Kumfumaster97
JF-Expert Member
- Sep 18, 2024
- 354
- 372
unacheza marumo gallant unajisifia pitia kwa Al hilal tuone kama utapitaSio Medali, hizo ni shangaa.
Sisi tunaleta Kombe, yaan mwali mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Ana ongelea robo mara 3 wakati sie tulifika fainali na yeye mwaka huu acheze fainali sasa kama anaweza π
Bora penati kuliko magoli ya dube na mzinzi yote ya mchongo, mabeki wanapewa maelekezo wasiwabugudhi, mengine makipa wanatoa zawadiKati ya hayo aliyofunga 6 ni ya kutenga yeye na kipa yaani penalty.
tunza nguvu zako ndugu yangu ....Malengo ya Simba tangu msimu wa 2021 ni kufika nusu fainali hajawai fika ila ana kelele nyiingi ooh sisi wakimataifaEti matawi yaani malalamiko fc mnafurahisha sana. Basi huko kimataifa mshapata kichaka cha kufichia hoja zenu. Kumbukeni tulishafika fainali sehemu ambayo huwa mnaishia robo tena mkiwa na kikosi kipana.
Rage alikuwa sahihi sana naunga mkono hoja na mwaka huu hawapati kitu Hawa makoloWaambie hao hawaelewi. Makolo rage aliwaweza kweli. Wao robo fainali tu wakaenda kutuaibisha kuroga uwanjani live
Watu wana magoli hadi ya mikono, utadhani netball au basketball na yamehesabiwa, gsm nomaNdugu wanahabari, Tumeamua kwamba hatutambui magoli ya penati.
View attachment 3270638
Utopolo akili hawana kweli.Jaribu kuwa na akili kidogo umeelewa point yangu ama umekurupuka tu kama mkojo wa asubuhi? Nani kasema magoli ya penalty ayahesabiki? Magoli ya penalty yanahesabika but anapotafutwa mfungaji Bora magoli ya penalty uwa yanapewa point Moja na magoli ya kawaida uwa yanapewa point mbili,,uwezi kufunga magoli ya kutengewa ukawa sawa sawa na anayepambana kufunga kwa kuangaika!
wakilingana magoli hizi kelele hatutaki kusikia kuwa penalty sio goli
π€£π€£π€£Watu wana magoli hadi ya mikono, utadhani netball au basketball na yamehesabiwa, gsm noma
fainali kupitia kwa marumo unajisifia dawa yako ni MC alger na al hilaltunza nguvu zako ndugu yangu ....Malengo ya Simba tangu msimu wa 2021 ni kufika nusu fainali hajawai fika ila ana kelele nyiingi ooh sisi wakimataifa
Msimu huu mbwmbw zilikuwa nyiingi ila mda unavozidi kwenda wanahamia Kutoka kuchukua ubingwa mpaka kwa MVP na Kipa bora
Msimu mlofika fainali mlikutana na timu dhaifu sana ajabu hii. Kiufupi yanga walikuwa na bahati tu sio ubora.Eti matawi yaani malalamiko fc mnafurahisha sana. Basi huko kimataifa mshapata kichaka cha kufichia hoja zenu. Kumbukeni tulishafika fainali sehemu ambayo huwa mnaishia robo tena mkiwa na kikosi kipana.
Medali sio cha kuringishia, sisi huko tulishapita zamani.Anza kuonyesha lenu hata la robo fainali ruksa kisha tuwaletee medali zetu mpyaaaa
Nahisi hii comment umekosea ku quote. Em rudi upyaa.unacheza marumo gallant unajisifia pitia kwa Al hilal tuone kama utapita
Hoja inajibiwa kwa hoja ovaIli mradi tu mmekusanya lundo la vijisababu
Kama kuna mchezaji tishio na ambaye naona ana kila dalili ya kuchukua kiatu cha ufungaji bora ni Sowah kama asipopata majeraha. Mechi 7 goli 7Baada MR MVP Jean Charles Ahoua kufunga magoli 2 katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Dodoma Jiji anakuwa amefikisha jumla ya magoli 12 katika Ligi na kuwa kinara wa ufungaji.
Wanaomfuatia Jean Charles Ahoua ni Clement Mzize na Prince Dube ambao wote wana magoli magoli 10 kila mmoja.View attachment 3270244
VINARA wa magoli Ligi Kuu bara mpaka sasa msimu huu wa 2024/25
View attachment 3270654
Kwa timu Gani uliyo nayo upate kombe ππππππSio Medali, hizo ni shangaa.
Sisi tunaleta Kombe, yaan mwali mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Medali unayo? Onyesha picha kwanza Cc NumbisaFainali ipi uliyofika wee? Au hujasoma comment angu vizuri?
Robo enyewe mna sua sua, wenzenu mara 3 back to back.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
unacheza na marumo alafu unakuja kujisifia kufika fainaliNahisi hii comment umekosea ku quote. Em rudi upyaa.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
kwa sheria zipi?Usiseme tu kafikisha goli 12,,kwenye hizo 12 toa goli 5 za penalty anabaki na ngapi? Goli za penalty inahesabiwa alama 1 na goli ambazo sio za penalty ni alama 2, nakwambia tu ufanye mahesabu yako mapema usije kuona ameonewa badae ikitokea wamelingana magoli na wenzake,,maana wenzake Awana goli za penalty!