Jean Baleke anasepa, Simba hawana striker msimu ujao

Jean Baleke anasepa, Simba hawana striker msimu ujao

Na YY majeraha yatamwandama!! Unaona mbali hv? Umeona nn pia kwenye maisha yako ya baadae?
Asante
 
Utaonaje ikiwa umevaa mawani ya mbao?
F0g-ebpWIAI7CPC.jpeg
 
Simba wakasahau kusajiri Mshambuliaji!

Walijikuta Wanasajiri kila mchezaji aliyehusishwa na Yanga!!!
 
Unaweza kucheza na Phiri kama CF lakini hana uwezo wa kukupa availability factor.

Onana sio mchezaji wa kumtegemea, naye majeruhi yatamuandama.

Kramo hawezi kicheza CF full season.

Bocco ndio tusimzungumzie.

Huwezi beba ubingwa wa Ligi kwa kucheza na False 9.

Yanga tujiandae na Parade lingine.View attachment 2682043
Hii inaweza ikawa kwel maana hata Onyango kaondoka kimya kimya
 
Unaweza kucheza na Phiri kama CF lakini hana uwezo wa kukupa availability factor.

Onana sio mchezaji wa kumtegemea, naye majeruhi yatamuandama.

Kramo hawezi kicheza CF full season.

Bocco ndio tusimzungumzie.

Huwezi beba ubingwa wa Ligi kwa kucheza na False 9.

Yanga tujiandae na Parade lingine.View attachment 2682043
Hahahaha,hii ni kipindi anajiunga kule Lebanon hapo akiwa na Chiko Ushindi
 
Back
Top Bottom