anakoenda ila kwa namna yoyote ile viongozi hawawezi achana na mipango yao ya kuondoa Mastriker mizigo klabuni hasa hao wa kigeni
nimeumizwa sana na taarifa hiziTayari huko watu washakupiga kwenye mshono