Ipo wazi,Singida wanajikaza huko kote ila mechi na Yanga wanachezesha kikosi B
wakilingana magoli hizi kelele hatutaki kusikia kuwa penalty sio goliAndika muswada wa kuondoa penati katika soka kama unaona magoli ya penati siyo magoli.
Haihusiani na mada, vipi hujambo lakini?Mwambie aitoe hiyo pointi moja ya Yanga timu yake iongoze league.
Mjifunze kukubali ukweli mechi zenu nyingi mnazocheza na matawi yenu huwa mnapangiwa vikosi dhaifu hivi mnavyozidi kudanganyana ndivyo mnavyozidi kupotezana, ndio maana kimataifa hamna consistency kama mngekuwa na ubora huo basi cafcl msingeshindwa kuvuka kundi jepesi kama lile, maana katika makundi yote kundi lenu ndio lilikuwa na afadhali au wewe niambie kama mlishindwa kuvuka lile kundi unadhani mngevuka lipi katika ya yale mengine yaliyobaki
Hii inachoma km pasi ya umeme, woiiihMjifunze kukubali ukweli mechi zenu nyingi mnazocheza na matawi yenu huwa mnapangiwa vikosi dhaifu hivi mnavyozidi kudanganyana ndivyo mnavyozidi kupotezana, ndio maana kimataifa hamna consistency kama mngekuwa na ubora huo basi cafcl msingeshindwa kuvuka kundi jepesi kama lile, maana katika makundi yote kundi lenu ndio lilikuwa na afadhali au wewe niambie kama mlishindwa kuvuka lile kundi unadhani mngevuka lipi katika ya yale mengine yaliyobaki
Na mkashindwa kubeba kombe, na nyie ingieni robo CAFCL mara 3 back to back.Eti matawi yaani malalamiko fc mnafurahisha sana. Basi huko kimataifa mshapata kichaka cha kufichia hoja zenu. Kumbukeni tulishafika fainali sehemu ambayo huwa mnaishia robo tena mkiwa na kikosi kipana.
Na mkashindwa kubeba kombe, na nyie ingieni robo CAFCL mara 3 back to back.
Na hamuwezi kamwee.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Ana ongelea robo mara 3 wakati sie tulifika fainali na yeye mwaka huu acheze fainali sasa kama anaweza 😃Huko tumewaachia siji fc sie tunawakanda hapa hapa bongo ubingwa mfululizo
Fika fainali kwanza mwaka huu kisha ulete medali 😃😃😃😃Na mkashindwa kubeba kombe, na nyie ingieni robo CAFCL mara 3 back to back.
Na hamuwezi kamwee.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
sijambo uko poa?
Wote walewaleNi singida pekee leo pamba hatajwi
Ndugu wanahabari, Tumeamua kwamba hatutambui magoli ya penati.Kati ya hayo aliyofunga 6 ni ya kutenga yeye na kipa yaani penalty.
Ubingwa wa mazabee, onesheni kimataifa tuone kweli.Huko tumewaachia siji fc sie tunawakanda hapa hapa bongo ubingwa mfululizo
Fainali ipi uliyofika wee? Au hujasoma comment angu vizuri?Ana ongelea robo mara 3 wakati sie tulifika fainali na yeye mwaka huu acheze fainali sasa kama anaweza [emoji2]
Sio Medali, hizo ni shangaa.Fika fainali kwanza mwaka huu kisha ulete medali [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Azizi k angepata basi kama ni rahisiUsiseme tu kafikisha goli 12,,kwenye hizo 12 toa goli 5 za penalty anabaki na ngapi? Goli za penalty inahesabiwa alama 1 na goli ambazo sio za penalty ni alama 2, nakwambia tu ufanye mahesabu yako mapema usije kuona ameonewa badae ikitokea wamelingana magoli na wenzake,,maana wenzake Awana goli za penalty!
Ubingwa wa mazabee, onesheni kimataifa tuone kweli.
Nyie mabaunsa fc kazi mnayo. Lol
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app