Jean-Paul Mobutu: Mtoto wa Kwanza wa Mobutu Sese Seko aliyetazamiwa kuwa Rais wa tatu wa DR Congo

Jean-Paul Mobutu: Mtoto wa Kwanza wa Mobutu Sese Seko aliyetazamiwa kuwa Rais wa tatu wa DR Congo

Mkuu nakujibu kwa awamu
1.inflation unayoongelea wewe ilianza during the early 90's na moja ya sababu ni kushukà kwa thàmani ya madini dunian mfAno cobalt. Zaire ilikua na uchumi mzuri sana kabla ya hapo 1zairean shilling ilikua ni sawa na 2USD kipindi madini yalipokua na tthaman

2.umeongelea kuuwa ma waziri wake.kasome historia vizuri.mobutu hajawai kuuwa mawaziri wake bali aliagiza kuuwawa mawaziri wa serikali iliyopita ambao walipanga kumpindua na part of the plan walitaka wamuue yeye

3.umeongelea kuhusu kujaza ndugu zake serikalini once again nakushauri nenda ukasome achana na habari za vijiweni.aliweka watu wa kabilA lake kAtika kikosi cha ulinzi wake binafsi na kumpa cheo ndugu yake mmoja kuwa general aliitwa gen nzimbi.emu nipe list ya hao ndugu zake uliowaona wewe serikalini .

4.umesema humu naandika sifa zake za ajabu.hujawai kuona nimeandika humu kuwa alinunua ndege kwa ajili ya Air zaire ndege kubwa nyingi ? Na ushahidi wA picha upo. Hujawahi kusoma nimesema alitoa pesa bure za kujikimu pamoja na chakula bure kwa wanachuo ? Hujawai kuona nimesema alijenga miundombinu ya umeme pale mto congo yenye uwezo wa ku supply africa nzima bila mApungufu ? Hujawai kusoma kuwa kipindi chake zaire ilikua na amani ?

Huyo nyerere
1.wanafunzi wa chuo kikuu alishindwa kuwasomesha bure na waliwahi kuandamana kuhusu chakula

2.nyerere wakati wake si ndio mlikula maindi ya ng'ombe wa marekani ? Si ndio mlivaa nguo zimechanika ? Si ndio aliwatoa mijini akawapeleka vijiji vya ujamaa ?

Umeongelea ukombozi wa Africa once again nakwambia go and read about mobutu
Alishiriki vita vya ukombozi wa chad na Angola pia wakati wa mauaji ya kimbali alituma walinzi wake binafsi wakalete amani rwanda. May i remind you kuwa hata asingefanya haya yote ya kusaidia ukombozi angekuwa sawa.jukumu la rais ni kuwaletea maendeleo watu wake sio kuwa na kiherehere kama cha mchonga kilichosababishia nchi vita na umasikini mkubwa.nimewahi kusoma mahali fulani kuwa hatukuwahi ku recover kabisa kutokana na gharama z vita ya kagera.

Nb
Nyerere hakuifanyia chochote Tanganyika cha kimaendeleo.aliiua Tanganyika ndio maana most of our elders hata humu JF waliishi maisha ya umasikini.wakati w Mobutu wazaire wengi hasa wa mijini waliishi vizuri
Japo Mobutu alichokosea aliijenga na akaibomoa zAire yeye mwenyewe.ila nyerere aliibomoA tanganyika

Pia siku nyingine uwe na kumbu kumbu kuwa kati ya mobutu na nyerere kuna mmoja alimuua PM wake
Nimefatilia Uzi wako ,ila umeanza kuuharibu kwa kumlinganisha Nyerere (Giant of Africa /True Son of Africa) na kilaza , Mumiani , Monster Mobutu seseseko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe ukoo wa Kenyata ni mabwanyenye na mabepari wa kutupa?
Wana eneo kubwa sana baada ya ile barracks ya jeshi , ukitokea njia ya airport ukapita karakarakana /ofisi za KQ airways , kwenye hiyo barabara maarufu inaitwa North Road, utaanza kukutana na Ardhi/Msitu katikati ya jiji unazunguka nao hadi Kenyatta university , humo ndani ndimo kuna kiwanda cha Brookside cha Maziwa , yaani hadi KU(Kenyatta university) hilo eneo ni lao , kiufupi Kenya ni yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuepo leo sijui angejiskiaje
Alidai anafanya kazi ili aache historia yeye na wanae
Yaani alitamani nao waje kuwa watu fulani but saivi hakuna mwanae aliye kwenye siasa Active. Naskia hata nzaga (mtoto wa mke wa pil ) kakimbilia marekani

Watoto wake wana migogoro mpaka wameshindwa kumzikia congo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu, Congoló walimzika, nakumbuka kipindi hicho nilikuwa Kisangani kumsaidia mjomba wangu alikuwa mgonjwa hospitali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana eneo kubwa sana baada ya ile barracks ya jeshi , ukitokea njia ya airport ukapita karakarakana /ofisi za KQ airways , kwenye hiyo barabara maarufu inaitwa North Road, utaanza kukutana na Ardhi/Msitu katikati ya jiji unazunguka nao hadi Kenyatta university , humo ndani ndimo kuna kiwanda cha Brookside cha Maziwa , yaani hadi KU(Kenyatta university) hilo eneo ni lao , kiufupi Kenya ni yao

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Kweli huo ni ukoo wa taifa aisee.
 
Duh! Yaani walikataa kumpumzisha kwenye nchi aliyozaliwa na kuitawala kwa miongo 3? Sio poa.
Laurent kabila aliruhusu mobutu azikwe congo. Tatizo ni familia yake Mobutu ndio hawataki
Hata wakati wa vita mzee kabila alimwambia mobutu aache madaraka akae kijijini kwake ila mobutu akakataa
 
Mkuu
Upo sahihi ila sio sana. Aliwafadhili pia hata wasio muimba. Band kama wenge musica nk hazikuwahi kumuimba ila zilipata state sponsorship. Ndio maana muziki wa zaire ulifika mbali mno.umewahi kujiuliza kwanini kufa kwa zaire kulipelekea kufa kwa muziki wake ?
Mziki wa zaire ulikatika gafla hata ckujua ulienda wap

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unaweza ukaelezea kwa juu juu jinsi alivyo pokonywa madaraka mzee mobutu nakubaki mweupe,

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliugua mwaka 1996 ugonjwa ukazidi akaenda uswizi kwa ajili ya operation huku nyuma majenerali wakamsaliti mfano gen mayele aliyekua waziri wa ulinzi .so kina kabila na museveni pamoj na kagame wakavamia zaire.
Baada ya operesheni mobutu akaenda nyumbani kwake ufaransa then akarudi zaire alipopata nafuu then akaondoka akarudi 1997 hali ikiwa mbaya.yaliyofuata nimeshayafungulia uzi usome mkuu nimeyaeleza kwa details.ila inshort kila mtu alimsaliti plus kuugua
 
Aliugua mwaka 1996 ugonjwa ukazidi akaenda uswizi kwa ajili ya operation huku nyuma majenerali wakamsaliti mfano gen mayele aliyekua waziri wa ulinzi .so kina kabila na museveni pamoj na kagame wakavamia zaire.
Baada ya operesheni mobutu akaenda nyumbani kwake ufaransa then akarudi zaire alipopata nafuu then akaondoka akarudi 1997 hali ikiwa mbaya.yaliyofuata nimeshayafungulia uzi usome mkuu nimeyaeleza kwa details.ila inshort kila mtu alimsaliti plus kuugua
Huo uzi unaitwje ili na sisi tukayosome na tufaidike na hii elimu yako kaka tafadhali tunaomba utujulishe jina la huo uzi ulio ufungua kuhusu hayo yaliyofatia kwa mobutu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom